Categories: Teachers' Resources

FREE KISWAHILI SCHEMES OF WORK FORM 4

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA NNE

MUHULA WA I

          ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi

Get PDF Schemes Here; Free updated schemes of work for all subjects (Secondary)

Download more free unlimited Kiswahili resources here: Educationnewshub.co.ke

KISWAHILI USHAIRI NOTES WITH EXAMPLES AND GUIDES

Kiswahili Fasihi, English Literature Notes, Guides, Revision Questions (Kigogo, Chozi La Heri, Blossoms, Tumbo, A Doll’s House, Inheritance)

Free Kiswahili Fasihi notes, Ushairi notes, isimu Jamii notes and Many More: Mwongozo wa kigogo, Kidagaa, Tumbo lisiloshiba, Chozi..

Bembea Ya Maisha Mwongozo Free Kiswahili Notes For Secondary Schools Free Downloads

KISWAHILI NOTES- REVISION KIT

Kigogo Kiswahili setbook free Guides, KCSE Questions and Answers Downloads

Free Kiswahili notes, revision questions, KCSE past Papers, Exams, Marking Schemes, Topical revision materials, Syllabus and Many more

Kiswahili free lesson plans for all topics (Form one to four)

KISWAHILI LUGHA NOTES FORM 1, 2, 3 & 4

Kiswahili Topic By Topic Questions And Answers PAPER 1-3 (All Topics)

KCSE Set Books Revision Questions and Answers (English and Kiswahili)

Free Kiswahili Notes, Exams, Schemes of Work, Lesson plans and other revision materials
JUMA KIPINDI

SOMO

SHABAHA

MBINU

VIFAA

ASILIA

MAONI

1 4-6 KUFUNGUA SHULE NA KUSAHIHISHA KAZI YA LIKIZO
2 5-6 Fasihi

Hadithi fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na lugha

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

3 1 Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi simulizi na fasihi andishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuweza kubainisha sifa za fasihi simulizi na fasihi andishi pamoja na tofauti, aidha tanzu zake

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Jedwali

Utendaji wa wanafunzi

C. Kuhenga

Fasihi simulizi na tamathali za usemi

KLB BK 4 UK 4-19

Chem BK 4 UK 4

2 Isimu Jamii

Maana, lugha na mawasiliano

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana ya isimu jamii, umuhimu wake, maana ya lugha, dhima na uhusiano kati ya mawasiliano na lugha

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

I.I Odeon a M. Geoffrey

Fani ya isimu jamii UK 1-8

3 Sarufi

Vivumishi, ngeli za majina na upatanishi wake

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvibainisha vivumishi vya sifa, vionyeshi, idadi na kuvitumia pamoja na ngeli mbalimbali katika sentensi

Kuuliza

Kusikiliza

Kujibu maswali

Jedwali, kadi zenye vivumishi vya sifa vionyeshi na idadi

Chem BK4 UK 102

KLB BK4 UK 26-27

Nkwera: Fasihi na sarufi UK 28

4 Kusoma

Matangazo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa sauti matangazo kwa ufasaha na utaratibu tofauti

Kuyatofautisha matangazo hayo

Kutafuta matangazo mbalimbali

Kubainisha sifa zake

Nakala za matangazo ya redio nay a kuandikwa

Chem. UK 102

KLB BK4 UK 26

5 Kuandika

Barua rasmi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sehemu muhimu za kuzingatia na kuzitilia maanani ili kuweza kutunga barua nzuri ipasavyo

Maelezo, kujadiliana na kuandika barua

Nakala za barua rasmi

Chem. UK 32

KLB BK4 UK 8-15

Mwongozo wa uandishi wa insha

6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti ya hadithi, dhamira, maudhui, lugha na wahusika katika hadithi

 

 

Kujadiliana

Kuuliza

Kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

4 1 Kuandika insha ya methali Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha maana bayana na batini, visa katika kubuni insha inavyostahiki

Utendaji wa wanafunzi

Mifano ya insha za methali

Chem. UK 66

KLB BK4 UK 28-29,

16-17

2 Kusikiliza na kuzungumza Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuelewa taarifa, kudondoa mambo muhimu kwa kuzingatia matamshi bora na lugha

Utendaji wa wanafunzi

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: kamusi sanifu

KLB BK4 UK30-32

3 Sarufi

Nomino/jina

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Utambuzi wa aina mbalimbali za nomino, kuzitolea mifano katika sentensi sahihi

Kusikiliza

Kuuliza

Kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. UK 5

KLB BK4 UK 32-35

F.V. Nkwera

4 Kusoma kwa mapana

Magazeti

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuwa staid katika usomaji

Kuzingatia matamshi bora

Kudondoa hoja za kitaifa na kimataifa na zinazohusiana na janga la ukimwi

Majadiliano na usomaji wa magazeti

Taifa Leo

Majira

Majarida Ya Kiswahili

Katika maktaba

Magazeti ya magktaba

KLB BK4 UK 35-37

5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui na wahusika katika hadithi fupi

Kujadiliana

Kuuliza

Kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

5 1 Kuandika

Muhtasari

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Uzingativu wa kanuni za muhtasari

Kudondoa hoja muhimu bila kubadili maana na kuandika muhtasari

Kusoma makala

Kudondoa hoja muhimu na kuandika muhtasari

Fungu la ufupisho

KLB BK4 UK 37-38

Tuki

Kamusi sanifu

2 Kusikiliza na kuzungumza:

Mtandao

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuweza kuwasiliana kwa mtandao na kutambua istilahi zinazohusiana na mtandao

Majadiliano

Kuuliza

Kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. UK 137

KLB BK4 UK 39-41

Tuki

Kamusi sanifu

3 Sarufi

Vitenzi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvitanbua na kutaja aina zake na kuweza kuvitungia sentensi

Kutambulisha vitenzi

Kuuliza

Kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. UK 39

KLB BK4 UK 43-46

 

4 Kuandika

Memo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambulisha aina mbalimbali za meme na kuandika ujumbe kwa kutumia meme

Maswali

Majadiliano

Kujibu maswali

Tarakilishi

Rununu

Nukilishi

Chem. UK 78

KLB BK4 UK 46-50

5 Isimu Jamii

Hadhi na chimbuko la lugha ya Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuweza kuelewa hadhi ya lugha ya Kiswahili na chimbuko la lugha hii katika upwa wa pwani ya Afrika mashariki

Majadiliano

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 9-21

6 Fasihi

Hadithi fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na matumizi ya lugha

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

6 1 Kusikiliza na kuongea

Methali na misemo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi sahihi, kuelewa maana, methali zilizo sawa na zenye maaana kinzani

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vinasa sauti

Picha na michoro

Kamusi ya methali

Kamusi ya misemo

2 Kusoma kwa ufahamu

Haki za binadamu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Matamshi sahihi, kuelewa maana, msamiati ili kuweza kujibu maswali ipasavyo

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki

Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 56-58

3 Sarufi

Viwakilishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Aina za viwakilishi zitambulishwe na ziweze kutumika katika umoja na wingi ipasavyo katika mwasiliano

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. UK 17

KLB BK4 UK 58-60

Oxford BK4 UK

4 Isimu Jamii

Dhana ya lahaja za Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa dhana ya lahaja za Kiswahili, zinakotumika na lafudhi zake ipasavyo

Majadiliano

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 27-32

5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

7 1 Kuandika

Tahakiki

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Utambuzi wa vipengele vya tahakiki na kuvitumia ipasavyo katika zoezi la kutahakiki taarifa

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kujadiliana

Tamthilia

Riwaya

Diwani ya ushairi na hadithi fupi

KLB BK4 UK 75-78

Rejea zote

2-3 Fasihi

Hadithi fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi

Kujadiliana

Kuuliza

Kujibu maswali baada ya hadithi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

4 Kusikiliza na kuongea

Mafumbo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha matamshi bora

Kunoa akili

Kumakinika katika ufumbuzi na utatuzi wa matatizo/mafumbo

Kushiriki katika ufumbuzi

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. UK 71

KLB BK4 UK 79-81

5 Fasihi simulizi

Lakabu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi bora

Kuwa watambuzi na wachunguzi ili kuweza kuunda na kutumia lakabu ipasavyo

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na bango lenye picha

Chem. UK 60

KLB BK4 UK 79-81

6 Kusoma

Viwanda

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusomakuimarisha matamshi bora na kuweza kuujua na kuutumia ipasavyo

Kujibu maswali ipasavyo

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki

Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 84-88

8 1 Sarufi

Viunganishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvitambua na kuvitumia kwa usahihi katika mazungumzo na pia kwenye sentensi ipasavyo

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na bango lenye picha

F.V Nkwera

Sarufi na Fasihi

Chem. UK 97

KLB BK4 UK 88-89

2 Kusoma

Wavuti

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa matamshi bora

Kutambua maana ya wavuti na istilahi zake na kuzitumia ipasavyo

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki

Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 89-91

3 Kuandika

Simu na Memo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu kuhusu sehemu muhimu za simu, memo na kuzibainisha ili kuweza kudhihirisha matumizi yake ipasavyo katika mtungo

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kutunga mtungo

Vifaa halisi

Picha na bango lenye picha

Chem. UK 193

KLB BK4 UK 91-93

Mwongozo wa insha

4 Isimu Jamii

Usanifishaji wa Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sababu na jinsi Kiswahili kilivyosanifishwa baada ya kumaizi maana ya usanifishaji

Kujadiliana

Majadiliano

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 33-37

5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

9 1 Kusikiliza na kuongea

Bungeni

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi bora

Kustawisha mawasiliano na itifaki, aidha istilahi sahihi za bunge

Kusoma kwa sauti

© Education Plus Agencies

Kujadiliana

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. UK 61

KLB BK4 UK 94-97

2 Kusoma

Kumbukumbu za mkutano

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa matamshi bora, kuelewa msamiati, kumudu kuandika kumbukumbu za mkutano ipasavyo

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Nakala za kumbukumbu za mkutano

Chem. UK 169

KLB BK4 UK 97-99

3 Sarufi

Vielezi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua aina mbalimbali za vielezi na kuvitumia katika sentensi na mawasiliano

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Chati ya vielezi

Utendaji wa wanafunzi

Chem. UK 75-76

KLB BK4

UK 100-101

Nkwera 24-26

4-6 LIKIZO FUPI
10 1-2 LIKIZO FUPI
3 Kusoma

Riwaya teule

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuelewa mambo yahusuyo riwaya, kujadili maudhui, kiini, wahusika na mbinu za kisanaa na za lugha

Kusoma

Kujadiliana

Vitabu vya riwaya (hadithi)

Chem. UK 55, 65

KLB BK4 UK 102

4 Isimu Jamii

Maendeleo ya Kiswahili nchini Kenya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili imepiga nchini Kenya ipasavyo

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 38-51

5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

11 1 Sarufi

Vihusishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha aina mbalimbali za vihusishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

Kusikiliza

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. UK 108

KLB BK4 UK 110

2 Sarufi

Vivumishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha aina mbalimbali za vivumishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

Kusikiliza

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. UK 108

KLB BK4 UK 110

3 Isimi Jamii

Chamgamoto na mikakati ya kuimarisha Kiswahili Kenya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili kimepitia ili kukabili changamoto zinazokikabili

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 52-58

4 Isimi Jamii

Chamgamoto na mikakati ya kuimarisha Kiswahili Kenya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili kimepitia ili kukabili changamoto zinazokikabili

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 52-58

5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

12 1 Kusoma

Mashairi huru

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha tofauti ya mashairi, arudhi na huru

Kuyachambua bila utatanishi

Kukariri shairi

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Makala ya majarida ya kiswahili

Chem. UK 113, 173

KLB BK4 UK 114

Tuki: Kamusi sanifu

2 Kuandika

Utungaji wa kisanii

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia kanuni za utunzi wa mashairi huru na kuweza kutunga mashairi mazuri

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kuweza kutunga mashairi mazuri yaliyo na maudhui

Mifano ya mashairi huru

Chem. UK 173

KLB BK4 UK 114

Mwongozo wa utunzi

3 Sarufi

Vihisishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha aina mbalimbali za vihisishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

Kusikiliza

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. UK 213

KLB BK4

UK 110-111

Nkwera

4 Kusikiliza na kuzungumza

Mjadala

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Mada ya mjadala

Kuigiza mazungumzo na kuweza kuwasilisha hoja kwa ufasaha

Kujadiliana na kuelekezwa

Chati

Mchoro na picha

KLB BK4

UK 115-117

5-6 Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

13 1 Kusoma

Utandawazi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kukuza ustadi wa kuso,a kwa ufasaha

Kujadili msamiati na kuutumia katika sentensi

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Ramani ya ulimwengu

Michoro na picha

Chem. UK 160

KLB BK4

UK 117-119

Tuki: Kamusi sanifu

2 Sarufi

Mwingiliano wa maneno

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuyatambua maneno/istilahi ziundazo sentensi na kuzitumia ipasavyo kwa ufasaha

Kuitunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Chati na michoro

KLB BK4 UK 76-77

3 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kushiriki katika kutoa mchango/hoja za kujibu swali lolote katika nyanja yoyote ya fasihi

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kushiriki kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Maswali ya kudurusu ya riwaya, tamthilia, ushairi na hadithi fupi

4 Ushairi

Bahari/aina za ushairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudfurusu kwa kukumbuka na kutaja ainana sifa za bahari hizi za ushairi

Kuchambua ushairi ipasavyo na kutambulisha bahari yake

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Mashairi

E. Kezilahabi

Kunga za Ushairi

Malenga wa Ziwa kuu

5-6 Isimu Jamii

Changamoto zinazokabili Kiswahili nchini na mikakati ya kuimarisha

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha mikakati inayokikabili Kiswahili kwa sasa nchini Kenya

Kujadiliana na pia kubainisha mikakati ya kuzitatua

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 52-55

14 1 Kusikiliza na kuzungumza

Matamshi bora (kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutamka irabu na konsonanti vizuri ipasavyo na kuweza kuzitambulisha

Kutamka

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. BK1 UK 3-8

KLB BK1 UK 16

Oxford BK1 UK 1-3

2 Kusikiliza na kuzungumza

Matamshi bora (kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha ala za kutamkia, irabu zinakotamkwa hali kadhalika konsonanti

Kutambulisha aina za konsonandi

 

Kutunga sentensi sahihi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. BK1 UK 3-8

KLB BK1 UK 16

Oxford BK1 UK 1-3

3 Sarufi

Kuakifisha

(kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha alama za kuakifisha na kuweza kuzitumia ipasavyo katika maandishi

Kusikiliza

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem. BK1 UK 20,37,69,92,131,138,

180,196

KLB BK1 UK 22-23

4 Isimu Jamii

Sajili katika muktadha isiyo rasmi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza na kuelewa

Kubainisha sajili na sifa za lugha ya nyumbani, hospitali,  sokoni, mkahawani na mazungumzo ya kawaida

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 88-92

5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Rejea zote za fasihi

15 MITIHANI

 

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA NNE 

MUHULA WA II

            ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi
JUMA KIPINDI

SOMO

SHABAHA

MBINU

VIFAA

ASILIA

MAONI

1 3-6 KUFUNGUA
2 1 Kusoma kwa Mapana Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa ufasaha na kueleza nafasi ya Kiswahili katika utandawazi

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Ramani ya dunia

Makala yanayohusu utandawazi

KLB BK 2

UK 121-123

Makala magazetini

Tuki: Kamusi sanifu

2 Kuandika

Utungaji wa kuiamilifu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sehemu muhimu za hotuba na kuweza kutunga insha kwa kuzizingatia

Kuhotubia

Kujadiliana

Kufanya zoezi

Nakala za hotuba

Vinasa sauti

KLB BK4 UK

123-124

Mwongozo wa mwalimu

3 Sarufi

Mwingiliano wa maneno

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua istilahi ziundazo sentensi na kutambua nafasi zake katika sentensi pia kuzitumia kwa ufasaha

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

Chati na michoro

KLB BK4 UK 76-77

Chem BK4 UK 76-77

4 Kusikiliza na kuzungummza

Miriga

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi bora ya lugha, kutaja miriga, umuhimu wake na mafunzo katika jamii

Kusikiliza

Kuuliza maswali na kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

I. Ikarabati

KLB BK4 UK 80

5 Isimu Jamii

Mazungumzo ya kawaida nay a biashara

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sifa, lugha na matumizi ya sajili ya mazungumzo ya kawaida nay a biashara

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK

I. Ikarabati UK 77-82

6 Fasihi simulizi

Utani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi bora kueleza ain za utani na kuweza kuzitumia ipasavyo katika mazungumzo

Kusimilia visa

Kuigiza na kufanya zoezi

Kinasa sauti

KLB BK4

UK 158-160

Hellenistic Publishers

Mwongozo wa fasihi simulizi

3 1 Isimu Jamii

Kusoma kwa mapana

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya madukani nay a sokoni

Kubainisha tofauti ya sajili hizo

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK

I. Ikarabati UK 82-86

 

 

2 Fasihi Simulizi

Mighani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa, kueleza na kutaja mighani mbalimbali na mafunzo yake katika jamii

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 125

Chem BK4 UK 162

3 Kusoma

Vinyago vya Bosi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutamka maneno ipasavyo

Kuelewa msamiati

Kushiriki katika mjadala na kutumia msamiati huu kwa ufasaha

Kusoma

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: kamusi sanifu

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 125-129

4 Sarufi

Miundo ya sentensi za Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana ya sentensi, KN, KT na kuweza kuzingatia sehemu hizo za sentensi

Maelezo

Kuuliza na kujibu maswali

Jedwali

Michoro

Makala mbalimbali

F.V Nkwera

KLB BK4 UK 131

Chem BK4

UK 188-189

5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Rejea zote za fasihi

4 1 Isimu Jamii

Sajili ya nyumbani na hospitalini

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya nyumbani na hospitalini

Kubainisha tofauti za kipekee za sajili hizo

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 88-92

 

2 Fasihi Simulizi

Visakale

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa, kueleza na kutaja visakale mbalimbali na mafunzo yake, umuhimu wake katika jamii

Masimulizi

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Kanda za kunasia sauti

KLB BK4 UK 125

Chem BK4 UK 164

I. Ikarabati UK

 

3 Kusoma

Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kujadili na kutaja nafasi ya Kiswahili kama lugha ya kitaifa na kimataifa

Kusoma

Kusikiliza

Kujibu maswali

Makala mbalimbali na vinasa sauti

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 131-134

4 Kuandika

Insha ya masimulizi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuandika kwa unadhifu masimulizi kwa kuzingatia mantiki katika kufafanua vipengele vya insha

Kusikiliza

Kusimulia

Kuchambua vipengele

Kufanya zoezi

Nakala za masimulizi mbalimbali

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 134

Chem BK4 UK 219

 

5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Rejea zote za fasihi

5 1 Isimu Jamii

Maabadini na mahakamani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya maabadini na mahakamani

Kubainisha tofauti za kipekee za sajili hizo

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 95-98

 

2 Kusikiliza na Kuzungumza

Hotuba

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzitambulisha na kujadili sehemu za hotuba kwa kuzingatia matamshi bora

Majadiliano

Maigizo

Kufanya zoezi

Itendaji wa wanafunzi darasani

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 135-136

Chem BK4 UK 90

3 Kusoma

Uvumbuzi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kukuza staid za kusoma kwa matamshi bora

Kujadiliana msamiati na kutumia ipasavyo katika sentensi

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi katika vikundi

Utendaji wa wanafunzi

F. Nkwera

KLB BK4

UK 136

Chem BK4 UK

4 Sarufi

Yambwa na chagizo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana ya istilahi hizo na kuzitumia ipasavyo kimazungumzo na katika sentensi

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi katika vikundi

Vifaa halisi

Picha na michoro

F. Nkwera

KLB BK4

UK 141-143

Chem BK4 UK 189

5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Rejea zote za fasihi

6 1 Fasihi Simulizi

Tamthilia

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Tamthilia teule

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 143

Chem BK4 UK 100

2 Isimu Jamii

Sajili ta darasani na muktadha wa kituo cha polisi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na lueleza sifa za sajili hizo

Kubainisha sifa za kipekee katika kujibu maswali

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 100-102

 

3 Kuandika

Matangazo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuandika na kutoa matangazo kwa kuzingatia kaida zake

Kuandaa matangazo mazuri

Kutaja

Kuandaa

Kuandika

Matangazo

Mabango

Vifaa halisi

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 143

4 Kusikiliza na Kuzungumza

Ulumbi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha msamiati bora na kukuza ukakamavu wa kuzungumza hadharani

Kutoa mifano ya ulumbi

Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4

UK 146-150

Chem BK4 UK 197

5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Rejea zote za fasihi

7 1 Kusikiliza na kuzungumza

Soga

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha matamshi bora kwa kuzingatia matamshi mwafaka na kuweza kumakinika kikakamavu

Kutoa mifano ya soga

Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 146-150

Chem BK4 UK 82

2 Kuandika

Ratiba

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutaja matukio

Kujadili na kuweza kuandika ratiba kwa kuzingatia kanuni zake mwafaka

Kujadili

Kuuliza na kujibu maswali

Kuandaa ratiba

Nakala za ratiba mbalimabli

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 143-145

Chem BK4 UK 216

3 Kusoma

Ufisadi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha matamshi bora

Kujadili msamiati

Kutunga sentensi na kutanmbua athari za ufisadi katika jamii

Kutaja visa

Kuuliza na kujibu maswali

Kujadiliana

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 150-153

Mwongozo wa mwalimu

4 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Rejea zote za fasihi

5-6 LIKIZO FUPI
8 3 Sarufi

Virai

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua kirai na aina za virai

Kutunga sentenzi sahihi kwa kuvitumia kwa ufasaha bila tatizo

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Jedwali

Picha na vifaa halisi

F. Nkwera

KLB BK4

UK 153-154

Chem BK4 UK 176

4 Kuandika

Insha ya mawazo na maelezo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sifa zake na kuweza kuandika insha hiyo kikamilifu

Kutaja kanuni zihusikanazo na insha hizo

Nakala za insha za mawazo

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 157

Chem BK4

UK 181, 135

5-6 Fasihi Simulizi

Malumbano ya utani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi kueleza aina za utani na kuutumia ipasavyo katika mazungumzo

Kusimulia visa

Kuigiza na kufanya zoezi

Kinasa sauti

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4

UK 158-160

9 1 Kusoma

Haki za watoto

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa sauti na kwa ufasaha

Kuutumia msamiati

Kujibu maswali kawa ufasaha

Kujadiliana

Kusoma na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 161-162

Mwongozo wa mwalimu

2 Sarufi

Vishazi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana na kuvitumia ipasavyo katika sentensi na kufanya zoezi

Kutoa mifano

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kufanya zoezi

Michoro ya mtawi kwenye chati

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 163-164

Chem BK4 UK 177

3 Fasihi Simulizi

Mashairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutofautisha mashairi ya arudhi na huru, kuyaghani kwa mahadhi mbalimbali na kueleza maudhui yaliyomo

Kughani mashairi

Utendaji wa wanafunzi

Kujadiliana

Kujibu maswali

Shairi la arudhi na huru

Hellenistic E.P

Mwongozo wa fasihi simulizi

Sikate tamaa

4 Kuandika

Maelezo na maelekezo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sifa zake na kuweza kuandaa na kutunga maelekezo mazuri yasiyopotosha

Kubainisha kanuni za maelezo

Kutunga insha nzuri ufaayo

Mifano ya insha

Kiswahili Fasaha BK4 UK 166

Chem BK4 UK 101

5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Rejea zote za fasihi

10 1 Isimu Jamii

Sajili ya viwandani nay a bungeni

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa za sajili hizo

Kubainisha sifa za pekee katika kujibu maswali

 

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 104-105

 

2 Fasihi Simulizi

Mawaidha

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana ya mawaidha, umuhimu wake na kuweza kutoa mawaidha kwa hadhira bila utatanishi

Kuigiza

Maelezo

Kuuliza na kujibu maswali

Waalikwa kutoa mawaidha

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4

UK 168-169

Chem BK4 UK 209

3 Bahari za Ushairi Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana na miundo mbalimbali ya ushairi

Kuchambua muundo na mtindo, sanaa na uhuru wa ushairi

Kughani

Kuuliza na kujibu maswali

Kunga za ushairi

A Mohamed

Kunga za Ushairi

Sikate Tamaa

4 Kusoma kwa ufahamu

Sokoni

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kufafanua maana ya msamiati uliotumika

Kujibu maswali

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 169-171

Mwongozo wa mwalimu

5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Rejea zote za fasihi

11 1 Sarufi

Uchanganuzi wa sentensi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kuzingatia aina za maneno, kishazi, kirai, kundu nomino na kundi tenzi

Kufanya zoezi

Kupambanua sentensi kwa:

– Mistari

– Michoro/jedwali

– Matawi

Utendaji wa wanafunzi

Michoro na majedwali

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 171-174

Chem BK4 UK 198

2 Sarufi

Uchanganuzi wa sentensi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kuzingatia aina za maneno, kishazi, kirai, kundu nomino na kundi tenzi

Kufanya zoezi

Kupambanua sentensi kwa:

– Mistari

– Michoro/jedwali

– Matawi

Utendaji wa wanafunzi

Michoro na majedwali

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 171-174

Chem BK4 UK 198

3 Kusoma kwa mapana

Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua jinsi lugha ilivyo na mawasiliano ya kisayansi na kiteknolojia

Kutumia msamiati wake ipasavyo

Kusoma

Kujadiliana

Kutoa mapendekezo

Kuhakiki hoja

Majarida

Magazeti

Utendaji wa wanafunzi

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 174-175

Mwongozo wa mwalimu

4 Kuandika

Tahadhari

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana na umuhimu wa tahadhari/onyo/ilani kwa kuzingatia kanuni zake

Kuandika tahadhari ipasavyo

Kujadilaiana

Kutaja aina

Kufanya zoezi

Picha, michoro, mabango, magazeti, vifaa halisi

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 175-176

Chem BK4 UK 103

5-6 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Rejea zote za fasihi

12 1 Isimu Jamii

Sajili ya lugha ya kiutawala

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa za sajili ya kiutawala

Kubainisha sifa zake za pekee

Kujibu maswali

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 107

 

2 Sarufi

Kipozi na kitondo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha maana ya istilahi hizo na kuweza kuzionyesha na kuzitumia ipasavyo

Kueleza

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

I. Ikarabati

UK 99-100

KLB BK4

UK 168-170

Chem BK4 UK

3 Kusoma

Usanifishaji wa Kiswahili (Kenya)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kuelewa na kuzieleza hatua zilizopitiwa hadi lugha ya Kiswahili kusanifishwa nchini Kenya

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kufanya utafiti

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

K.W. Wamitila

Chem BK4 UK 293

4 Fasihi

Lakabu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana na matumizi ya lakabu

Kubainisha umuhimu wake katika jamii

Kusikiliza

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Ngure: Fasihi Simulizi

KLB BK4 UK 80

Chem BK4 UK 169

5-6 Kuandika

Kumbukumbu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuandika kwa unadhifu kumbukumbu kwa kuzingatia kanuni zake ipasavyo kama namna ya kudurusu

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kufanya zoezi

Mifano ya nakala za kumbukumbu

Mwongozo:

Kamusi sanifu

Chem BK4 UK 169

13 1 Sarufi

Uchanganusi wa sentensi

(Kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kutambulisha KN + KT na vipashio vyake kwa matawi, mistari na jedwali ipasavyo

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

I. Ikarabati

UK 98-107

KLB BK4 UK 171

Chem BK4 UK 196

2 Sarufi

Uchanganusi wa sentensi

(Kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kutambulisha KN + KT na vipashio vyake kwa matawi, mistari na jedwali ipasavyo

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

I. Ikarabati

UK 98-107

KLB BK4 UK 171

Chem BK4 UK 196

3 Fasihi Simulizi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu ulumbi, soga, malumbano ya utani, mawaidha, maigizo, ngomezi, nyimbo, mighani, majigambo, tondozi na pembezi

Kujadiliana maana, siaf na umuhimu

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

KLB BK4 UK 96,102, 108,116,130,137,144

Jarida la fasihi simulizi

4-6 MITIHANI

 

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA NNE 

MUHULA WA III

  ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi
JUMA KIPINDI

SOMO

SHABAHA

MBINU

VIFAA

ASILIA

MAONI

1 3-6 KUFUNGUA NA KUSAHIHISHA KAZI YA LIKIZO
2 1 Kusoma

Haki za binadamu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha staid za matamshi bora, kujadili msamiati, kutunga sentensi na kutambua haki za binadamu

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

Chem BK4 UK 185

Mwongozo wa mwalimu

2 Fasihi Simulizi

Mighani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi bora, kughani na kubainisha umuhimu wa mighani

Majadiliano

Kughani

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi sanifu

Chem BK4 UK 150

I. Ikarabati

UK 164-167

3 Sarufi

Uakifishaji

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha alama za kuakifisha na kuzitumia ipasavyo katika mazungumzo au dayalojia

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

KLB BK4 UK 203

Chem BK4 UK 156

4 Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu maswali ya fasihi simulizi, riwaya, tamthilia na ushairi

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

Nakala za maswali

Nakala za vitabu teule vya fasihi

5 Kuandika

Meme na barua meme

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha nukulishi au kipepesi/faksi, mdahalishi na barua za rununu

Kubainisha faida za huduma hizo

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

I. Ikarabati UK 4

KLB BK4 UK 50

Chem BK4 UK 214

6 Isimu Jamii

Sajili ya kitaaluma

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sifa na msamiati utumikao katika sajili ya kitaaluma na kuweza luutumia ipasavyo katika mawasiliano

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 111

Tuki: kamusi sanifu

3 1 Fasihi simulizi Maigizo Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi bora, kuigiza vipera vya maigizo ipasavyo na kuweza kubainisha umuhimu wake

Kujadiliana

Kuigiza

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi sanifu

Chem BK4 UK 175

I. Ikarabati

UK 164-167

2 Sarufi

Mzizi wa kitenzi na viambishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu tena – mzizi wa kitenzi na viambishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Majadiliano

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem BK4

UK 204-206

I. Ikarabati UK 8

KLB BK4 UK 43

3 Kusikiliza na Kuongea

Maigizo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadili mambo muhimu yanayozingatiwa katika maigizo na kushiriki ipasavyo kuigiza

Kusikiliza

Kuigiza

Kujadiliana

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem BK4

I. Ikarabati UK

KLB BK4

UK 177-179

4 Kusoma

Katiba ya wanyama

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa ufasaha

Kujadili msamiati na kuutungia sentensi ipasavyo

Kusoma taarifa

Kujadiliana

Kutunga sentensi

Picha za wanyama

Viungo vya miili yao

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 180-183

5 Fasihi

Ushairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kuchambua dhamira, maudhui, mbinu za lugha na wahusika bila utatanishi

Kusoma

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Mazingira ya shule

Maleba

Vifaa vya bandia

Malenga wa ziwa kuu

Kunga za ushairi

Sikate Tamaa

6 Kuandika

Wasifu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana, kujadili aina na mambo muhimu yazingatiwayo na kuweza kuandika mtungo mzuri

Kusikiliza

Kujadiliana

Kuandika wasifu

Nakala za wasifu

Chem BK4 UK 122

I. Ikarabati UK

KLB BK4 UK 187

4 1 Sarufi

Mnyambuliko wa vitenzi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua vitenzi vya asili ya kigeni

Kuvinyambua katika hali mbalimbali na katika sentensi

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem BK4 UK 39

I. Ikarabati UK 8

KLB BK4

UK 183-185

2 Isimu Jamii

Daktari na mgonjwa

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sifa na msamiati utumikao katika muktadha wa mahojiano kati ya daktari na mgonjwa na kueleza

Kujadiliana

Kuigiza

Kuuliza na kujibu maswali

Maleba

Mahambo

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 112

3 Fasihi

Ushairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kuchambua dhamira, maudhui, mtindo, muundo na bahari za ushairi ipasavyo

Kusoma

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Ushairi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Malenga wa ziwa kuu

Kunga za ushairi

Sikate Tamaa

4 Kusikiliza na Kuzungumza

Ulevi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa matamshi bora

Kutambulisha madhara ya ulevi na kupendekeza njia za kukabiliana na uraibu huo

Maelezo

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 188-190

5 Kusoma

Uandishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kujadili na kutoa maana ya msamiati

Kueleza hatua za shughuli za uandishi na kuweza kuandika ipasavyo

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

Picha na matbaa

Picha za uandishi wa Kiswahili

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 190-194

Chem BK4 UK 110

6 Fasihi Simulizi Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Maana, dhima, umuhimu, tofauti na vipera vya fasihi simulizi viweze kueleweka ipasavyo

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Mifano ya kazi za fasihi

H.E Facilitators

Mwongozo wa fasihi simulizi

Chem BK4 UK 127

5 1 Sarufi

Nyakati na hali

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua viambishi viwakilishi na hali

Kuvitumia katika sentensi katika hali yakinishi na hali kanushi

Maelezo

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na michoro

KLB BK4

UK 194-197

2 Kuandika

Utungaji wa kisanii

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kukuza staid za kuandika kisanii

Maelezo

Kusoma na kuandika

Makala ya mashairi ya arudhi

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 197

Chem BK4 UK 47

3 Kusikiliza na kuzungumza

Ngomezi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua na kueleza maana na aina za ngomezi

Kufafanua matumizi ya ngomezi katika jamii

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4 UK 199

Chem BK4 UK 221

4 Isimu Jamii

Makosa katika matumizi ya lugha

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa dhana ya makosa ya lugha, nyanzo vyake na aina za makosa katika lugha na kuyakosoa

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 116-120

5 Kusoma

Makala kutoka kwa wavuti

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma makala yaliyoteuliwa kutoka kwenye wavuti kwa ufasaha na kuweza kujibu maswali

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Makala

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 204-206

Chem BK4 UK 160

 

 

6 Fasihi Simulizi

Mazungumzo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana na aina mbalimbali za mazungumzo na kubainisha umuhimu wake katika jamii

Kujadiliana

Kufanya zoezi

Aina mbalimbali za mazungumzo

Mwongozo wa fasihi simulizi

Ngure

Fasihi simulizi

6 1 Kuandika

Muhtasari

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kufafanua maana ya msamiati uliotumika

Kujibu maswali ya ufupisho bila utatanishi

Kusoma taarifa

Kujibu maswali ya ufupisho

Makala ya ufupisho

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 199-201

2 Sarufi

Sentensi

Uundaji wa maneno, uunganishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu – aina za sentensi, uchanganuzi na uundaji wa maneno yenye shina moja na kuyatungia sentensi sahihi

Kisikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na michoro

Chem BK4 UK 225

I. Ikarabati

KLB BK4

UK 211-213

3 Fasihi Simulizi

Viungo muhimu vya riwaya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvitambua, kuchambua riwaya teule na kukuza staid ya kusoma kwa kina – dhamira, maudhui, wahusika, mandhari na muundo

Kujadiliana

Maigizo

Kuimba

Kuuliza na kujibu maswali

Riwaya teule

Chem BK4 UK 42,55, 65, 31,22,8

I. Ikarabati

KLB BK4

UK 213-215

4 Kusikiliza na kuzungumza

Maghani na majigambo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa ufasaha, kutambua aina zake na kughaniana kisha kutofautisha na maghani

Kueleza

Kughani

Kuuliza na kujibu maswali

Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa fasihi simulizi

NgureFasihi simulizi

KLB BK4

UK 216-218

5 Kusikiliza na kuzungumza

Tondozi na pembezi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua aina za tondozi na pembezi, kuweza kuzitofautisha na kufanya zoezi

Utambuzi wa aina za tondozi na pembezi

Kufanya zoezi

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi simulizi

NgureFasihi simulizi

KLB BK4

UK 216-218

6 Kusoma

Fasihi na mazingira ya sasa

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutaja na kutambua vipera vyake na kuvitumia kama ipasavyo kutambua umuhimu wake

Kueleza

Kuuliza na kujibu maswali

Vitu halisi na utendaji wa wanafunzi

Ngure: Fasihi simulizi

I. Ikarabati

UK 229-230

7 1-6 MAANDALIZI KWA MTIHANI WA KITAIFA
8 MTIHANI WA KITAIFA

 

By Editorial Team

The Education News Hub Editorial Team is made up of vibrant and experienced editors. Brian Yano is an accomplished longtime Digital Media Journalist at Educationnewshub.co.ke with a great passion for research and fact-checking. He delivers engaging content across diverse topics, with a special interest in Education matters. On her part, Yvonne Kemunto is a journalist, dedicated to unraveling stories that matter. With a keen eye for detail and a passion for storytelling, she brings a fresh perspective to the world of media. Her commitment to detail and excellence shines through in every piece she crafts. Our newest member of the Editorial Team is Jennifer Mumbo. She is a Seasoned Multimedia Journalist with several years' experience; dating back to 2018. Jennifer has a passion for education, sports, tech, politics and entertainment. You can reach the editors at educationnewshub3@gmail.com.

Recent Posts

Mwalimu National Sacco BOSA Loans Application Form {Free Download}

Get the latest Mwalimu National Sacco BOSA Loans Application Form {Free Download}, here. PDF Latest…

7 hours ago

Mwalimu National Sacco FOSA Salary Advance Application Form {Free Download}

Here is the revised and latest Mwalimu National Sacco FOSA Salary Advance Application Form {Free…

7 hours ago

Mwalimu National Sacco FOSA Instant Loan Application Form {Free Download}

Here is the latest Mwalimu National Sacco FOSA Instant Loan Application Form {Free Download}. Download…

7 hours ago

Best slots with sticky wilds and expanding symbols in 2026

The landscape of digital gambling has shifted toward high-octane mechanics that prioritize volatility and massive…

7 hours ago

Advertised TSC Secretariat Vacancies in 2026 {Requirements and How To Apply}

The Teachers Service Commission (TSC) has advertised 170 job vacancies across, covering senior, mid‑level, and…

7 hours ago

Health CS Duale announces major changes to the Teachers’ SHA Medical Scheme

Health Cabinet Secretary Aden Duale has ordered immediate changes to the Social Health Authority (SHA)…

13 hours ago