FREE KISWAHILI SCHEMES OF WORK FORM 4

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA NNE

MUHULA WA I

          ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi

Get PDF Schemes Here; Free updated schemes of work for all subjects (Secondary)

Download more free unlimited Kiswahili resources here: Educationnewshub.co.ke

KISWAHILI USHAIRI NOTES WITH EXAMPLES AND GUIDES

Kiswahili Fasihi, English Literature Notes, Guides, Revision Questions (Kigogo, Chozi La Heri, Blossoms, Tumbo, A Doll’s House, Inheritance)

Free Kiswahili Fasihi notes, Ushairi notes, isimu Jamii notes and Many More: Mwongozo wa kigogo, Kidagaa, Tumbo lisiloshiba, Chozi..

Bembea Ya Maisha Mwongozo Free Kiswahili Notes For Secondary Schools Free Downloads

KISWAHILI NOTES- REVISION KIT

Kigogo Kiswahili setbook free Guides, KCSE Questions and Answers Downloads

Free Kiswahili notes, revision questions, KCSE past Papers, Exams, Marking Schemes, Topical revision materials, Syllabus and Many more

Kiswahili free lesson plans for all topics (Form one to four)

KISWAHILI LUGHA NOTES FORM 1, 2, 3 & 4

Kiswahili Topic By Topic Questions And Answers PAPER 1-3 (All Topics)

KCSE Set Books Revision Questions and Answers (English and Kiswahili)

Free Kiswahili Notes, Exams, Schemes of Work, Lesson plans and other revision materials
Free Kiswahili Notes, Exams, Schemes of Work, Lesson plans and other revision materials
JUMAKIPINDI 

SOMO

 

SHABAHA

 

MBINU

 

VIFAA

 

ASILIA

 

MAONI

14-6KUFUNGUA SHULE NA KUSAHIHISHA KAZI YA LIKIZO
25-6Fasihi

Hadithi fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na lugha

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

31Kusikiliza na kuzungumza

Fasihi simulizi na fasihi andishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuweza kubainisha sifa za fasihi simulizi na fasihi andishi pamoja na tofauti, aidha tanzu zake

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Utendaji wa wanafunzi

C. Kuhenga

Fasihi simulizi na tamathali za usemi

KLB BK 4 UK 4-19

Chem BK 4 UK 4

2Isimu Jamii

Maana, lugha na mawasiliano

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana ya isimu jamii, umuhimu wake, maana ya lugha, dhima na uhusiano kati ya mawasiliano na lugha

 

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I.I Odeon a M. Geoffrey

Fani ya isimu jamii UK 1-8

3Sarufi

Vivumishi, ngeli za majina na upatanishi wake

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvibainisha vivumishi vya sifa, vionyeshi, idadi na kuvitumia pamoja na ngeli mbalimbali katika sentensi

 

Kuuliza

Kusikiliza

Kujibu maswali

 

Jedwali, kadi zenye vivumishi vya sifa vionyeshi na idadi

 

Chem BK4 UK 102

KLB BK4 UK 26-27

Nkwera: Fasihi na sarufi UK 28

4Kusoma

Matangazo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa sauti matangazo kwa ufasaha na utaratibu tofauti

Kuyatofautisha matangazo hayo

 

Kutafuta matangazo mbalimbali

Kubainisha sifa zake

 

Nakala za matangazo ya redio nay a kuandikwa

 

Chem. UK 102

KLB BK4 UK 26

5Kuandika

Barua rasmi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sehemu muhimu za kuzingatia na kuzitilia maanani ili kuweza kutunga barua nzuri ipasavyo

 

Maelezo, kujadiliana na kuandika barua

 

Nakala za barua rasmi

 

Chem. UK 32

KLB BK4 UK 8-15

Mwongozo wa uandishi wa insha

6Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti ya hadithi, dhamira, maudhui, lugha na wahusika katika hadithi

 

 

 

Kujadiliana

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

41Kuandika insha ya methaliKufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha maana bayana na batini, visa katika kubuni insha inavyostahiki

 

Utendaji wa wanafunzi

 

Mifano ya insha za methali

 

Chem. UK 66

KLB BK4 UK 28-29,

16-17

2Kusikiliza na kuzungumzaKufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuelewa taarifa, kudondoa mambo muhimu kwa kuzingatia matamshi bora na lugha

 

Utendaji wa wanafunzi

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: kamusi sanifu

KLB BK4 UK30-32

3Sarufi

Nomino/jina

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Utambuzi wa aina mbalimbali za nomino, kuzitolea mifano katika sentensi sahihi

 

Kusikiliza

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 5

KLB BK4 UK 32-35

F.V. Nkwera

4Kusoma kwa mapana

Magazeti

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuwa staid katika usomaji

Kuzingatia matamshi bora

Kudondoa hoja za kitaifa na kimataifa na zinazohusiana na janga la ukimwi

 

Majadiliano na usomaji wa magazeti

 

Taifa Leo

Majira

Majarida Ya Kiswahili

Katika maktaba

 

Magazeti ya magktaba

KLB BK4 UK 35-37

5-6Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui na wahusika katika hadithi fupi

 

Kujadiliana

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

51Kuandika

Muhtasari

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Uzingativu wa kanuni za muhtasari

Kudondoa hoja muhimu bila kubadili maana na kuandika muhtasari

 

Kusoma makala

Kudondoa hoja muhimu na kuandika muhtasari

 

Fungu la ufupisho

 

KLB BK4 UK 37-38

Tuki

Kamusi sanifu

2Kusikiliza na kuzungumza:

Mtandao

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuweza kuwasiliana kwa mtandao na kutambua istilahi zinazohusiana na mtandao

 

Majadiliano

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 137

KLB BK4 UK 39-41

Tuki

Kamusi sanifu

3Sarufi

Vitenzi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvitanbua na kutaja aina zake na kuweza kuvitungia sentensi

Kutambulisha vitenzi

Kuuliza

Kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 39

KLB BK4 UK 43-46

 

4Kuandika

Memo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambulisha aina mbalimbali za meme na kuandika ujumbe kwa kutumia meme

 

Maswali

Majadiliano

Kujibu maswali

 

Tarakilishi

Rununu

Nukilishi

 

Chem. UK 78

KLB BK4 UK 46-50

5Isimu Jamii

Hadhi na chimbuko la lugha ya Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuweza kuelewa hadhi ya lugha ya Kiswahili na chimbuko la lugha hii katika upwa wa pwani ya Afrika mashariki

 

Majadiliano

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 9-21

6Fasihi

Hadithi fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na matumizi ya lugha

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

61Kusikiliza na kuongea

Methali na misemo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi sahihi, kuelewa maana, methali zilizo sawa na zenye maaana kinzani

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vinasa sauti

Picha na michoro

 

Kamusi ya methali

Kamusi ya misemo

2Kusoma kwa ufahamu

Haki za binadamu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Matamshi sahihi, kuelewa maana, msamiati ili kuweza kujibu maswali ipasavyo

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki

Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 56-58

3Sarufi

Viwakilishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Aina za viwakilishi zitambulishwe na ziweze kutumika katika umoja na wingi ipasavyo katika mwasiliano

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 17

KLB BK4 UK 58-60

Oxford BK4 UK

4Isimu Jamii

Dhana ya lahaja za Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa dhana ya lahaja za Kiswahili, zinakotumika na lafudhi zake ipasavyo

Majadiliano

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 27-32

5-6Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

71Kuandika

Tahakiki

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Utambuzi wa vipengele vya tahakiki na kuvitumia ipasavyo katika zoezi la kutahakiki taarifa

 

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kujadiliana

 

Tamthilia

Riwaya

Diwani ya ushairi na hadithi fupi

 

KLB BK4 UK 75-78

Rejea zote

2-3Fasihi

Hadithi fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi

 

Kujadiliana

Kuuliza

Kujibu maswali baada ya hadithi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

4Kusikiliza na kuongea

Mafumbo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha matamshi bora

Kunoa akili

Kumakinika katika ufumbuzi na utatuzi wa matatizo/mafumbo

 

Kushiriki katika ufumbuzi

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 71

KLB BK4 UK 79-81

5Fasihi simulizi

Lakabu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi bora

Kuwa watambuzi na wachunguzi ili kuweza kuunda na kutumia lakabu ipasavyo

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na bango lenye picha

 

Chem. UK 60

KLB BK4 UK 79-81

6Kusoma

Viwanda

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusomakuimarisha matamshi bora na kuweza kuujua na kuutumia ipasavyo

Kujibu maswali ipasavyo

 

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki

Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 84-88

81Sarufi

Viunganishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvitambua na kuvitumia kwa usahihi katika mazungumzo na pia kwenye sentensi ipasavyo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na bango lenye picha

 

F.V Nkwera

Sarufi na Fasihi

Chem. UK 97

KLB BK4 UK 88-89

2Kusoma

Wavuti

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa matamshi bora

Kutambua maana ya wavuti na istilahi zake na kuzitumia ipasavyo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki

Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 89-91

3Kuandika

Simu na Memo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu kuhusu sehemu muhimu za simu, memo na kuzibainisha ili kuweza kudhihirisha matumizi yake ipasavyo katika mtungo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kutunga mtungo

 

Vifaa halisi

Picha na bango lenye picha

 

Chem. UK 193

KLB BK4 UK 91-93

Mwongozo wa insha

4Isimu Jamii

Usanifishaji wa Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sababu na jinsi Kiswahili kilivyosanifishwa baada ya kumaizi maana ya usanifishaji

Kujadiliana

 

Majadiliano

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 33-37

5-6Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

91Kusikiliza na kuongea

Bungeni

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi bora

Kustawisha mawasiliano na itifaki, aidha istilahi sahihi za bunge

 

Kusoma kwa sauti

© Education Plus Agencies

Kujadiliana

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 61

KLB BK4 UK 94-97

2Kusoma

Kumbukumbu za mkutano

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa matamshi bora, kuelewa msamiati, kumudu kuandika kumbukumbu za mkutano ipasavyo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Nakala za kumbukumbu za mkutano

 

Chem. UK 169

KLB BK4 UK 97-99

3Sarufi

Vielezi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua aina mbalimbali za vielezi na kuvitumia katika sentensi na mawasiliano

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Chati ya vielezi

Utendaji wa wanafunzi

 

Chem. UK 75-76

KLB BK4

UK 100-101

Nkwera 24-26

4-6LIKIZO FUPI
101-2LIKIZO FUPI
3Kusoma

Riwaya teule

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuelewa mambo yahusuyo riwaya, kujadili maudhui, kiini, wahusika na mbinu za kisanaa na za lugha

 

Kusoma

Kujadiliana

 

Vitabu vya riwaya (hadithi)

 

Chem. UK 55, 65

KLB BK4 UK 102

4Isimu Jamii

Maendeleo ya Kiswahili nchini Kenya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili imepiga nchini Kenya ipasavyo

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 38-51

5-6Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

111Sarufi

Vihusishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha aina mbalimbali za vihusishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

 

Kusikiliza

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 108

KLB BK4 UK 110

2Sarufi

Vivumishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha aina mbalimbali za vivumishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

 

Kusikiliza

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 108

KLB BK4 UK 110

3Isimi Jamii

Chamgamoto na mikakati ya kuimarisha Kiswahili Kenya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili kimepitia ili kukabili changamoto zinazokikabili

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 52-58

4Isimi Jamii

Chamgamoto na mikakati ya kuimarisha Kiswahili Kenya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili kimepitia ili kukabili changamoto zinazokikabili

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 52-58

5-6Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

121Kusoma

Mashairi huru

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha tofauti ya mashairi, arudhi na huru

Kuyachambua bila utatanishi

 

Kukariri shairi

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Makala ya majarida ya kiswahili

 

Chem. UK 113, 173

KLB BK4 UK 114

Tuki: Kamusi sanifu

2Kuandika

Utungaji wa kisanii

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia kanuni za utunzi wa mashairi huru na kuweza kutunga mashairi mazuri

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kuweza kutunga mashairi mazuri yaliyo na maudhui

 

Mifano ya mashairi huru

 

Chem. UK 173

KLB BK4 UK 114

Mwongozo wa utunzi

3Sarufi

Vihisishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha aina mbalimbali za vihisishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

 

Kusikiliza

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. UK 213

KLB BK4

UK 110-111

Nkwera

4Kusikiliza na kuzungumza

Mjadala

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Mada ya mjadala

Kuigiza mazungumzo na kuweza kuwasilisha hoja kwa ufasaha

 

Kujadiliana na kuelekezwa

 

Chati

Mchoro na picha

 

KLB BK4

UK 115-117

5-6Fasihi

Hadithi Fupi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mayai Waziri wa Maradhi na hadithi nyingine

131Kusoma

Utandawazi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kukuza ustadi wa kuso,a kwa ufasaha

Kujadili msamiati na kuutumia katika sentensi

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Ramani ya ulimwengu

Michoro na picha

 

Chem. UK 160

KLB BK4

UK 117-119

Tuki: Kamusi sanifu

2Sarufi

Mwingiliano wa maneno

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuyatambua maneno/istilahi ziundazo sentensi na kuzitumia ipasavyo kwa ufasaha

 

Kuitunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Chati na michoro

 

KLB BK4 UK 76-77

3Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kushiriki katika kutoa mchango/hoja za kujibu swali lolote katika nyanja yoyote ya fasihi

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kushiriki kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Maswali ya kudurusu ya riwaya, tamthilia, ushairi na hadithi fupi

4Ushairi

Bahari/aina za ushairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudfurusu kwa kukumbuka na kutaja ainana sifa za bahari hizi za ushairi

Kuchambua ushairi ipasavyo na kutambulisha bahari yake

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Mashairi

 

E. Kezilahabi

Kunga za Ushairi

Malenga wa Ziwa kuu

5-6Isimu Jamii

Changamoto zinazokabili Kiswahili nchini na mikakati ya kuimarisha

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha mikakati inayokikabili Kiswahili kwa sasa nchini Kenya

Kujadiliana na pia kubainisha mikakati ya kuzitatua

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 52-55

141Kusikiliza na kuzungumza

Matamshi bora (kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutamka irabu na konsonanti vizuri ipasavyo na kuweza kuzitambulisha

Kutamka

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. BK1 UK 3-8

KLB BK1 UK 16

Oxford BK1 UK 1-3

2Kusikiliza na kuzungumza

Matamshi bora (kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha ala za kutamkia, irabu zinakotamkwa hali kadhalika konsonanti

Kutambulisha aina za konsonandi

 

 

Kutunga sentensi sahihi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. BK1 UK 3-8

KLB BK1 UK 16

Oxford BK1 UK 1-3

3Sarufi

Kuakifisha

(kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha alama za kuakifisha na kuweza kuzitumia ipasavyo katika maandishi

 

Kusikiliza

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem. BK1 UK 20,37,69,92,131,138,

180,196

KLB BK1 UK 22-23

4Isimu Jamii

Sajili katika muktadha isiyo rasmi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza na kuelewa

Kubainisha sajili na sifa za lugha ya nyumbani, hospitali,  sokoni, mkahawani na mazungumzo ya kawaida

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 88-92

5-6Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

15MITIHANI

 

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA NNE 

MUHULA WA II

            ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi
JUMAKIPINDI 

SOMO

 

SHABAHA

 

MBINU

 

VIFAA

 

ASILIA

 

MAONI

13-6KUFUNGUA
21Kusoma kwa MapanaKufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa ufasaha na kueleza nafasi ya Kiswahili katika utandawazi

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Ramani ya dunia

Makala yanayohusu utandawazi

KLB BK 2

UK 121-123

Makala magazetini

Tuki: Kamusi sanifu

2Kuandika

Utungaji wa kuiamilifu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sehemu muhimu za hotuba na kuweza kutunga insha kwa kuzizingatia

 

Kuhotubia

Kujadiliana

Kufanya zoezi

 

Nakala za hotuba

Vinasa sauti

 

KLB BK4 UK

123-124

Mwongozo wa mwalimu

3Sarufi

Mwingiliano wa maneno

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua istilahi ziundazo sentensi na kutambua nafasi zake katika sentensi pia kuzitumia kwa ufasaha

 

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Chati na michoro

 

KLB BK4 UK 76-77

Chem BK4 UK 76-77

4Kusikiliza na kuzungummza

Miriga

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzingatia matamshi bora ya lugha, kutaja miriga, umuhimu wake na mafunzo katika jamii

 

Kusikiliza

Kuuliza maswali na kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I. Ikarabati

KLB BK4 UK 80

5Isimu Jamii

Mazungumzo ya kawaida nay a biashara

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sifa, lugha na matumizi ya sajili ya mazungumzo ya kawaida nay a biashara

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK

I. Ikarabati UK 77-82

6Fasihi simulizi

Utani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi bora kueleza ain za utani na kuweza kuzitumia ipasavyo katika mazungumzo

 

Kusimilia visa

Kuigiza na kufanya zoezi

 

Kinasa sauti

KLB BK4

UK 158-160

Hellenistic Publishers

Mwongozo wa fasihi simulizi

31Isimu Jamii

Kusoma kwa mapana

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya madukani nay a sokoni

Kubainisha tofauti ya sajili hizo

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK

I. Ikarabati UK 82-86

 

 

2Fasihi Simulizi

Mighani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa, kueleza na kutaja mighani mbalimbali na mafunzo yake katika jamii

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 125

Chem BK4 UK 162

3Kusoma

Vinyago vya Bosi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutamka maneno ipasavyo

Kuelewa msamiati

Kushiriki katika mjadala na kutumia msamiati huu kwa ufasaha

 

Kusoma

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: kamusi sanifu

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 125-129

4Sarufi

Miundo ya sentensi za Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana ya sentensi, KN, KT na kuweza kuzingatia sehemu hizo za sentensi

 

Maelezo

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Michoro

Makala mbalimbali

 

F.V Nkwera

KLB BK4 UK 131

Chem BK4

UK 188-189

5-6Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

41Isimu Jamii

Sajili ya nyumbani na hospitalini

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya nyumbani na hospitalini

Kubainisha tofauti za kipekee za sajili hizo

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 88-92

 

2Fasihi Simulizi

Visakale

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa, kueleza na kutaja visakale mbalimbali na mafunzo yake, umuhimu wake katika jamii

 

Masimulizi

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Kanda za kunasia sauti

 

KLB BK4 UK 125

Chem BK4 UK 164

I. Ikarabati UK

 

3Kusoma

Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kujadili na kutaja nafasi ya Kiswahili kama lugha ya kitaifa na kimataifa

 

Kusoma

Kusikiliza

Kujibu maswali

 

Makala mbalimbali na vinasa sauti

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 131-134

4Kuandika

Insha ya masimulizi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuandika kwa unadhifu masimulizi kwa kuzingatia mantiki katika kufafanua vipengele vya insha

 

Kusikiliza

Kusimulia

Kuchambua vipengele

Kufanya zoezi

 

Nakala za masimulizi mbalimbali

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 134

Chem BK4 UK 219

 

5-6Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

51Isimu Jamii

Maabadini na mahakamani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa na sajili ya lugha ya maabadini na mahakamani

Kubainisha tofauti za kipekee za sajili hizo

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 95-98

 

2Kusikiliza na Kuzungumza

Hotuba

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuzitambulisha na kujadili sehemu za hotuba kwa kuzingatia matamshi bora

 

Majadiliano

Maigizo

Kufanya zoezi

 

Itendaji wa wanafunzi darasani

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 135-136

Chem BK4 UK 90

3Kusoma

Uvumbuzi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kukuza staid za kusoma kwa matamshi bora

Kujadiliana msamiati na kutumia ipasavyo katika sentensi

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi katika vikundi

 

Utendaji wa wanafunzi

 

F. Nkwera

KLB BK4

UK 136

Chem BK4 UK

4Sarufi

Yambwa na chagizo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana ya istilahi hizo na kuzitumia ipasavyo kimazungumzo na katika sentensi

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi katika vikundi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

F. Nkwera

KLB BK4

UK 141-143

Chem BK4 UK 189

5-6Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

61Fasihi Simulizi

Tamthilia

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Tamthilia teule

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 143

Chem BK4 UK 100

2Isimu Jamii

Sajili ta darasani na muktadha wa kituo cha polisi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na lueleza sifa za sajili hizo

Kubainisha sifa za kipekee katika kujibu maswali

 

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 100-102

 

3Kuandika

Matangazo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuandika na kutoa matangazo kwa kuzingatia kaida zake

Kuandaa matangazo mazuri

 

Kutaja

Kuandaa

Kuandika

 

Matangazo

Mabango

Vifaa halisi

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 143

4Kusikiliza na Kuzungumza

Ulumbi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha msamiati bora na kukuza ukakamavu wa kuzungumza hadharani

 

Kutoa mifano ya ulumbi

 

Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4

UK 146-150

Chem BK4 UK 197

5-6Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

71Kusikiliza na kuzungumza

Soga

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha matamshi bora kwa kuzingatia matamshi mwafaka na kuweza kumakinika kikakamavu

 

Kutoa mifano ya soga

 

Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 146-150

Chem BK4 UK 82

2Kuandika

Ratiba

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutaja matukio

Kujadili na kuweza kuandika ratiba kwa kuzingatia kanuni zake mwafaka

 

Kujadili

Kuuliza na kujibu maswali

Kuandaa ratiba

 

Nakala za ratiba mbalimabli

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 143-145

Chem BK4 UK 216

3Kusoma

Ufisadi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha matamshi bora

Kujadili msamiati

Kutunga sentensi na kutanmbua athari za ufisadi katika jamii

 

Kutaja visa

Kuuliza na kujibu maswali

Kujadiliana

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 150-153

Mwongozo wa mwalimu

4Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

5-6LIKIZO FUPI
83Sarufi

Virai

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua kirai na aina za virai

Kutunga sentenzi sahihi kwa kuvitumia kwa ufasaha bila tatizo

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

 

Jedwali

Picha na vifaa halisi

 

F. Nkwera

KLB BK4

UK 153-154

Chem BK4 UK 176

4Kuandika

Insha ya mawazo na maelezo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sifa zake na kuweza kuandika insha hiyo kikamilifu

 

Kutaja kanuni zihusikanazo na insha hizo

 

Nakala za insha za mawazo

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4 UK 157

Chem BK4

UK 181, 135

5-6Fasihi Simulizi

Malumbano ya utani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi kueleza aina za utani na kuutumia ipasavyo katika mazungumzo

 

Kusimulia visa

Kuigiza na kufanya zoezi

 

Kinasa sauti

 

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4

UK 158-160

91Kusoma

Haki za watoto

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa sauti na kwa ufasaha

Kuutumia msamiati

Kujibu maswali kawa ufasaha

 

Kujadiliana

Kusoma na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 161-162

Mwongozo wa mwalimu

2Sarufi

Vishazi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana na kuvitumia ipasavyo katika sentensi na kufanya zoezi

 

Kutoa mifano

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kufanya zoezi

 

Michoro ya mtawi kwenye chati

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 163-164

Chem BK4 UK 177

3Fasihi Simulizi

Mashairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutofautisha mashairi ya arudhi na huru, kuyaghani kwa mahadhi mbalimbali na kueleza maudhui yaliyomo

 

Kughani mashairi

Utendaji wa wanafunzi

Kujadiliana

Kujibu maswali

 

Shairi la arudhi na huru

 

Hellenistic E.P

Mwongozo wa fasihi simulizi

Sikate tamaa

4Kuandika

Maelezo na maelekezo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua sifa zake na kuweza kuandaa na kutunga maelekezo mazuri yasiyopotosha

 

Kubainisha kanuni za maelezo

Kutunga insha nzuri ufaayo

 

Mifano ya insha

 

Kiswahili Fasaha BK4 UK 166

Chem BK4 UK 101

5-6Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

101Isimu Jamii

Sajili ya viwandani nay a bungeni

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa za sajili hizo

Kubainisha sifa za pekee katika kujibu maswali

 

 

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 104-105

 

2Fasihi Simulizi

Mawaidha

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana ya mawaidha, umuhimu wake na kuweza kutoa mawaidha kwa hadhira bila utatanishi

 

Kuigiza

Maelezo

Kuuliza na kujibu maswali

 

Waalikwa kutoa mawaidha

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4

UK 168-169

Chem BK4 UK 209

3Bahari za UshairiKufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana na miundo mbalimbali ya ushairi

Kuchambua muundo na mtindo, sanaa na uhuru wa ushairi

 

Kughani

Kuuliza na kujibu maswali

 

Kunga za ushairi

 

A Mohamed

Kunga za Ushairi

Sikate Tamaa

4Kusoma kwa ufahamu

Sokoni

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kufafanua maana ya msamiati uliotumika

Kujibu maswali

 

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 169-171

Mwongozo wa mwalimu

5-6Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

111Sarufi

Uchanganuzi wa sentensi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kuzingatia aina za maneno, kishazi, kirai, kundu nomino na kundi tenzi

Kufanya zoezi

 

Kupambanua sentensi kwa:

– Mistari

– Michoro/jedwali

– Matawi

 

Utendaji wa wanafunzi

Michoro na majedwali

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 171-174

Chem BK4 UK 198

2Sarufi

Uchanganuzi wa sentensi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kuzingatia aina za maneno, kishazi, kirai, kundu nomino na kundi tenzi

Kufanya zoezi

 

Kupambanua sentensi kwa:

– Mistari

– Michoro/jedwali

– Matawi

 

Utendaji wa wanafunzi

Michoro na majedwali

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 171-174

Chem BK4 UK 198

3Kusoma kwa mapana

Kiswahili

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua jinsi lugha ilivyo na mawasiliano ya kisayansi na kiteknolojia

Kutumia msamiati wake ipasavyo

 

Kusoma

Kujadiliana

Kutoa mapendekezo

Kuhakiki hoja

 

Majarida

Magazeti

Utendaji wa wanafunzi

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 174-175

Mwongozo wa mwalimu

4Kuandika

Tahadhari

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana na umuhimu wa tahadhari/onyo/ilani kwa kuzingatia kanuni zake

Kuandika tahadhari ipasavyo

 

Kujadilaiana

Kutaja aina

Kufanya zoezi

 

Picha, michoro, mabango, magazeti, vifaa halisi

 

Mwongozo wa mwalimu

KLB BK4

UK 175-176

Chem BK4 UK 103

5-6Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

 

Kujadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Rejea zote za fasihi

121Isimu Jamii

Sajili ya lugha ya kiutawala

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa na kueleza sifa za sajili ya kiutawala

Kubainisha sifa zake za pekee

Kujibu maswali

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 107

 

2Sarufi

Kipozi na kitondo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha maana ya istilahi hizo na kuweza kuzionyesha na kuzitumia ipasavyo

Kueleza

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

I. Ikarabati

UK 99-100

KLB BK4

UK 168-170

Chem BK4 UK

3Kusoma

Usanifishaji wa Kiswahili (Kenya)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kuelewa na kuzieleza hatua zilizopitiwa hadi lugha ya Kiswahili kusanifishwa nchini Kenya

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kufanya utafiti

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

K.W. Wamitila

Chem BK4 UK 293

4Fasihi

Lakabu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa maana na matumizi ya lakabu

Kubainisha umuhimu wake katika jamii

 

Kusikiliza

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Ngure: Fasihi Simulizi

KLB BK4 UK 80

Chem BK4 UK 169

5-6Kuandika

Kumbukumbu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuandika kwa unadhifu kumbukumbu kwa kuzingatia kanuni zake ipasavyo kama namna ya kudurusu

 

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Kufanya zoezi

 

Mifano ya nakala za kumbukumbu

 

Mwongozo:

Kamusi sanifu

Chem BK4 UK 169

131Sarufi

Uchanganusi wa sentensi

(Kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kutambulisha KN + KT na vipashio vyake kwa matawi, mistari na jedwali ipasavyo

 

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I. Ikarabati

UK 98-107

KLB BK4 UK 171

Chem BK4 UK 196

2Sarufi

Uchanganusi wa sentensi

(Kudurusu)

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuchanganua sentensi kwa kutambulisha KN + KT na vipashio vyake kwa matawi, mistari na jedwali ipasavyo

 

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I. Ikarabati

UK 98-107

KLB BK4 UK 171

Chem BK4 UK 196

3Fasihi Simulizi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu ulumbi, soga, malumbano ya utani, mawaidha, maigizo, ngomezi, nyimbo, mighani, majigambo, tondozi na pembezi

 

Kujadiliana maana, siaf na umuhimu

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

KLB BK4 UK 96,102, 108,116,130,137,144

Jarida la fasihi simulizi

4-6MITIHANI

 

AZIMIO LA KAZI

KIDATO CHA NNE 

MUHULA WA III

  ASILIA

  1. KLB
  2. Mwongozo wa Mwalimu
  3. Oxford
  4. Kamusi
JUMAKIPINDI 

SOMO

 

SHABAHA

 

MBINU

 

VIFAA

 

ASILIA

 

MAONI

13-6KUFUNGUA NA KUSAHIHISHA KAZI YA LIKIZO
21Kusoma

Haki za binadamu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuimarisha staid za matamshi bora, kujadili msamiati, kutunga sentensi na kutambua haki za binadamu

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: Kamusi sanifu

Chem BK4 UK 185

Mwongozo wa mwalimu

2Fasihi Simulizi

Mighani

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi bora, kughani na kubainisha umuhimu wa mighani

 

Majadiliano

Kughani

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi sanifu

Chem BK4 UK 150

I. Ikarabati

UK 164-167

3Sarufi

Uakifishaji

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha alama za kuakifisha na kuzitumia ipasavyo katika mazungumzo au dayalojia

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

KLB BK4 UK 203

Chem BK4 UK 156

4Fasihi

Kudurusu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu maswali ya fasihi simulizi, riwaya, tamthilia na ushairi

 

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

 

Nakala za maswali

 

Nakala za vitabu teule vya fasihi

5Kuandika

Meme na barua meme

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kubainisha nukulishi au kipepesi/faksi, mdahalishi na barua za rununu

Kubainisha faida za huduma hizo

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

I. Ikarabati UK 4

KLB BK4 UK 50

Chem BK4 UK 214

6Isimu Jamii

Sajili ya kitaaluma

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sifa na msamiati utumikao katika sajili ya kitaaluma na kuweza luutumia ipasavyo katika mawasiliano

 

Majadiliano

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 111

Tuki: kamusi sanifu

31Fasihi simulizi MaigizoKufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kwa kuzingatia matamshi bora, kuigiza vipera vya maigizo ipasavyo na kuweza kubainisha umuhimu wake

 

Kujadiliana

Kuigiza

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi sanifu

Chem BK4 UK 175

I. Ikarabati

UK 164-167

2Sarufi

Mzizi wa kitenzi na viambishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu tena – mzizi wa kitenzi na viambishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi

 

Kusikiliza

Kuuliza maswali

Majadiliano

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem BK4

UK 204-206

I. Ikarabati UK 8

KLB BK4 UK 43

3Kusikiliza na Kuongea

Maigizo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kujadili mambo muhimu yanayozingatiwa katika maigizo na kushiriki ipasavyo kuigiza

 

Kusikiliza

Kuigiza

Kujadiliana

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem BK4

I. Ikarabati UK

KLB BK4

UK 177-179

4Kusoma

Katiba ya wanyama

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa ufasaha

Kujadili msamiati na kuutungia sentensi ipasavyo

 

Kusoma taarifa

Kujadiliana

Kutunga sentensi

 

Picha za wanyama

Viungo vya miili yao

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 180-183

5Fasihi

Ushairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kuchambua dhamira, maudhui, mbinu za lugha na wahusika bila utatanishi

 

Kusoma

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Mazingira ya shule

Maleba

Vifaa vya bandia

 

Malenga wa ziwa kuu

Kunga za ushairi

Sikate Tamaa

6Kuandika

Wasifu

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana, kujadili aina na mambo muhimu yazingatiwayo na kuweza kuandika mtungo mzuri

 

Kusikiliza

Kujadiliana

Kuandika wasifu

 

Nakala za wasifu

 

Chem BK4 UK 122

I. Ikarabati UK

KLB BK4 UK 187

41Sarufi

Mnyambuliko wa vitenzi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua vitenzi vya asili ya kigeni

Kuvinyambua katika hali mbalimbali na katika sentensi

 

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem BK4 UK 39

I. Ikarabati UK 8

KLB BK4

UK 183-185

2Isimu Jamii

Daktari na mgonjwa

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa sifa na msamiati utumikao katika muktadha wa mahojiano kati ya daktari na mgonjwa na kueleza

 

Kujadiliana

Kuigiza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Maleba

Mahambo

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 112

3Fasihi

Ushairi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kuchambua dhamira, maudhui, mtindo, muundo na bahari za ushairi ipasavyo

 

Kusoma

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Ushairi

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Malenga wa ziwa kuu

Kunga za ushairi

Sikate Tamaa

4Kusikiliza na Kuzungumza

Ulevi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa matamshi bora

Kutambulisha madhara ya ulevi na kupendekeza njia za kukabiliana na uraibu huo

 

Maelezo

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 188-190

5Kusoma

Uandishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kujadili na kutoa maana ya msamiati

Kueleza hatua za shughuli za uandishi na kuweza kuandika ipasavyo

 

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

Majadiliano

 

Picha na matbaa

Picha za uandishi wa Kiswahili

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 190-194

Chem BK4 UK 110

6Fasihi SimuliziKufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Maana, dhima, umuhimu, tofauti na vipera vya fasihi simulizi viweze kueleweka ipasavyo

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Mifano ya kazi za fasihi

 

H.E Facilitators

Mwongozo wa fasihi simulizi

Chem BK4 UK 127

51Sarufi

Nyakati na hali

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua viambishi viwakilishi na hali

Kuvitumia katika sentensi katika hali yakinishi na hali kanushi

 

Maelezo

Kutunga sentensi

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

KLB BK4

UK 194-197

2Kuandika

Utungaji wa kisanii

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kukuza staid za kuandika kisanii

 

Maelezo

Kusoma na kuandika

 

Makala ya mashairi ya arudhi

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4 UK 197

Chem BK4 UK 47

3Kusikiliza na kuzungumza

Ngomezi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua na kueleza maana na aina za ngomezi

Kufafanua matumizi ya ngomezi katika jamii

 

Kujadiliana

Kusikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Mwongozo wa fasihi simulizi

KLB BK4 UK 199

Chem BK4 UK 221

4Isimu Jamii

Makosa katika matumizi ya lugha

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuelewa dhana ya makosa ya lugha, nyanzo vyake na aina za makosa katika lugha na kuyakosoa

 

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Odeo I.I na Maina C.

Fani ya Isimu Jamii UK 116-120

5Kusoma

Makala kutoka kwa wavuti

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma makala yaliyoteuliwa kutoka kwenye wavuti kwa ufasaha na kuweza kujibu maswali

 

Kusoma

Kuuliza na kujibu maswali

 

Makala

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 204-206

Chem BK4 UK 160

 

 

6Fasihi Simulizi

Mazungumzo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kueleza maana na aina mbalimbali za mazungumzo na kubainisha umuhimu wake katika jamii

 

Kujadiliana

Kufanya zoezi

 

Aina mbalimbali za mazungumzo

 

Mwongozo wa fasihi simulizi

Ngure

Fasihi simulizi

61Kuandika

Muhtasari

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma, kufafanua maana ya msamiati uliotumika

Kujibu maswali ya ufupisho bila utatanishi

 

Kusoma taarifa

Kujibu maswali ya ufupisho

 

Makala ya ufupisho

 

Tuki: Kamusi sanifu

KLB BK4

UK 199-201

2Sarufi

Sentensi

Uundaji wa maneno, uunganishi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kudurusu – aina za sentensi, uchanganuzi na uundaji wa maneno yenye shina moja na kuyatungia sentensi sahihi

 

Kisikiliza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Jedwali

Vifaa halisi

Picha na michoro

 

Chem BK4 UK 225

I. Ikarabati

KLB BK4

UK 211-213

3Fasihi Simulizi

Viungo muhimu vya riwaya

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kuvitambua, kuchambua riwaya teule na kukuza staid ya kusoma kwa kina – dhamira, maudhui, wahusika, mandhari na muundo

 

Kujadiliana

Maigizo

Kuimba

Kuuliza na kujibu maswali

 

Riwaya teule

 

Chem BK4 UK 42,55, 65, 31,22,8

I. Ikarabati

KLB BK4

UK 213-215

4Kusikiliza na kuzungumza

Maghani na majigambo

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kusoma kwa ufasaha, kutambua aina zake na kughaniana kisha kutofautisha na maghani

 

Kueleza

Kughani

Kuuliza na kujibu maswali

 

Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa fasihi simulizi

NgureFasihi simulizi

KLB BK4

UK 216-218

5Kusikiliza na kuzungumza

Tondozi na pembezi

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutambua aina za tondozi na pembezi, kuweza kuzitofautisha na kufanya zoezi

 

Utambuzi wa aina za tondozi na pembezi

Kufanya zoezi

 

Vifaa halisi

Picha na michoro

Mwongozo wa fasihi simulizi

NgureFasihi simulizi

KLB BK4

UK 216-218

6Kusoma

Fasihi na mazingira ya sasa

Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze;

Kutaja na kutambua vipera vyake na kuvitumia kama ipasavyo kutambua umuhimu wake

 

Kueleza

Kuuliza na kujibu maswali

 

Vitu halisi na utendaji wa wanafunzi

 

Ngure: Fasihi simulizi

I. Ikarabati

UK 229-230

71-6MAANDALIZI KWA MTIHANI WA KITAIFA
8MTIHANI WA KITAIFA

 

See also  Latest primary school schemes of work for all grades and classes (Complete CBC schemes)

Leave a Comment

Verified by MonsterInsights