MUDA: SAA 2
JINA:____________________________________NAMBARI:________DARASA:_______
1.INSHA (alama 20)
Uhalifu umejaa kitongojini mwenu,andika hotuba ya chifu wa eneo lenu kwa wanakijiji.
2.UFAHAMU
SOMA TAARIFA IFUATAYO KISHA UJIBU MASWALI YANAYOFUATA
Wanasayansi wengi wameshidnwa kuelewa ni kwa nini watu huvuta sigara jambo hili kuwa moshi wa sigara huathiri wavutaji wa sigara na watu walio karibu nao na pengine huleta ugonjwa wa moyo. Wavutaji hupatwa na kikohozi cha adaima kisichosikia dawa, maisha hupata limuewatatiza binadamu kwa karne nyingi zilizopita na kuwaacha rundo la maswali kuhusu uvutaji sigara.
sigara au sigareti ni kitu cha uraibu wa kuvuta, kinachotengenezwa kwa majani ya tumbako yaliyokaushwa. Husokotwa katika karatasi maalum. Tumbako pia huvutwa kwenye kiko hunuswa na hutafunwa.. tumbako inayosagwa na kunuswa au kubwiwa huitwa ugoro.
Hapana shaka wavutaji sigara huharibu afya yao. Wataalamu wa sayansi na madaktari wamefanya uchunguzi na wamethibitisha maradhi mfano wa pumu kutokana na moshi wa sigara unaowakereta koo. Kuna pia wanaosema kwamba uvutaji sigara unasababisha saratani ya mapafu. Watu wengi hufa kwa ugonjwa wa ghafla kwa sababu ya sumu ya moshi wa sigara ambao hutunguza na kuyatoboatoboa mapafu.
Baadhi ya wavuta sigara hutupa vipande vya sigara ovyo bila kuzimwa na hivyo husababisha hasara kubwa kama vile uchomaji wa misitu, nyumba na nguo na wakati mwingine husababisha hata vifo. Uvutaji sigara umefika kiwango cha kusikitisha, utaona vijana yaaniwasichana na wavulana wadogo sana, wakivuta sigara mbele ya watu wazima bila kujali hii ni aibu kubwa sana.
Tabia hii inatokana na mifano wanayoiona kutoka kwa wazazi wao au watu wengine. Si ajabu kumsikia mzazi akimtuma mwanawe akamununulie pakiti ya sigara au kopo la tumbako. Wazazi kama hao huwafanya watoto wavute sigara ili nao wajione kama ni watu wazima.
Sababu nyingine ya kuvuta sigara ni kutaka kujionyesha ati wana nakidi na kwao, au umaarufu. Hivyo basi sigara hazifai kupatiwa matangazo yenye kuvutia kwa vijana.
Aina nyingine ya uaraibu ni uvutaji bangi. Bangi ni aina ya mimea Fulani unaolevya na kupumbuza akili yanapotafunwa au kuvutwa. Wavuta bangi kwa hakika hupatwa na baa nyingi mwilini. Hukonda na huvaringika akili sijue wanalofanya. Wataalamu husema bangi ikiingia akilini, huharibu kitivo cha fikira mpaka mtu huwa kama mwenda wazimu.
Ni muhimu wazazi na walimu wawakataze na wawakanye watoto wasishiriki katika tabia hizi mbaya.
MASWALI
/r/ na /l/
b)Onyesha silabi inayowekwa shadda kwenye maneno haya : (alama 2)
d)Kanusha sentensi hii katika wingi: (alama 2)
Kifaru anapatikana mbugani
e)Andika sentensi zifuatazo kwa kutumia kirejeshi amba- (alama 2)
Mabondia hawa ni wale waliotuwakilisha hivi majuzi huku Ushelisheli.
Uliotatizika
h)Tunga sentensi yenye sehemu hizi: (alama 2)
N+V+T+E
g)Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii: (alama 2)
Alimpigia mpira.
h)Andika sentensi hii katika hali ya udogo: (alama 2)
Watu wale ni weusi tititi hawaonekani gizani.
i)Sahihisha sentensi ifuatayo: (alama 2)
Musa alienda sokoni alikonunua ng’ombe mbili.
j)Eleza maana ya misemo ifuatayo: (alama 2)
l)Andika maneno yenye sauti mwambatano zenye miundo hii: (alama 4)
FASIHI SIMULIZI (ALAMA 5)
MWONGOZO
JINA:____________________________________ NAMBARI:____________________DARASA:_______
1.INSHA (alama 20)
Uhalifu umejaa kitongojini mwenu,andika hotuba ya chifu wa eneo lenu kwa wanakijiji.
a)KICHWA
Kiandikwe kwa herufi kubwa na kupigiwa mstari
Kiwe kikamilifu na cha kueleweka moja kwa moja
Neno “hotuba” lazima liwe
b)Utangulizi
salamu zikiwepo ziwe zimefuata itifaki, kuanzia vyeo vya juu hadi vya chini.
Kiini cha hotuba kitajwe.
c)Mwili
Ujumbe uelezwe kwa kina
Vipengele vya kuzingatia ni kama vile:
d)Hitimisho
2.UFAHAMU
SOMA TAARIFA IFUATAYO KISHA UJIBU MASWALI YANAYOFUATA
Wanasayansi wengi wameshidnwa kuelewa ni kwa nini watu huvuta sigara jambo hili kuwa moshi wa sigara huathiri wavutaji wa sigara na watu walio karibu nao na pengine huleta ugonjwa wa moyo. Wavutaji hupatwa na kikohozi cha adaima kisichosikia dawa, maisha hupata limuewatatiza binadamu kwa karne nyingi zilizopita na kuwaacha rundo la maswali kuhusu uvutaji sigara.
sigara au sigareti ni kitu cha uraibu wa kuvuta, kinachotengenezwa kwa majani ya tumbako yaliyokaushwa. Husokotwa katika karatasi maalum. Tumbako pia huvutwa kwenye kiko hunuswa na hutafunwa.. tumbako inayosagwa na kunuswa au kubwiwa huitwa ugoro.
Hapana shaka wavutaji sigara huharibu afya yao. Wataalamu wa sayansi na madaktari wamefanya uchunguzi na wamethibitisha maradhi mfano wa pumu kutokana na moshi wa sigara unaowakereta koo. Kuna pia wanaosema kwamba uvutaji sigara unasababisha saratani ya mapafu. Watu wengi hufa kwa ugonjwa wa ghafla kwa sababu ya sumu ya moshi wa sigara ambao hutunguza na kuyatoboatoboa mapafu.
Baadhi ya wavuta sigara hutupa vipande vya sigara ovyo bila kuzimwa na hivyo husababisha hasara kubwa kama vile uchomaji wa misitu, nyumba na nguo na wakati mwingine husababisha hata vifo. Uvutaji sigara umefika kiwango cha kusikitisha, utaona vijana yaaniwasichana na wavulana wadogo sana, wakivuta sigara mbele ya watu wazima bila kujali hii ni aibu kubwa sana.
Tabia hii inatokana na mifano wanayoiona kutoka kwa wazazi wao au watu wengine. Si ajabu kumsikia mzazi akimtuma mwanawe akamununulie pakiti ya sigara au kopo la tumbako. Wazazi kama hao huwafanya watoto wavute sigara ili nao wajione kama ni watu wazima.
Sababu nyingine ya kuvuta sigara ni kutaka kujionyesha ati wana nakidi na kwao, au umaarufu. Hivyo basi sigara hazifai kupatiwa matangazo yenye kuvutia kwa vijana.
Aina nyingine ya uaraibu ni uvutaji bangi. Bangi ni aina ya mimea Fulani unaolevya na kupumbuza akili yanapotafunwa au kuvutwa. Wavuta bangi kwa hakika hupatwa na baa nyingi mwilini. Hukonda na huvaringika akili sijue wanalofanya. Wataalamu husema bangi ikiingia akilini, huharibu kitivo cha fikira mpaka mtu huwa kama mwenda wazimu.
Ni muhimu wazazi na walimu wawakataze na wawakanye watoto wasishiriki katika tabia hizi mbaya.
MASWALI
Uvutaji sigara
Huunguza na kutoboa mapafu
Husababisha saratani ya mapafu
Hupata maradhi ya pumu
Kufa kwa ugonjwa wa ghafla
Watoto huiga mifano ya wazazi wao
Hutokana na matangazo ya kuvutia
Wazazi na walimu wa wakanya vijana kuvuta sigara
Msitu huchomeka,nguo na nyumba
/r/ na /l/
/r/ ni kimadende na /l/ ni kitambaza
b)Onyesha silabi inayowekwa shadda kwenye maneno haya : (alama 2)
d)Kanusha sentensi hii katika wingi: (alama 2)
Kifaru anapatikana mbugani
Vifaru hawapatikani mbugani.
e)Andika sentensi zifuatazo kwa kutumia kirejeshi amba- (alama 2)
Mabondia hawa ni wale waliotuwakilisha hivi majuzi huku Ushelisheli.
Mabondia hawa ni wale ambao walituwakilisha hivi majuzi huku Ushelisheli.
Kupanda na kushuka kwa mawimbi ya sauti
Uliotatizika
U-li-o viambishi awali
i-ka viambishi tamati
h)Tunga sentensi yenye sehemu hizi: (alama 2)
N+V+T+E
Mwanafunzi bora alituzwa jana. (mwalimu akadirie mifano zaidi)
(mwalimu akadirie miundo ingine mwafaka)
g)Eleza maana mbili zinazojitokeza katika sentensi hii: (alama 2)
Alimpigia mpira.
Alipiga kwa niaba yake
Aliupiga mpira kwenda upande wake
h)Andika sentensi hii katika hali ya udogo: (alama 2)
Watu wale ni weusi tititi hawaonekani gizani.
Vijitu vile ni vyeusi tititi havionekani gizani.
i)Sahihisha sentensi ifuatayo: (alama 2)
Musa alienda sokoni alikonunua ng’ombe mbili.
Musa alienda sokoni alikonunua ng’ombe wawili.
j)Eleza maana ya misemo ifuatayo: (alama 2)
kuandika tarehe km 03-03-2021
kuonyesha neno linaendelea katika mstari unaofuata
kutenga silabi na nyingine hasa katika ufunzaji wa Ushairi
kutenga neno au sentensi na ufanunuzi
(mwalimu akadirie maelezo na mifano)
l)Andika maneno yenye sauti mwambatano zenye miundo hii: (alama 4)
FASIHI SIMULIZI (alama 5)
Kuburudisha
Kukejeli
Kuasa
Kupata riziki
Kuhifadhi na kuendeleza utamaduni
Kutimiza shughuli mbalimbali
Get the latest Mwalimu National Sacco BOSA Loans Application Form {Free Download}, here. PDF Latest…
Here is the revised and latest Mwalimu National Sacco FOSA Salary Advance Application Form {Free…
Here is the latest Mwalimu National Sacco FOSA Instant Loan Application Form {Free Download}. Download…
The landscape of digital gambling has shifted toward high-octane mechanics that prioritize volatility and massive…
The Teachers Service Commission (TSC) has advertised 170 job vacancies across, covering senior, mid‑level, and…
Health Cabinet Secretary Aden Duale has ordered immediate changes to the Social Health Authority (SHA)…