Kiswahili Knec Syllabus

KISWAHILI Examination Syllabus 102

* FORM 1

  1. KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
  2. Matamshi bora
    1. Kiimbo
    2. Shadda
    3. Irabu/vokali-/a/,/e/,/i/,/o/,/u/
    4. Konsonanti-/b/,/ch/,/d/,/dh/,/f/,/g/,/gh/,/h/,/j/,/k/
    ,/l/,/m/,/n/,/ng/,/ny/,/p/,/r/,/s/,/sh/,/t/,/th/,/v/,/w/,/y/,/z/
    5. Ala za sauti/kutamkia
    6. Namna ya kutamka na aina za sauti k.m
    ghuna,sighuna/hafifu,vipasuo,vikwamizo n.k
    7. Silabi
    8. Maneno
    9. Vitate k.m baba,papa
    10. Vitanza ndimi2. Maamkizi na mazungumuzo
    1. Maamkizi na mazungumuzo ya: (i)Nyumbani (ii)Dukani
    (iii)Mtaani (iv)Sokoni (v)Shuleni
    2. Mahojiano k.m mwalimu na mwanafunzi
    3. Mijadala k.m umoja na utangamano katika familia
    4. Hotuba3. Ufahamu wa kusikiliza
    1. Ufahammu wa taarifa za kusikiliza

    4. Kusikiliza na kudadisi
    1. Utangulizi wa fasihi:(i)Maana (ii)Aina
    2. Fasihi simulizi (i)Hadithi (ii)Semi (iii)Ushairi
    3. Maigizo:Yategemee shabaha na muktadha k.m
    jandoni,sherehe za arusi n.k

Download more free unlimited Kiswahili resources here: Educationnewshub.co.ke

KISWAHILI USHAIRI NOTES WITH EXAMPLES AND GUIDES

Kiswahili Fasihi, English Literature Notes, Guides, Revision Questions (Kigogo, Chozi La Heri, Blossoms, Tumbo, A Doll’s House, Inheritance)

Free Kiswahili Fasihi notes, Ushairi notes, isimu Jamii notes and Many More: Mwongozo wa kigogo, Kidagaa, Tumbo lisiloshiba, Chozi..

Bembea Ya Maisha Mwongozo Free Kiswahili Notes For Secondary Schools Free Downloads

KISWAHILI NOTES- REVISION KIT

Kigogo Kiswahili setbook free Guides, KCSE Questions and Answers Downloads

Free Kiswahili notes, revision questions, KCSE past Papers, Exams, Marking Schemes, Topical revision materials, Syllabus and Many more

Kiswahili free lesson plans for all topics (Form one to four)

KISWAHILI LUGHA NOTES FORM 1, 2, 3 & 4

Kiswahili Topic By Topic Questions And Answers PAPER 1-3 (All Topics)

KCSE Set Books Revision Questions and Answers (English and Kiswahili)

Free Kiswahili Notes, Exams, Schemes of Work, Lesson plans and other revision materials
Free Kiswahili Notes, Exams, Schemes of Work, Lesson plans and other revision materials

 

2. SARUFI ZA MATUMIZI YA LUGHA

  1. Lugha
    1. Maana ya dhima ya lugha
    2. Sauti (i)Irabu/vokali (ii)Konsonanti (iii)Mpangilio
    wa sauti katika silabi na maneno
    3. Vipasho vya lugha:sauti-silabi-neno-sentensi2. Aina za maneno
    1. Aina za maneno(i)Nomino-N (ii)Vitenzi-T
    (iii)Viwakilishi-W (iv)Vivumishi-V
    (v)Vielezi-E(vi)Viunganishi-U(vii)Vihusishi-U(viii)Vihusishi-I
    2. Kubainisha maneno katika tungo k.m Mtoto analia3. Ngeli za nomino
    1. A-WA,U-I,U-YA-YA-YA,LI-YA,KI-VI,I-ZI,I-I,U-ZI,U-U,KU,
    PA-KU-MU

    4. Viambishi
    1. Maana
    2. Aina-awali -Tamati

    5. Nyakati na hali
    1. Nyakati
    2. Hali
    3. Ukanushaji kutegemea

    6. Mnyambuliko wa vitenzi
    1. Viambishi vya mnyambuliko
    2. Kauli Za vitenzi (i)Kutenda
    (ii)Kutendewa(iii)Kutendeka(iv)Kutendana(v)Kutendea(vi)Kutendwa(
    vii)Kutendesha

    7. Sentensi ya kiswahili
    1. Maana ya sentensi
    2. Mpangilio na uhusiano wa maneno kimantiki katika
    sentennsi ya kiswahili
    3. Muundo wa sentensi
    4. Sentensi sahili -Upambanuzi wa sentensi sahili
    kuonysha muundo wake kwa njia ya mstari

    8. Uakifishaji
    1. Alama za kuakifisha: 1.Nukta/kitone/kikomo(.) 2.
    Mkato/kipumuo/kituo/koma(,) 3. Nukta mkato/semi koloni(;)
    4.Nukta pacha/nukta mbili/koloni 5.Kiulizi/kiulizo(?) 6. Alama
    hisi(!) 7.Alama mtajo/za kunukuu/za usemi(\”\”)
    8.Mkwaju/mshazari(/) 9.Kistari kifupi(-) 10. Kistari (_)
    11.Mstari 12.Ritifaa/kibainisha(\’)
    13.Mabano/vifungo/Parandesi(),[] 14..Herufi kubwa (H) na
    herufi ndogo(h) 15. Herufi nzito (Hh) 16.Herufi
    mlazo/italiki(Hh) 17.Nukta za dukuduku/mdikezo(…) 18.
    Kinyota(*)
    9. Ukubwa na udogo

    10. Umoja na udogo

 

Download more free unlimited Kiswahili resources here: Educationnewshub.co.ke

KISWAHILI USHAIRI NOTES WITH EXAMPLES AND GUIDES

Kiswahili Fasihi, English Literature Notes, Guides, Revision Questions (Kigogo, Chozi La Heri, Blossoms, Tumbo, A Doll’s House, Inheritance)

Free Kiswahili Fasihi notes, Ushairi notes, isimu Jamii notes and Many More: Mwongozo wa kigogo, Kidagaa, Tumbo lisiloshiba, Chozi..

Bembea Ya Maisha Mwongozo Free Kiswahili Notes For Secondary Schools Free Downloads

KISWAHILI NOTES- REVISION KIT

Kigogo Kiswahili setbook free Guides, KCSE Questions and Answers Downloads

Free Kiswahili notes, revision questions, KCSE past Papers, Exams, Marking Schemes, Topical revision materials, Syllabus and Many more

Kiswahili free lesson plans for all topics (Form one to four)

KISWAHILI LUGHA NOTES FORM 1, 2, 3 & 4

Kiswahili Topic By Topic Questions And Answers PAPER 1-3 (All Topics)

KCSE Set Books Revision Questions and Answers (English and Kiswahili)

Free Kiswahili Notes, Exams, Schemes of Work, Lesson plans and other revision materials
Free Kiswahili Notes, Exams, Schemes of Work, Lesson plans and other revision materials

3. KUSOMA

  1. Kusoma kwa sauti
    1. Sauti mwambatano k.m/kw/mb/mw/ng/nj/nd/n.k
    2. Sentensi
    3. Vifungu vya maneno na aya2. Kusoma kwa ufahamu
    3. Kusoma kwa kina
    1. Riwaya
    2. Tamthilia
    3. Ushairi
    4. Kusoma kwa mapana
    5. Matunizi ya maktaba
    6. Matumizi ya kamusi4. KUANDIKA
  2. Uandishi wa kawaida
    1. Majibu ya ufahamu
    2. Muhtasari
    3. Imla
    4. Uchambuzi wa maandishi mbalimbali2. Utungaji wa kiuamilifu
    1. Maana na dhima ya utungaji
    2. Barua (i )Kirafiki (ii)Ramsi
    3. Ratiba kama vile ya sherehe ya kuzaliwa
    4. Tahadhari (i)Onyo (ii)Ilani
    5. Matangazo
    6. Maagizo/maelekezo
    7. Kujaza fomu,stakabadhi na orodha
    8. Taarifa
    9. Mahojiano na dayolojia3. Uandishi wa insha
    1. Maana na aina za insha (a)Picha (b)Mdokezo
    (c)Maelezo (d)Masimulizi

    4. Utungaji wa kisanii
    1. Mashairi mepesi
    2. Hdithi fupi
    3. Vitendawili,mafumbo na chemsha bongo

    * FORM 2

  3. KUSIKILIZA NA KUZUNGUMUZA
  4. Matamshi bora
    1. Silabi tatanishi km
    pa/ba,sa/sha,la/ra,cha/sha,za/sa n.k
    2. Sauti tatanishi k.m b/mb,d/nd,g/ng,n.k
    3. Vitate k.m kua/kuwa
    4. Vitanza ndimi2. Maamkizi na mazungumzo
    3. Ufahamu wa kusikiliza
    4. Kusiliza na kudadisi2. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
  5. Misingi ya maneno
    2. Aina za maneno na migawanyo yake
    1. Aina za maneno
    2. Vivumishi
    3. Vitenzi
    4. Viwakilishi
    5. Vielezi3. Vinyume
    4. Nyakati na hali
    5. Sentensi ya kiswahili
    6. Mnyambuliko wa vitenzi
    7. Uakifishaji
    8. Usemi halisi na usemi wa taarifa
    9. Uundaji wa maneno
    10. Ukubwa na udogo
    1. Ukanushaji
    12. Umoja na wingi3. KUSOMA
  6. Kusoma kwa sauti
    1. Sauti na maneno tatanishi k.m
    p/b,s/sh,l/r,ch/sh,s/z(papa /baba,tata/dada,susu/zuzu)
    2. Vitate k.m kua/kuwa,pua/bua,vua/fua
    3. Maneno tatanishi yenye sauti mwambatano k.m
    mbali/bali,kindani/kidani,buni/mbuni
    4. Sentensi zenye maana tatanishi2. Kusoma kwa ufahamu
    3. Kusoma kwa kina
    1. Riwaya
    2. Ushari
    3. Tamthilia
    4. Kusoma kwa mapana
    5. Kusoma maktabani
    6. Matumizi ya kamusi4. KUANDIKA
  7. Uandishi wa kawaida
    1. Majibu ya ufahamu ya maandishi
    2. Muhtasari
    3. Imla2. Utungaji wa kiuamilifu
    1. Barua (i)Rasmi (ii)Mialiko (iii)Risala (iv)Simu
    2. Hotuba
    3. Ratiba k.m siku ya wazazi shuleni
    4. Matangazo
    5. Tahadhari (i)Ilani (ii)Onyo
    6. Maagizo/maelekezo
    7. Shajara
    8. Resipe
    9. Orodha ya mambo
    10. Taarifa
    11. Mahojiano
    12. Dayolojia3. Uandishi wa insha
    1. Maelezo
    2. Mazungumzo
    3. Mdokezo
    4. Methali

    4. Utungaji wa kisanii
    1. Hadithi fupi
    2. Mashairi
    3. Michezo ya kuigiza

    * FORM 3

  8. KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
    1. Maamkizi na mazungumzo
    1. Maamkizi ya heshima na mazungumzo katika mazingira
    2. Mahojiano kama vile baina ya watu wawili
    3. Mjadala kama vile umoja wa kitaifa
    4. Hotuba2. Ufahamu wa kusikiliza
    3. Kusikiliza na kudadisi
    1. Dhima ya fasihi kwa jumla
    2. Umuhimu wa fasihi simulizi
    3. Muainisho wa fasihi simulizi2. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
  9. Omoja na wingi
    1. Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa
    mintaarafu ya: (a)Viulizi (b)Idadi (c)-A-unganifu (d)Virejeshi
    \’O\’ na \’amba-\'(e)Visisitizi (f)Pekee (i)-enye (ii)-enyewe
    (iii)-ote (iv)-o-ote (v)-ingine (vi)-ingineo
    2. Vielezi
    1. Vielezi vya: (a)Namna (b)Wakati (c)Idadi/kiasi
    (d)Mahali
    3. Viwakilishi
    4. Mwingiliano wa maneno
    5. Vitenzi
  10. Mzizi wa kitenzi
    2. Viambishi awali katika vitenzi
    3. Viambishi tamati katika vitenzi
    4. Vinyume vya vitenzi
    5. Hali ya kuamrisha
    6. Uundaji wa nomino
    7. Sentensi ya kiswahili
  11. Aina za (i)Virai (ii)Vishazi
    2. Muundo wa sentensi
    3. Aina za sentensi
    4. Uchanganuzi wa sentensi kwa njia ya: (i)jedwali
    (ii)mchoro wa matawi (iii)mstari8. Nyakati na hali
    1. Nyakati -LI-,-NA-,-TA-
    2. Hali ya,-KI-,-KA-,-A-,-PO-,-KU-
    3. Ukanushaji
    4. Uakifishaji
    5. Mnyambulik wa vitenzi3. KUSOMA
  12. Kusoma kwa sauti
    2. Kusoma kwa ufahamu
    3. Kusoma kwa kina
    4. Kusoma kwa mapana4. KUANDIKA
  13. Uandishi wa kawaida
    1. Majibu ya ufahamu na uchanganuzi
    2. Muhtasari
    3. Tahakiki za kazi za kisanii2. Utungaji wa kiuamilifu
    1. Barua
    2. Ratiba k.m sherehe za arusi
    3. Taharadhi (i)Ilani (ii)Onyo
    4. Matangazo
    5. Maagizo/maelekezo
    6. Tawasifu
    7. Wasifu
    8. Resipe
    9. Kumbukumbu
    10. Ripoti
    11. Mahojiano na dayolojia
    12. Kujaza fomu na hojaji
    13. Insha za kitaaluma k.m makala ya redio na runinga3. Uandishi wa insha
    4. Utungaji wakisanii
    1. Michezo ya kuigiza
    2. Mikusanyiko ya kazi za fasihi simulizi
    3. Mashairi

    * FORM 4

  14. KUSIKILIZA NA KUZUNGUMZA
  15. Maamkizi na mazungumzo
    2. Ufahamu wa kusikiliza
    3. Kusikiliza na kudadisi
    1. Sifa bainifu za fasihi simulizi na fasihi andishi
    2. Muanisho wa fasihi simulizi (i)semi (ii)Masimulizi
    ya hadithi (iii)Mazungumzo
    3. Maigizo kutegemea shabaha na miktadha
    4. Ngomezi
    5. Ushairi2. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
  16. Ngeli za nomino
    1. Ngeli za nomino na upatanisho wa kisarufi kwa
    mintarafu ya: (i)Virejeshi \’O\’ na \’amba\’ (ii)Vivumishi
    2. Aina mbalimbali za maneno
    1. Viunganishi
    2. Nomino
    3. Vitenzi
    4. Viwakilishi
    5. Vivumishi
    6. Vielezi
    7. Vihusishi
    8. Vihisishi3. Mwingiliano wa aina mbalimbali za maneno k.m kivumishi
    kuwa nomino
    4. Muundo wa sentensi ya kiswahili
    5. Mnyamuliko wa vitenzi vya:
    1. Asili ya kigeni
    2. Silabi moja
    3. Asili ya kibantu6. Nyakati na hali
    1. Nyakati: LI,NA.TA
    2. Hali:ME,HU,NGE,NGELI,NGALI,PO,A,KA,KI,KU
    3. Hali ya kuamuru
    4. Ukanushaji kutegemea nafsi

    7. Uakifishaji
    8. Uundaji wa maneno
    1. Nomino kutokana na mzizi wa nomino
    2. Nomino kutokana na mzizi wa kitenzi
    3. Kitenzi kutokana na mzizi wa nomino
    4. Kivumishi kutokana na mzizi wa nomino
    5. Nomino kutokana na mzizi wa kivumishi
    6. Kivumishi kutokana na mzizi wa kitenzi
    7. Kitenzi kutokanan na mzizi wa kivumishi
    9. Matumizi ya maneno na viambishi maalum
    10. Umoja na wingi

    3. KUSOMA

  17. Kusoma kwa sauti
    2. Kusoma kwa ufahamu
    3. Kusoma kwa kina
    4. Kusoma kwa mapana4. KUANDIKA
  18. Uandishi wa kawaida
    1. Majibu ya ufahamu na uchanganuzi
    2. Muhtasari
    3. Tahakiki za kazi za kisanii2. Utungaji wa kiuamilifu
    3. Uandishi wa insha
    1. Masimulizi
    2. Mazungumzo
    3. Mawazo
    4. Maelezo
See also  Class 8 KCPE past papers, predictions, topicals, revisions free downloads

1 thought on “Kiswahili Knec Syllabus”

Leave a Comment

Verified by MonsterInsights