SILABASI YA KISWAHILI
* KIDATO CHA KWANZA
3. Ufahamu wa kusikiliza
1. Ufahammu wa taarifa za kusikiliza
4. Kusikiliza na kudadisi
1. Utangulizi wa fasihi:(i)Maana (ii)Aina
2. Fasihi simulizi (i)Hadithi (ii)Semi (iii)Ushairi
3. Maigizo:Yategemee shabaha na muktadha k.m
jandoni,sherehe za arusi n.
2. Aina za maneno
1. Aina za maneno(i)Nomino-N (ii)Vitenzi-T
(iii)Viwakilishi-W (iv)Vivumishi-V
(v)Vielezi-E(vi)Viunganishi-U(vii)Vihusishi-U(viii)Vihusishi-I
2. Kubainisha maneno katika tungo k.m Mtoto analia
3. Ngeli za nomino
1. A-WA,U-I,U-YA-YA-YA,LI-YA,KI-VI,I-ZI,I-I,U-ZI,U-U,KU,
PA-KU-MU
4. Viambishi
1. Maana
2. Aina-awali -Tamati
5. Nyakati na hali
1. Nyakati
2. Hali
3. Ukanushaji kutegemea
6. Mnyambuliko wa vitenzi
1. Viambishi vya mnyambuliko
2. Kauli Za vitenzi (i)Kutenda
(ii)Kutendewa(iii)Kutendeka(iv)Kutendana(v)Kutendea(vi)Kutendwa(
vii)Kutendesha
7. Sentensi ya kiswahili
1. Maana ya sentensi
2. Mpangilio na uhusiano wa maneno kimantiki katika
sentennsi ya kiswahili
3. Muundo wa sentensi
4. Sentensi sahili -Upambanuzi wa sentensi sahili
kuonysha muundo wake kwa njia ya mstari
8. Uakifishaji
1. Alama za kuakifisha: 1.Nukta/kitone/kikomo(.) 2.
Mkato/kipumuo/kituo/koma(,) 3. Nukta mkato/semi koloni(;)
4.Nukta pacha/nukta mbili/koloni 5.Kiulizi/kiulizo(?) 6. Alama
hisi(!) 7.Alama mtajo/za kunukuu/za usemi(\”\”)
8.Mkwaju/mshazari(/) 9.Kistari kifupi(-) 10. Kistari (_)
11.Mstari 12.Ritifaa/kibainisha(\’)
13.Mabano/vifungo/Parandesi(),[] 14..Herufi kubwa (H) na
herufi ndogo(h) 15. Herufi nzito (Hh) 16.Herufi
mlazo/italiki(Hh) 17.Nukta za dukuduku/mdikezo(…) 18.
Kinyota(*)
9. Ukubwa na udogo
10. Umoja na udogo
3. KUSOMA
4. KUANDIKA
2. Utungaji wa kiuamilifu
1. Maana na dhima ya utungaji
2. Barua (i )Kirafiki (ii)Ramsi
3. Ratiba kama vile ya sherehe ya kuzaliwa
4. Tahadhari (i)Onyo (ii)Ilani
5. Matangazo
6. Maagizo/maelekezo
7. Kujaza fomu,stakabadhi na orodha
8. Taarifa
9. Mahojiano na dayolojia
3. Uandishi wa insha
* KIDATO CHA PILI
2. Maamkizi na mazungumzo
3. Ufahamu wa kusikiliza
4. Kusiliza na kudadisi
2. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
3. Vinyume
4. Nyakati na hali
5. Sentensi ya kiswahili
6. Mnyambuliko wa vitenzi
7. Uakifishaji
8. Usemi halisi na usemi wa taarifa
9. Uundaji wa maneno
10. Ukubwa na udogo
11. Ukanushaji
12. Umoja na wingi
3. KUSOMA
4. KUANDIKA
2. Utungaji wa kiuamilifu
1. Barua (i)Rasmi (ii)Mialiko (iii)Risala (iv)Simu
2. Hotuba
3. Ratiba k.m siku ya wazazi shuleni
4. Matangazo
5. Tahadhari (i)Ilani (ii)Onyo
6. Maagizo/maelekezo
7. Shajara
8. Resipe
9. Orodha ya mambo
10. Taarifa
11. Mahojiano
12. Dayolojia
3. Uandishi wa insha
1. Maelezo
2. Mazungumzo
3. Mdokezo
4. Methali
4. Utungaji wa kisanii
1. Hadithi fupi
2. Mashairi
3. Michezo ya kuigiza
* KIDATO CHA TATU
2. Ufahamu wa kusikiliza
3. Kusikiliza na kudadisi
1. Dhima ya fasihi kwa jumla
2. Umuhimu wa fasihi simulizi
3. Muainisho wa fasihi simulizi
2. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
3. KUSOMA
4. KUANDIKA
* KIDATO CHA NNE
2. SARUFI NA MATUMIZI YA LUGHA
3. Mwingiliano wa aina mbalimbali za maneno k.m kivumishi
kuwa nomino
4. Muundo wa sentensi ya kiswahili
5. Mnyamuliko wa vitenzi vya:
1. Asili ya kigeni
2. Silabi moja
3. Asili ya kibantu
6. Nyakati na hali
1. Nyakati: LI,NA.TA
2. Hali:ME,HU,NGE,NGELI,NGALI,PO,A,KA,KI,KU
3. Hali ya kuamuru
4. Ukanushaji kutegemea nafsi
7. Uakifishaji
8. Uundaji wa maneno
1. Nomino kutokana na mzizi wa nomino
2. Nomino kutokana na mzizi wa kitenzi
3. Kitenzi kutokana na mzizi wa nomino
4. Kivumishi kutokana na mzizi wa nomino
5. Nomino kutokana na mzizi wa kivumishi
6. Kivumishi kutokana na mzizi wa kitenzi
7. Kitenzi kutokanan na mzizi wa kivumishi
9. Matumizi ya maneno na viambishi maalum
10. Umoja na wingi
3. KUSOMA
4. KUANDIKA
2. Utungaji wa kiuamilifu
3. Uandishi wa insha
1. Masimulizi
2. Mazungumzo
3. Mawazo
4. Maelezo
Get the latest Mwalimu National Sacco BOSA Loans Application Form {Free Download}, here. PDF Latest…
Here is the revised and latest Mwalimu National Sacco FOSA Salary Advance Application Form {Free…
Here is the latest Mwalimu National Sacco FOSA Instant Loan Application Form {Free Download}. Download…
The landscape of digital gambling has shifted toward high-octane mechanics that prioritize volatility and massive…
The Teachers Service Commission (TSC) has advertised 170 job vacancies across, covering senior, mid‑level, and…
Health Cabinet Secretary Aden Duale has ordered immediate changes to the Social Health Authority (SHA)…