Form 1 Kiswahili Exams and Marking Schemes Free
JINA:…………………………………………………. NAMBARI YA USAJILI……………
SHULE:……………………………………………………………………………………….. DARASA:……………
KISWAHILI
KIDATO CHA KWANZA
MUDA: SAA 2 ½
JARIBIO LA TATHMINI YA PAMOJA
MUHULA WA TATU
MAAGIZO KWA MTAHINIWA
JIBU MASWALI YOTE
KISWAHILI USHAIRI NOTES WITH EXAMPLES AND GUIDES
Bembea Ya Maisha Mwongozo Free Kiswahili Notes For Secondary Schools Free Downloads
Kigogo Kiswahili setbook free Guides, KCSE Questions and Answers Downloads
Kiswahili free lesson plans for all topics (Form one to four)
KISWAHILI LUGHA NOTES FORM 1, 2, 3 & 4
Kiswahili Topic By Topic Questions And Answers PAPER 1-3 (All Topics)
KCSE Set Books Revision Questions and Answers (English and Kiswahili)
KWA MATUMIZI YA MTAHINI PEKEE
| SWALI | UPEO | ALAMA |
| 1. UFAHAMU | 15 | |
| 2. SARUFI | 40 | |
| 3. ISIMU JAMII | 10 | |
| 4. FASIHI | 15 | |
| JUMLA | 80 |
Ulimwengu mzima ulisimama ghafla na shughuli za kawaida zikakwama katika mataifa yote duniani. Walimwengu walipata kibarua kigumu mno huku shughuli za uchukuzi wa kimataifa zikitatizika kwa njia zisizomithilika. Ikumbukwe pia kuwa masomo yalitatizika pakubwa huku viwango vyote vya shule vikifungwa.
Vituo vya afya navyo vilifurika kwa msongamano mkubwa wa watu huku wahudumu wa afya wakilemewa na idadi kubwa ya magonjwa. Wahudumu hao walijipata kwenye wadi na vyumba vya wagonjwa mahututi na wengine wengi walifariki. Wengineo walikosa nafasi ya matibabu au ya kulazwa katika hospitali wanazohudumu.
Uchumi uliathirika pakubwa. Watu wengi walipoteza kazi zao. Wengine walitumwa nyumbani kwa likizo bila malipo nao wengine wakikatwa mishahara kwa asilimia kubwa. Biashara nazo hazikusazwa na gonjwa hili kwani nyingi zilifungwa wengine wakipata hasara chungu nzima. Benki zilijipata kwa njia panda kwa wateja kushindwa kulipa mikopo.
Usisahau kuwa maelfu ya watu walipoteza maisha yao huku wengine wengi wakiendelea kukabiliana na makali ya ugonjwa wa Covid-19 ambayo kwa sasa ni uhakika kuwa umejua kuwa ndio ninaozungumzia. Kenya, kama mataifa mengine ulimwenguni inaendelea kukabiliana na janga hili.
Miongoni mwa dalili za mapema za maambukizi ya gonjwa hili ni kukohoa, kushindwa kupumua au ugumu wa kupumua, joto jingi au baridi kali mwilini, maumivu ya misuli au mwili, kutapika au kuendesha, kupoteza hisia za kuonja na kunusa miongoni mwa mengine. Yeyote anayeonyesha dalili hizi anashauriwa kujitenga na kwenda hospitalini mara moja.
Ni muhimu kujilinda dhidi ya virusi hivi. Vaa barakoa wakati unapoenda kwenye watu. Kumbuka kuosha mikono yako kwa maji yanayotiririka na sabuni au kutakasa. Epuka mikusanyiko ya watu na uzingatie umbali wa mita moja unapokumbana na watu. Kaa nyumbani kama inawezekana. Wenye magonjwa mengine kama shinikizo ya damu, ukimwi, saratani, kisukari miongoni na pia watu wa umri wa juu wanashauriwa na wataalamu wa afya wawe makini Zaidi kwani wamo hatarini Zaidi.
Hebu tugeukie mikakati mbalimbali iliyowekwa na serikali ya Kenya tangu kuliporipotiwa kisa cha kwanza nchini. Serikali ilitangaza kufungwa kwa shule. Kando na kufungwa huko, kafyu ya saa moja usiku hadi saa kumi na moja asubuhi iliwekwa hapo awali, hatua iliyolegezwa baadaye. Kufungwa kwa uchukuzi wa kimataifa ulitangazwa huku uchukuzi nchini ukidhibitiwa kwa kupunguzwa kwa idadi ya watu kwenye uchukuzi wa uma. Mikusanyiko ya watu ilipigwa marufuku nazo kanisa zikifungwa japo kwa muda. Idadi ya watu katika arusi na mazishi ilipunguzwa mno. Maeneo ya burudani pia yalifungwa kwa muda nayo maeneo ya maabadini yalifungwa miongoni mwa mikakati mingine
Baada ya miezi kadhaa makali ya janga hili tandavu yalizidi kuwakumba wakenya huku kufungwa kwa nchi kukiendelea kuathiri shughuli ya kawaida za kujikimu. Serikali iliweka mikatati ya kuinua uchumi. Wakenya wa viwango vya chini walitumiwa pesa za kujikimu huku wafanyibiashara wadogo wakiinuliwa kwa mikopo. Serikali pia ilizuia benki kuzungumza na madeni wao na kuwasongezea nyakati za kulipa. Ikumbukwe pia serikali ilipunguza ushuru kwa wakenya wenye kipato cha chini. Serikali pia ililazimika kulegeza mikakati kadhaa ili kuwapa wakenya nafasi ya kujichumia. Saa za kafyu zilipunguzwa huku uchukuzi wa kitaifa na kimataifa ukifunguliwa upya. Shule pia zilianza kufunguliwa japo kwa watahiniwa. Wamiliki wa maeneo ya burudani walinufaika na kufunguliwa kwa maeneo hayo.viongozi wa kidini na wafuasi wao walikuwa na kila sababu ya kutabasamu baada ya serikali kuwafungulia maeneo ya kuabudu.
Wakenya wanaendelea kuhimizwa kufuata kanuni za wizara ya Afya dhidi ya Covid-19. Hii inaendelea huku wakenya wakilaumiwa kwa kutovaa barakoa, kuendelea kutangamana katika mikutano ya kisiasa, kutoosha wala kutakasa mikono, kutozingatia saa za kafyu miongoni mwa mengine.
Ulimwengu unaendeleza mchakato wa kutafiti na kutafuta chanjo ya korona huku baadhi ya mataifa wakitangaza kupiga hatua kubwa na kwamba tutakwamuliwa hivi karibuni. Kujilinda kunabaki kuwa chanjo kuu.
Maswali
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………. (al.1)
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………..
i.Walahi! Nikimuona Kamau nitampiga.
ii.Mimi nilimwambia jana asubuhi.
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………….
sanduku –
rangi –
uteo –
Mwalimu amekuwa akitufundisha.
………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………..
Mtoto amevuka mto ule.
……………………………………………………………………………………….
Bibi yake ni mgonjwa.
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
Amesomeshwa
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
Mama ameenda shambani –
Nikimpata nitamwambia –
Mwalimu anafundisha –
Juma atafika kesho –
Mwalimu mrefu ameketi chini.
………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………..
Nanii kuku …? Sosi poa leo… mate ndo! Ndo! Ndo! Ukimanga hii hutaona daktari kwa miaka kumi… Ng’ombe je? Nani …. Nani? Ni wewe… poa basi naja…
……………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………………
_________________________________________________________________________________________________
MUHULA WA TATU
KIDATO CHA KWANZA
MWONGOZO WA KUSAHIHISHA
UFAHAMU
SARUFI ( alama 40)
iii) ‘nafsi
nilimuona kitenzi (T)
Kamau –nomino (N)
nitampiga – kitenzi (T) (4×1/2)
ii.mimi – kiwakilishi (W)
nilimwambia –kitenzi ( T)
jana – kielezi (E)
asubuhi – kielezi (E) (4×1/2)
Kuandika nomino za pekee mf. Kenya, Tana, Juma.
(Majina ya watu, milima, mito, miji, nchi, mwezi, siku) (matumizi alama mbili mifano alama mbili)
Rangi I-I
Uteo U-ZI (3×1)
Mfano. Paa baa bata pata (Maana alama moja,mfano alama moja)
Nyanya yake ni mgonjwa. (2×1)
eshwa – viambishi tamati (2×1)
‘ki’ ya masharti
Wakati uliopo
Wakati ujao (4×1)
iii)someshwa
iv)ogofya (4×1)
o-a
shu-ku-ru
kwa-o (2×1)
ISIMU JAMII
matumizi ya misimu mf. Ukimanga
matumizi ya tanakali za sauti mf. Mate ndo!ndo!ndo!
matumizi ya sentensi fupifupi
lugha ya ucheshi na utani
kuchanganya ndimi
lugha si sanifu. ( Kutaja ½ mfano alama ½)
sajili ya darasani
sajili ya kanisani. (2×1)( mwalimi akadilie jibu la mwanafunzi)
FASHI SIMULIZI (ALAMA 15)
Fasihi – ni Sanaa inayotumia lugha kwa ufundi kuwasilisha ujumbe kwa mwanadamu.
Ngano – hivi ni visa vya kubuni au vya kweli ambavyo huwasilishwa kwa lugha kinathari kuhusu watu, matukio na mahali mbalimbali. (3×1)
Fasihi andishi (2×1)
Bembea/bembelezi/pembelezi
Nyimbo za kazi/hodiya
Nyimbo za watoto (chekechea)
Nyiso
Nyimbo za sifa (sifa)
Nyimbo za mapenzi. (4×1)
Husaidia kukuza lugha
Fasihi hupumzisha (huburudisha na huliwaza)
Fasihi ni kitambulisho cha jamii za binadamu
Husaidia kukuza au kujonga tabia
Kumburudisha na kumstarehesha binadamu
Kuichochua na kuelimisha jamii
Huadilisha/kukuza maadili
Huunganisha na kuibua hisia za mzalendo. (6×1)
Get the latest Mwalimu National Sacco BOSA Loans Application Form {Free Download}, here. PDF Latest…
Here is the revised and latest Mwalimu National Sacco FOSA Salary Advance Application Form {Free…
Here is the latest Mwalimu National Sacco FOSA Instant Loan Application Form {Free Download}. Download…
The landscape of digital gambling has shifted toward high-octane mechanics that prioritize volatility and massive…
The Teachers Service Commission (TSC) has advertised 170 job vacancies across, covering senior, mid‑level, and…
Health Cabinet Secretary Aden Duale has ordered immediate changes to the Social Health Authority (SHA)…