KISWAHILI FORM 3 END TERM EXAMS PLUS ANSWERS

CHETI CHA KUHITIMU ELIMU YA SEKONDARI TATHMINI YA PAMOJA

TATHIMINI YA PAMOJA

JINA: …………………………………………………………………………………….. NAMBANI YAKO:………………..

SAHIHI:…………………………………….                                                                TAREHE:…………………………….

MUDA: SAA 2½

SHULE YA UPILI YA RUARAKA

KISWAHILI KIDATO CHA TATU

MWISHO WA MUHULA

MUDAL SAA 2½

MAAGIZO

  • JIBU MASWALI YOTE KWENYE NAFASI ULIZOACHIWA

KWA MATUMIZI YA MUTAHINI PEKEE

SWALIUPEOALAMA
INSHA20
UFAHAMU15
MATUMIZI YA LUGHA20
ISIMU JAMII10
USHAIRI15
FASIHI20
JUMLA 100 

 

SEHEMU A: INSHA (ALAMA 20)

Andika insha ifuatayo. Insha yako isipungue maneno 400.

Serikali ya Kenya imefanya mengi kuinua viwango vya elimu nchini hasa katika shule za msingi na za sekondari. Andikia waziri wa elimu barua ukipongeza serikali kwa juhudi hizi.

 

 

SEHEMU B: UFAHAMU (ALAMA 15)

Soma kifungu kifuatacho kisha ujibu maswali

Nimekaa na kutafakari kwa muda mrefu juu ya mabilioni ya pesa ambayo yametengwa na serikali ili kudhamini miradi ya maendeleo ya wanawake. Kina mama au wanawake wengine wanakiri na kusema kwamba fedha hizo zimewezesha kuwaondoa katika lindi la unyanyasaji kutoka kwa waume zao, kwani kila mmoja aneheshimu mwenzake kwa sababu ya kipato alicho nacho. Wengi wameweza kuanza biashara ndogondogo ambazo huwaletea angalau kipato kidogo.

Ukweli ni kwamba fedha hizi zimesaidia kuwatoa wanawake wengi katika unyanyasaji, kwani wengi wanaweza kuanzisha kazi za ujasiri amali na hata kuendesha shughuli mbalimbali za maendeleo. Kutokana na mafanikio haya, wabunge waliopitisha hoja bungeni ya kuanzisha mpango huu wa kuwakwamua wanawake kimaendeleo wanafaa kupongezwa. Mafanikio haya yamewafanya akina mama kujikimu kimaisha na hivyo kutowategemea waume katika kila jambo.

Ukitaka kujua ukweli kuhusu hili, nenda kwenye masoko utaona akina mama zaidi na hivyo wanapaswa kuwezeshwa kwa kila hali na mali. Akina mama pia wanapaswa kupongezwa kwani wameamua kujitosa kukopa fedha kutoka kwenye taasisi mbalimbali za fedha. Fedha hizo kwa kiwango kikubwa zimewainua kutoka katika ufukara uliokithiri hadi katika maisha ya heshima. Wale ambao hawajajaribu kuchukua mikopo, ni muhimu wafanye hivyo ili wajikimu kimaisha.

Maisha ya sasa ni magumu, kwa hivyo yahitaji kusaidiana kwa kila hali na mali. Wanaume kwa wanawake ni vyema wachange pesa ili wazumbue riziki. Ushirikiano utarahisisha maisha yaohata hivyo sio tu akina mama hau wameondokewa na unyanyasaji waliokuwa wakipata ndani ya nyumba zao kutoka kwa akina baba, bali hata maswala ya mrundikano wa kesi za kugombea ardhi kwa akina mama zimepungua. Sababu ni kwamba akina mama wengi wameweza kujitafutia ardhi wenyewe kwa fedha walizonazo.

See also  CHEMISTRY FORM 3 EXAMS WITH MARKING SCHEMES

Ukweli ni kwamba hali imebadilika kinyume na hapo awali, ambapo majumba ya kifahari na mashangingi yalikuwa hifadhi ya wanaume, siku hizi wanawake wamemiliki hayo yote.

 

Maswali

  1. Ipe taarifa hii anwani         (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Wabunge wamewafaa wanawake kwa njia gani         (alama 2)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Wanaume walikuwa kikwazo cha maendeleo nchini vipi? (alama 2)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Mfumo wa serikali umewasaidiaje wanawake         (alama 4)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kulingana na makala haya, toa sababu zinazowafanya baadhi ya wanawake kuishi katika uchochole         (alama 3)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Ni nini imepanguza kesi za kugombea ardhi kwa akina mama? (alama 1)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza maana ya misamiati ifuatayo kama ilivyotumiwa katika makala haya
  2. Wazumbue

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kujitosa

……………………………………………………………………………………………………………………………………

 

 

 

SEHEMU C : MATUMIZI YA LUGHA (ALAMA 20)

  1. Taja sifa bainifu za sauti /s/         (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Tumia neno mpaka katika sentensi kama; (alama 2)
  2. Nomino

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Kihusishi

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Tunga sentensi moja ukionyesha matumizi mawili ya alama ya kuakifisha ifuatayo

(alama 2)

Ritifaa/kibainishi

…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….

  1. Bainisha aina za vitenzi katika sentensi hii         (alama 2)

Mjomba alikuwa tajiri lakini sasa ni maskini.

 

 

  1. Nomino zilizopigiwa mstari ni za ngeli gani? (alama 2)

Kuonyeshaviambishi katika neno husumbua wanafunzi sana

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Yakinisha sentensi hii         (alama 2)

Usipokuja kwetu hutampata mama .

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza maana mbili katika sentensi hii         (alama 2)

Majambazi walimwibia mkurugenzi gari jipya

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Tofautisha matumizi ya kiashiria ‘huyu’ katika sentensi hii.         (alama 2)

Huyu aliachishwa kazi na mkurugenzi huyu

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

  1. Bainisha kirai nomino na kirai kitenzi katika sentensi hii         (alama 2)

Punda mkongwe ameshindwa kutembea

 

 

  1. Andika katika usemi wa taarifa         (alama 2)

“Tutawatembelea wazazi wetu leo jioni,” Leo alimwambia Asha

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

SEHEMU YA D : ISUMU JAMII (ALAMA 10)

  1. Eleza sababu nne zinazowafanya watu kubadili msimbo         (alama 4)

………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Mazungumzo ya mahakamani husheheni sifa zipi?         (alama 6)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..

 

SEHEMU YA E: USHAIRI (ALAMA 15)

Soma shairi lifuatalo kisha ujibu maswali yatakayofuata

Kizazi kijacho,

See also  Agriculture notes free pdf download (Form 1-4)

Ni kizazi ninachokihurumia!

Mno ninakisikitikia,

Hadi kushika tama.

 

Najua hakitanikuta kamwe,

Kaburini nitakuwa nimefukiwa,

Futi sita!

Lakini sikio langu siku moja,

Nitalitega kusikiliza vitukuu,

Vikiulizana maswali

 

Mti ni nini?

Eti kuna viumbe nyuni,

Warukao na kuimba nyimbo nzuri?

Mababu nasikia eti,

Maji hawakununua kutoka ng’ambo!

Mito na maziwa ilijaa maji tele!

Kiu wakikata na kuoga,

Eti bahari safi ilikuwa,

Hadi watu kuongelea?

 

Nitawacheka!

La, nitawahurumia,

La, nitajilaumu mimi,

Kwani niliyaharibu mazingira hayo.

 

 

 

 

Maswali

  1. Kwa nini mshairi anakihurumia kizazi kijacho         (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza kile kingetokea kwa maji na mimea (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza dhamira ya mshairi huyu         (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Taja tamathali ya usemi inayojitokeza katika mshororo wa pili ubeti wa pili (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

 

  1. Andika ubeti wa nne kwa lugha ya nathari (alama 4)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza toni ya shairi hili (alama 1)

……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Taja nafsi neni katika shairi hili         (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumika katika shairi (alama 2)
  2. Vitukuu

……………………………………………………………………………………………………………………………………

  1. Mababu

……………………………………………………………………………………………………………………………………

 

 

SEHEMU F: FASIHI (ALAMA 20)

Chagua swali moja tu kutoka mojawapo wa sehemu zifuatazo: Riwaya, Tamthilia na Hadithi Fupi.

RIWAYA: CHOZI LA HERI (ASUMPTA MATEI)

  1. a) Eleza athari za mzozo wa baada ya kutawazwa kwa kiongozi katika nchiya wahafidhina (alama 10)
  2. b) Onyesha jinsi haki za watoto zinavyokiukwa katika inchi ya  wahafidhina (alama 10)

 

TAMTHILIA: KIGOGO (PAULINE KEA)

  1. Onyesha namna Majoka kama Kigogo wa Sagamoyo anavyotumia mamlaka yake vibaya.

(alama 20)

HADITHI FUPI: TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINE

  1. a) Fafanua jinsi suala la umaskini linajitokeza katika hadithi ya Tumbo Lisiloshiba.

(alama 10)

b)”Kama kawaida, kwa mzee mambo na leo tena kuna jambo. Jambo linalotokana na mambo”

  1. Eleza muktadha wa kauli hii. (alama 4)
  2. Fafanua sifa tatu zinazohusishwa na mzee mambo (alama 6)



CHETI CHA KUHITIMU ELIMU YA SEKONDARI

TATHMINI YA PAMOJA

KIDATO CHA TATU

MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA

  1. SEHEMU A- INSHA
  • Mwanafunziaeleze mambo ambayoserikaliya Kenya inafanyakuinuaviwangovyamasomo.
  • Baadhiyahojamwanafunzianatarajiwakutajanakuelezakikamilifuni:
  1. Serikaliinawalipiawanafunziwotekiasikikubwa cha karo.
  • Kilamwakaserikaliinawaajiriwalimukuondoatatizo la uhabawawalimu.
  1. Serikaliinatoapesazakuinuamiundomisingishulenikama vile darasa.
  2. Kupitiambungesherianyingizimetungwanakupitishwazakumlindamwanafunzi
  • Kuwaadhibuwanafunzi wale wanaotovukakinidhamu.
  1. SEHEMU B : UFAHAMU
  2. Maendeleoyawanawake

Wanawakenauchumi

(Kadiriajibu la mwanafunzi                                                                            ( 1×1=alama 1)

  1. Wabungewalipitishahojabungeniyakuanzishampangowakuwakwamuawanawakekimaendeleo (alama 2)

(alama 2)

  1. – Umewaondoleaufukara/kuwaleteakipato.
  1. i) Hawajajaribukuchukuamikopo.
  2. ii) Kutoshirikiananawaumezaokatikakutafutariziki.
See also  ENGLISH FORM 3 END TERM EXAMS PLUS ANSWERS

iii) Kunyanyaswanawaumezao.                                                                                   (3 x 1=alama 3)

  1. Akina mama wengiwamewezakujitafutiaardhiwenyewekwafedhawalizonazo.
  2. i) Wapate
  3. ii) Kujiingiza

 

  1. SEHEMU C : MATUMIZI YA LUGHA
  2. – Ni kikwamizo
  • Hutamkiwakwenyeufizi
  • Sautisighuna (zozote 2 x 1=alama 2)
  1. Mfanowasentensi

Mpakawashuleyetuunafikampakamtoni                                                 ( 2 x 1=alama 2)

Nomino                                           Kihusishi

Mtoni

  1. Rafikiyangualiendang’ambomiakaya ’90. ( 2 x 1=alama 2)
  2. Alikuwa – kitenzikishirikishikikamilifu

ni           -Kitenzikishirikishikipungufu                                                                       ( 2 x 1=alama2)

  1. Kuonyesha – Ngeliya KU

Viambishi – Ngeliya KI-VI                                                                                               (2 x 1=alama 2)

  1. Ukijakwetuutampata mama                (alama 2)
  2. i) – Kwamanufaayao
  • Kwamanufaayamkurugenzi ( 2 x 1=alama 2)
  1. Huyualiachishwa – Kiwakilishi

Mkurugenzihuyu – Kivumishikiashiria                                                                    ( 2 x 1=alama 2)

  1. Pundamkongwe- Kirainomino

ameshindwakutembea – Kiraikitenzi                                                                      ( 2 x 1=alama 2)

  1. Ashaaliwaambiakuwawangewatembeleawaazaziwaosikuhiyojioni (alama2)

 

 

 

 

  1. SEHEMU D : USHAIRI
  2. Kwa vile aliyaharibumazingiranahivyokizazikijachohakitapatakuonamazuriyamazingirahayo. (alama 2)
  3. – Majiyoteyamito, maziwanabahariyangechafukanakukauka.
  • Mimeaingekauka /kukatwa ( 2 x 1=alama 2)
  1. Anazinduawatuwatunzemazingirakwamanufaayakizazikijacho                (alama 2)
  2. Tasfida (alama 1)
  3. Anaonapiahangefayahivyonabadalayakeangejilaumuyeyekwa vile aliyaharibumazingirayale                (alama 4)
  4. Toni yahuruma                (alama 1)
  5. Mtu (mke au mume) wakizazi cha leoaliyekomaanaanayejalimazingira (alama 1)
  6. i) Watakaozaliwasikuzausoni                (alama 1)
  7. ii) Walioishisikuzilizopita (alama 1)

 

  1. SEHEMU E: FASIHI (ALAMA 20)

RIWAYA CHOZI LA RERI

  1. Atharizamzozowabaadayakutawazwakwakiongozimpyanchiniwahafidhina
  2. Kuzorotakwausalama
  3. Kuuliwakwaraia
  • Ukimbiziwandanikwandani
  1. Kuchomwakwamali
  2. Uporajiwamalihasayawafanyabiashara
  3. Kudidimiakwauchumi
  • Maandamano
  • Kujeruhiwa
  1. Ubakaji
  2. Kukwamakwausafiri
  3. Uharibifuwamazingira
  • Kufurushwa
  • Uharibifuwamisitu
  • Hofuyakushambuliwa
  1. Magonjwa ( zozote 10 x 1=alama 10)
  2. Jinsihakizawatotozinavyokiukwanchiniwahafidhina
  3. Kuchapwa –Ridhaaanamchapamwangeka
  4. Kutotibiwa –watotowawafanyikazikatikashamba la kahawahawatibiwi
  • Kuuliwakwawazaziwao- katika vitakatikamsituwa Mamba,walindausalamawanauawazaziwakimbizinakuwaachawatotowakiwamayatime
  1. Kuibwa-Sauna anawaiba Dick naMwaliko.
  2. Kutelekezwakatikaumaskini – Baba KaivuanamtelekezaKaivukatikaumaskini.
  3. Kuhiniwamalezi – FumbaanamhiniChandachemamalezikwakumtelekezakwanyanyake.
  • Kunyimwachakula-MwangekanaMwangemwananyimwachakulana mama zao.
  • Kutishwa-Dick alitishwana Buda kuwaatasingiziwawiziakikataakulanguadawazakulevya.
  1. KunyanyaswakimapenzimfanoZohali
  2. KutumikishwaMfanoZohali
  3. KutumiwakamavyombovyamapenzimfanoFumbaa
  • Kuajiriwa –Chandachemakuchunamajaniakiwadarasani
  • KuuzamihandaratiMfano Dick
  • KukatizwamasomoMfanoMwalimuna Dick
  1. Kuchomwa-UmatiunamchomaLemi
  • Kukataliwanawazazimfano Baba kipagaanamkanaKipanga.
  • KuuzwaMfano Bi. Kangaraanawanzawasicha;

Kadiriamajibumengine                                                           ( zozote 10 x 1=alama 10)

 

KIGOGO

  1. Anaangamizawapinzani wake
  2. Anafungasoko la chapakazi
  • Anaajiriwatuwanasabayao
  1. Kandarasizinatolewakwamapendeleo
  2. Anatumiapolisivibayakuwapiganakuwauawaandamanaji
  3. JelainatumiwakwamanufaayakeMajoka
  • Anaidhinishaupikajiwapombeharamu
  • Majokaanaruhusuuchafuziwamazingira
  • RasilimalizaserikaliyaJimbo la Sagamoyozinatumikakugharamiashereheyasikuyakuzaliwakwake. (zozote 10 x 1=alama 10)

 

HADITHI FUPI: TUMBO LISILOSHIBA NA HADITHI NYINGINE

  1. Jinsisuala la umaskinilinajitokezakatikahadithiyaTumboLisiloshiba
  2. Maskinihawashauriwikuhusiananamaamuziyanayowahusu K.V kuhamishwa
  1. Madongoporomokanimtaawenyevibandauchwaravinavyozungukwanauozonabubujiko la majimachafu.
  2. Mnaharufuyauvundoinayoudhi
  • Mkahawamshenzi (duni) unapatikanakatikamtaahuu.
  1. WakaziwaMadongoporomokawanaelezwakuwamaskinina Bi. Suruta “Huwawanajalininikuhusuwatumaskinikamasisi?”
  2. (zozote 1 x 10=alama 10)

 

  1. i)Ni maelezoyamwandishi

Yanahusumaishayaubadhirifuyamzee mambo.

Mzee mambo ameandaasherehekubwasababumtoto wake wa kwanza anaingianasarina Yule wamwishoameanzakuotameno.

Mwandishianamdhihakikwaubadhirifuhuuwakujihusishana mambo yasiokuwanamaana.                                                                                                                                        ( 4 x 1=alama 4)

  1. ii) – Mporaji –Mzee mambo nimfanyikazihewaanayeporataifakwakudaikuzifanyiawizarambalimbalikazi.
  • Fisadi –Hafanyikazilakinianapokeamshaharakutokawizarambalimbali.
  • Mnafiki – Anajifichandaniyauchamunguilikujiliwaza.

(Kadiriamajibumengineyawanafunzi)                                                       ( 3 x 2=alama 6)

 

  1. SEHEMU YA F: ISIMU JAMII
  2. i) Kuonyeshahisiazaok.mkirafiki, furahan.k
  3. ii) Kujinasibishanahadhiyalughaiwapokatikajamiilughamojainahadhikulikonyingine.

iii) Kuonyeshaumahiriwalughamoja au zaidi

  1. iv) Kujitambulishakatikakundilitumialolugha Fulani.
  2. v) Mtuanapokosamsamiati. (zozote 4 x 1=alama 4)
  3. i) Lugharasminasahihikisarufikutumiwa.
  4. ii) Huzingatiazaidikutoaushahidiilihukumuitolewe.

iii) Lughayaheshimahutumiwanamawakilinawatuwenginekumuelekeahakimu.

  1. iv) Huhusishakuulizamaswalinakujibizana.
  2. v) Sentensihuwandefunamarudiokwakusudi la kuondoautata.

vi)Msamiatiwamahakamahutumiwak.mmshtakiwa, kesin.k

(Mwalimuakadiriemajibumengineyamwanafunzi)                                          ( 6 x 1=alama 6)

1 thought on “KISWAHILI FORM 3 END TERM EXAMS PLUS ANSWERS”

Leave a Comment

Verified by MonsterInsights