Cheti cha KuhitimuKisomo cha Sekondari
MTIHANI WA MUHULA WA PILI–202
MOCKS 1 202
102/3 Kiswahili – Fasihi Karatasiya 3
KIDATO CHA NNE JULAI/AGOSTI, 202 Muda: Saa 2½
Jina: ………………………………………….……………… Nambari: ………………
Mkondo: ………………SahihiyaMtahiniwa: ………..……..Tarehe ……………………
Maagizo
Kwamatumiziyamtahinipekee
KISWAHILI USHAIRI NOTES WITH EXAMPLES AND GUIDES
Bembea Ya Maisha Mwongozo Free Kiswahili Notes For Secondary Schools Free Downloads
Kigogo Kiswahili setbook free Guides, KCSE Questions and Answers Downloads
Kiswahili free lesson plans for all topics (Form one to four)
KISWAHILI LUGHA NOTES FORM 1, 2, 3 & 4
Kiswahili Topic By Topic Questions And Answers PAPER 1-3 (All Topics)
KCSE Set Books Revision Questions and Answers (English and Kiswahili)
| SWALI | UPEO | ALAMA |
| 1 | 20 | |
| 20 | ||
| 20 | ||
| 20 | ||
| JUMLA | 80 |
SEHEMU A: HADITHI FUPI(LAZIMA)
D.W. Lutomia na PhibbianMuthama : Mapambazuko Ya Machweo Na HadithiNyingine
SEHEMU B: RIWAYA
A.Matei: Chozi la Heri.
Jibu swali la 2 au la 3
c)Bainishavipengelevinginevinnevyakimtindokatikadondoohili (alama 4)
3.“Alijiona kama mfa maji ambaye anakabiliwa na mtutumo wa mawimbi ya misiba ,mmoja baada ya mwingine.”
a)Elezamuktadhawadondoohili. (alama 4)
b)Ukimrejeleamsemewawamanenohayanawahusikawenginekutokakwenyeriwaya,onyeshajinsiwalivyokumbwanamawimbiyamisiba. (alama 16)
SEHEMU C: TAMTHILIA
Timothy Arege: BembeaYaMaisha
Jibuswali la 4 au la 5
a)Elezamuktadhawadondoohili . (alama 4)
b)Kwahojatano, elezasifazamsemajiwamanenohaya . (alama 5)
c)Tambuambinumojayalughailiyotumikakatikadondoohili. (alama 1)
(a) Tambua toni mbili katika kifungu hiki (alama 2)
(b) Tambua aina mbiliza taswira katika dondoo hili (alama 2)
(c)Kandonataswirachambuavipengelevinginevyakimtindo (alama 6)
(d) FafanuanamnamandhariyadondoohiliyalivyochangiakujengatamthiliayaBembeayaMaisha.
(alama 10)
SEHEMU D: USHAIRI.
Jibu swali la 6 au la 7
Taifa ni Ushuru
Lau kama ingakuwa, madhali tuna uhuru
Watu kodi kutotowa, na kuifanya kufuru
Vipi nchi ingakuwa, taifa bila ndururu
Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru
Hivi taifa kumea , nakuendelea mbele
Kwamba lajitegemea, haliwategei wale
Yataka kujitolea, ushuru bila kelele
Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru
Wafanyikazi wa umma, mfano mwema walimu
Wauguzi mahashuma, daktari wahadimu
Bila hizi darahima, vipi wangalihudumu?
Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru
Si vyema kuombaomba, kwa wageni kila mara
Huwa twajifunga Kamba, na kujitia izara
Adha zinapotukumba, kujitegemea bora
Taifa halingakuwa,bilashi bila ushuru
Miradi ya maendeleo, yahitaji darahima
Ndo tufikie upeo, ulio dunia nzima
Wadogo na wenye vyeo, bila kodi tutakwama
Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru
Ushuru si kwa wanyonge, wasokuwa na uwezo
Watozwehatawabunge, nawenginewenyenazo
Yeyoteasijitenge, kodiakalipabezo
Taifahalingakuwa, bilashibilaushuru
Kwetukutoaushuru,ndikokujitegemea
Pasiweponaudhuru, usiowakuelea
Huwa ni kama kiguru, asenao kutembea
Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru
Maswali
(a)Tambuahadhirainayolengwakatikashairihili. (alama 1)
b)Hukuukitoamfano,onyeshambinutatuambazomshairiametumiakutoshelezauhuru wake. (alama 3)
c)Bainishaainatatuzaurudiajizinazojitokezakatikautungohuu. (alama 3)
d)Elezamuundowaubetiwasita. (alama 4)
e)Andikaubetiwannekatikalughayanathari/tutumbi (alama 4)
f)Kwa kutolea mfano,taja mbinu tatu za kimtindo zilizotumika katika shairi hili. (alama 3)
g)Weka shairi hili katika bahari yake ukirejelea : (alama 2)
i)Vipande
ii)Vina
Sikilizeniwimbohuu:
NiliokuwamtotonilitwachachaKwamatamshiyanguyasasa
NilipokuwamtumzimaniliitwaManyweleNilipokuwamwalimunikaitwaBure.
HuuutakuwawimbowakoUtakapostaafuurudiponyumbaniUmelewakangarananyayozako
Zikishindwakulenganjianyembambavijijini. Utakuwakichekesho cha watotoWatakaoukuita, Ticha! Popoteupitapo.
Kumbukamwalimuutakapostaafu, MijusiwatatagamayaindaniyaviatuVyakovilivyokwishavisiginino.
Na ndaniyasidiriachakavuZilizoshikizwaKambakwapini
MendewatazalianandaniyachupatupuZamarashinazabia.
Na manyiguyatajengandaniyakofiaZilizosahaulikakutani
UtakapokufangewatazalianaChiniyajiwejuuyakaburilako, Na mlevifulaniakipitaatapenga
Na kupangusavidolekwenyejiwepweke
Mwanzonamwishowakondiohuo.
Lakiniwakatiungalihai
UnawezakubadilishamkondowamajiLakini kwanza mzungumze. Wewenamimi. Achamioyoyoteizungumzwe
Baadayakunyanyaswa Na kishanusumshahara.
Utafundishatenanyimbokuwasifuviongozi? Utafundishatenangonjera?
UtapelekatenawanafunziasubuhiWakajipangebarabaranikusubiriMgeniafikayesaakuminaapitapo
Apungatumkonokuwatiakichaa cha shangwe
Na hukunyumamwasambaananjaa?
TazamahilorundamadaftarimezaniUtalimalizakwamshaharamkiawambuzi? Tuzungumze. Ninyinamimi.
Achamioyoyetuizungumze
MkiwawaoganakujikunjakamajongooMtawekwakwenyevijitinakutupwaNjeyaua, ndanimtawaacha
Wachezangomawakitunganyimbompya
Sikilizeniwalimu,
Anzenikufundishahesabumpya
Mjingammojakujumlishanaweziishirini Ni sawanasifuri. HapanautawalaFundishenihistoriahistoriampya
Hapo zamani za sasa Hapakuwa na serikali.
Sikilizeni kwa makini Umoja hatuna
Twasambaratika kama nyumba Tulicho nacho ni woga,
Na kinachotuangusha ni unafiki. Lakini tusikate tamaa kama mbuni. Tukiupataumojabadotunayosilaha. Kura.
Mjingammojakujumlishanaweziishirininisawanasufuri. (al.2)
SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI
1Angoleangolemwanangu
Mwanangunakuchombeza
Nakuchombezaulale
Ulaleukiamka
Nikupikieubwabwa
Na mchuziwa papa
Ukiliawaniliza, wanikumbusha
Ukiwawa baba na mama
2Baba na mama watende
Ilimu kunikatizia
Ng’ombe, mbuzi kupokea
Kunioza dumu kongwe
Haliuki na halende
Kazi kupiga matonge
3Likingiamvunguni
Lavunjavunjavikombe
Likilalakitandani
Langurumakamagombe
JINA………………………………………………………………..NAMBARI YA MTAHINIWA……………
TAREHE…………………………………………. SAHIHI………………………………………
102/1
KISWAHILI
KARATASI YA KWANZA
INSHA
JULAI 2023
MUDA: SAA 1 ¾
MOCKS 1 2023
MAAGIZO
Kwamatumiziyamtahinipekee
| Swali | Upeo | Alama |
| 1 | 20 | |
| 2 | 20 | |
| Jumla | 40 |
Kumekuwana visa vingivyautovuwanidhamushulenimwenu. Ukiwakatibuwaviranja, andikakumbukumbuzamkutanouliojadilivyanzovyautovuhuonasuluhisho lake.
Mpigangumiukutahuumizamkonowe.
4.Tungakisakitakachomaliziamanenoyafuatayo:
…nikamtazama Marina hukumachoziyakinitiririkanjiambilimbilikutokananamajutoyaliyonijaa.
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
MOCKS 1 2023
102/2 – KISWAHILI -Karatasi ya 2
LUGHA
JULAI-2021- Muda: – Saa 2
Jina ………………………………………………………NambariYako.………………………..
Sahihiya Mtahiniwa………………………………………Tarehe………………………………..
Maagizo
g)Karatasi hii ina kurasa 11 zilizopigwa chapa.
________________________________________
Kwa Matumizi ya Mtahini Pekee
| Swali
| Upeo | Alama |
| 1 | 15 | |
| 2 | 15 | |
| 3 | 40 | |
| 4 | 10 | |
| Jumla | 80 |
Soma makala haya kwa uangalifu kisha ujibu maswali yanayofuata.
Asubuhi hiyo kabla ya mrauko wa watu wengi kama ilivyokuwa ada ya wanakijiji cha Kaulizeni, Kabibi alimrausha mumewe Mzee Mori kwa lengo la kumpeleka kwenye zahanati ya pale pao – heko kwa mfumo mpya wa kiutawala uliotokana na kuanza kutekelezwa kwa katiba iliyoasisi ugatuzi na hapo kuwezesha taasisi zitoazo huduma nyingi muhimu kuletwa karibu na wananchi. Miaka michache iliyopita, wangehitajika kutumia zaidi ya saa nne kufikia kituo cha matibabu kilichokuwa karibu nao.Aidha, wangetakiwa kutumia matwana ambayo haikuwa rahisi kukodeshwa kutoka kwa mwenyewe kwa sababu ya zile barabara zilizoogopa kusakafiwa kutokana na utepetevu wa viongozi wao katika siku zilizotangulia. Chepkwony hakupenda kutesa gari lake kwa kuliruhusu kupitia barabara hizo ambazo ubovu wake ulitia fora. Magenge yaliyosongamana barabarani na mawe yaliyosimama wima ni kama yanapiga saluti yalikuwa tayari kuhujumu vigari vya wachochole kama yeye. Licha ya hofu hii, mara mojamoja alijitolea na kuwanusuru wanakijiji waliochungulia kaburi na akina wajawazito ambao siku zao zilikuwa zimetimia. Aghalabu, ubovu wa barabara hizi ulihakikisha kwamba wengi wao walitua mizigo yao kabla ya kuwasili katika Zahanati ya Nusura.
Leo hii, imewachukua dakika ishirini hivi, mwendo wa miguu na lau wangepata pikipiki, au ‘nduthi’ kama vijana wanavyoziita kwa kilugha legevu chao, ingewachukua chini ya dakika tatu kukamilisha safari hii. Mambo yametengenea kwelikweli. Ule mgao wa serikali ya kaunti kutoka kwa hazina kuu ya serikali ya kitaifa ulitumiwa kwa uwajibikaji mkubwa na gavana wao kwa ushirikiano na mwakilishi wa kata hiyo kwenye bunge la kaunti. Na hii sio natija ya pekee iliyopatikana kutokana na mabadiliko haya ya kisiasa. Kabla siku ya leo, ilimbidi mkazi yeyote wa Kijiji cha Kaulizeni ajiandae vyema kabla ya kuenda zahanatini kwa matibabu kwa chamcha kilicholiwa asubuhi au kupakiwa kwenye mifuko ya sandarusi kabla ya kupigwa marufuku na shirika linalodhibiti ubora wa mazingira maarufu kama NEMA, ili kiliwe huko ukisubiri kuhudumiwa. Ama kweli milolongo iliyopangwa kuingia katika kila sehemu hapo zahanatini ilikuwa mirefu: si pa usajili, si pa uchunguzi wa daktari, si pa malipo, si maabarani, si pa dawa na hata msalani foleni ilikuwapo si hoja kwamba uchafu uliokuwepo ulitosha kumfanya mja apoteze haja ya kuzuru huko ghafla.
Ilisemekana kwamba wafanyakazi wa hapo zahanatini ndio walisababisha chelewesho hili na kufanya foleni kurefuka katika kila idara. Mathalani, madaktari walisemekana kuingia kazini saa nne hivi baada ya kupitia kliniki zao za kibinafsi na kuondoka kabla ya saa tisa. Maafisa wa usajili nao walificha majalada maksudi ili kubembeleza kadhongo kutoka kwa wagonjwa kabla kuanzisha usajili wao. Wale wanaohusika na dawa walizoea kuwambia wagonjwa kuwa dawa zilikuwa zimeisha na kuwaelekeza kwenye maduka ya wauza dawa karibu sana na zahanati yenyewe. Halafu ukifika huko na kununua dawa, unapigwa na butwaa kuona dawa ulizouziwa zikiwa na nembo ya serikali. Hakika waso haya wana mji wao. Sikuelewa ni kwa nini udokozi wa namna hii ulifanywa hadharani mchana wa Mungu.
Kwenye maabara kulisemekana kwamba kemikali maalum za kutumiwa kupima maradhi hazikuweko hivi kwamba matokeo ya uchunguzi yalionyesha kwamba kila mgonjwa alikuwa na aina ileile ya ugonjwa. Maarufu miongoni mwa maradhi yaliyodhihirishwa maabarani ilikuwa malaria na homa ya matumbo. Sasa haikuwa ajabu mtu kutilia shaka uchunguzi uliofanywa katika maabara haya. Matokeo haya yalitolewa baada ya kipindi kirefu cha kusubiri kwa wastani saa mbili na nusu! Usishangae kwamba wakati wa kipindi hiki cha kusubiri, wangeonekana wakiwa katika harakati kama wahandisi wanaokarabati mtambo maalum wa tarakilishi mara wanakoroga, mara wanamimina majimaji vyomboni au wanakonyeza macho kutazama miujiza waliyotambua wao pekee yao kama wanajimu wanaozuru anga za juu. Wale wa idara ya malipo walikuwa maarufu kwa kuwambia wateja wao kwamba hawakuwa na hela za kuwarejeshea kama mabaki yao; wakawa na masalio ambayo, kama kawaida kidogo kidogo hujaza kibaba, yalizalisha maelfu ya pesa katika kipindi kifupi na kunenepesha mifuko yao.
Gavana wa gatuzi hili alifagilia mbali uchafu huu wote. Mori alihudumiwa katika kipindi cha chini ya saa moja baada ya ugonjwa wake kupatikana. Ugonjwa wake ulikuwa ni mwiba wa kujidunga ambapo mhasiriwa hastahili kuambiwa pole. Ukaidi wao uliwafanya kukataa kulala chini ya vyandalua vya kuwazuia wadudu wasababishao maradhi haya sugu kwa kuongozwa na imani potofu eti vyandalua huzuia usingizi. Usisahau kwamba vilitolewa bure kwa kila mkazi wa gatuzi hili kupitia mapango maalum wa rais wa taifa mojawapo la ulimwengu lenye ustawi mkubwa wa viwanda. La kuchekesha zaidi ni kuviona vyandalua walivyopewa vikiwa vimetumiwa kuzingira vitalu vilivyopandwa mboga. Hiki ndicho kinaya kilichozuliwa na Mori na mkewe hata wakawa windo rahisi kwa mbu.
Maswali
(alama 3)
…………………………………………………………………………………………………..
…………………………………………………………………………………………………..
…………………………………………………………………………………………………..
makosamatano yaliyofanywa na wafanyakazi mbalimbali wa vituo vya afya. (alama 5)
…………………………………………………………………………………………………..
.………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………..
…………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………..
iii. unapigwa na butwaa ………………………………………………………………………….
Soma makala kisha ujibu maswali yanayofuata.
Kilimo ni moja kati ya shughuli muhimu sana zinazotekelezwa na binadamu katika vizazi vyote na hujishughulisha na upanzi wa mimeana ufugaji wa wanyama. Maisha ya binadamu katika nyanja zote hutegemea kilimo hivi kwamba endapo harakati za kilimo zitasitishwa, bila shaka maisha ya binadamu yatafikia kikomo. Chakula na mavazi ya binadamu hupatikana kutokana na shughuli hii muhimu na imekuwepo maishani mwa binadamu kwa karne nyingi. Wataalamu wa historia husema kwamba kilimo kilianza wakati ambapo ustaarabu wa binadamu ulianza kustawi yaani kadri binadamu alivyoanza kukumbatia ustaarabu ndivyo kilimo kilianza kustawi hali kadhalika. Kabla ya kustawi kwa kilimo, binadamu wa kwanza aliishi maisha ya kulumbata wanyama akikusanya miti, majani, maganda, mizizi na matunda kwa ajili ya kujikimu maishani mwake. Katika kipindi hiki mtindo huu wa kupata chakula na mavazi ya binadamu ulikuwa mwafaka mradi hakuweza kutindikiwa na chochote.
Baadaye dharura ya kuwa na utaratibu tegemevu wa kujipatia maslahi ya binadamu ikatokea kwa sababu ya kuendelea kuongezeka kwa idadi ya watu, pakawa na haja ya kulainisha mfumo wa uzalishaji wa chakula na kutimiza mahitaji mengine ya kibinadamu. Matokeo ya juhudi hizi yalianzisha shughuli ya uvuvi, uwindaji wa wanyama na ndege na ukusanyaji wa vyakula mbalimbali na kuvihifadhi. Harakati za kusaka chakula kwa wingi zikashadidi katika kila janibu za ulimwengu. Hii ilifuatiwa nakuanza kufuga wanyama waliozalisha bidhaa kama vile maziwa, nyama, ngozi na mayoya yaliyotumiwa kutengeneza mavazi. Wanyama waliofugwa hivi, baada ya miongo fulani, wakaanza kutumiwa mashambani kufanya kazi ya kusaidia kuandaa mashamba kwa minajili ya kuzalisha vyakula.
Ustaarabu ulipoimarika zaidi kutokana na mpito wa wakati, mahitaji ya chakula kilichozalishwa kupitia kilimo yakawa makubwa kushinda chakula kilichokuwepo kwa ajili ya kuyakimu mahitaji ya binadamu katika kipindi hicho cha kizazi cha binadamu.Jambo hili lilisababisha haja ya kubuni mbinu mpya na bora zaidi za uzalishaji wa chakula kutokana na matumizi ya ardhi.Aghalabu katika baadhi ya sehemu, uzalishaji ulizuiwa na hali ngumu ya hewa kwa sababu ya mvua isiyotegemewa, ama ichelewe au ipotee kabisa na kusababisha kiangazi kilichonyausha na kukausha mimea mashambani. Mimea mashambani inaachwa ikisononeka kutokana na uhaba au ukosefu kabisakabisa wa maji. Ili kukabiliana na changamoto hii ya hali ya hewa, mitaro mikubwa ilichimbwa kutoka maeneo ya maji kama vile mabwawa, mito ya kudumu, maziwa na vidimbwi ili kuelekeza maji mashambani na kuwezesha mimea kustawi ipandwapo. Huu ulikuwa mwanzo wa kilimo cha kunyunyizia maji mashambani. Mtindo huu ulistawi zaidi nchini Misri Kaskazini mwa Bara la Afrikakwa sababu ya kuwepo kwa Jito la Nile. Mbali na kutumia mtindo wa kunyunyizia maji mashambani ili kuimarisha uzalishaji, haja ilizuka ya kuimarisha aina ya mbegu zilizopandwa ili kuongeza kiwango cha mazao ambayo yangepatikana hata katika eneo dogo. Kadhalika, mbegu zilizoimarishwa hivi zilikuwa na uwezo wa kuhimili hali ngumu ya hewa kama kiangazi, magonjwa na wadudu waharibifu. Hizi zilikuwa baadhi ya hatari zilizokumba mimea na kudunisha kiwango cha mazao yanayotoka kwenye mashamba.uzalishaji.
Usisahau kwamba uvumbuzi wa viwanda ulipozuka kule Ulaya, vifaa bora vya kutumia katika kilimo vilivumbuliwa. Vifaa hivi vilikuwa kama vile plau na tingatinga na vilisaidia sana kuandaa konde kwa njia bora zaidi na tena kwa kipindi kifupi. Hatua hii iliimarisha mchakato mzima wa kuendeleza kilimo kwa manufaa ya binadamu. Kwa kweli akili ni mali na si mali tu bali ni mali ya aina yake. Ni dhahiri kwamba mti hauwezi ukaenda pasipo na nyenzo.
Matayarisho
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
Nakala Safi
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………..
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
Matayarisho
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
Nakala Safi
……………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………….
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
………………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
Dumu na mwanawe Borni waimbaji hodari. ……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
yafuatayo:(alama3)
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
iii. kuchoka:
……………………………………………………………………………………………………
Mgogoro huo ulimalizikaleo kwa mapatano.
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
Kipakatalishicha Wangila kina kasi kubwa.
…………………………………………………………………………………………………
umeanza kusoma tamthilia ya kigogo kigogo alimuuliza kangogo.
…………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
Wananchi wengi walihudhuria mkutano ndani ya uga wa Kitaifa. (alama2)
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
sentensi.
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………..
……………………………………………………………………………………………………
(alama 2)
Banatialishushaberamu saa kumi na mbili jioni.
……………………………………………………………………………………………………
0) Kwa kutumia sentensi moja, tofautishavitate vifuatavyo:sima, zima (alama 2)
…………………………………………………………………………………………………
Panapokuwa na juhudi katika jambo lolote hata likiwa gumu, hatimaye ufanisi hupatikana.
……………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………
(alama 2)
Unapotaka kupishwa hutumianeno ………………………………. na ………………………..
nitamko la kuagana mnapoachana na mtu usiku kama ambavyo …………………………….
hutumiwa unapomwomba mtu msamaha kwa kumkosea.
4.Isimujamii (Alama 10)
Andika sifa kumi za lugha utakayotumia ukipata fursa kutangaza mchezo wa kandanda. (alama 10)
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………..
……………………………………………………………………………………………………..
…………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
……………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………….
…………………………………………………………………………………………………….
……………………………………………………………………………………………………
…………………………………………………………………………………………………….
Huu ndio ukurasa wa mwisho uliochapishwa.
Cheti cha Kuhitimu Kisomo cha Sekondari
MTIHANI WA MUHULA WA PILI–2023
MOCKS 1 2023
102/3 Kiswahili – Fasihi Karatasi ya 3
KIDATO CHA NNE JULAI/AGOSTI, 2023 Muda: Saa 2½
Jina: ………………………………………….……………… Nambari: ………………
Mkondo: ………………Sahihi ya Mtahiniwa: ………..…….. Tarehe ……………………
Maagizo
Kwa matumizi ya mtahini pekee
| SWALI | UPEO | ALAMA |
| 1 | 20 | |
| 20 | ||
| 20 | ||
| 20 | ||
| JUMLA | 80 |
SEHEMU A: HADITHI FUPI(LAZIMA)
D.W. Lutomia na Phibbian Muthama : Mapambazuko Ya Machweo Na Hadithi Nyingine
SEHEMU B: RIWAYA
A.Matei: Chozi la Heri.
Jibu swali la 2 au la 3
(a) Ni usimulizi wa Kaizari
iii) Yumo kambini / Misitu wa Mamba.
iv)Anarejelea hali ya ugeni kule kambini / anarejelea hali ya maumivu ambayo wanawe Lime na Mwanaheri wamo baada ya kubakwa / Hii ni baada ya uchanguzi kufurushwa kwao na kuishia kambini/anarejelea tandabelua ya baada ya uchaguzi. (4×1=4)
i)Taswira oni/ya uoni/mwono – naona wingu kubwa angani likitembea
ii)Taswira mwendo – wingu kubwa likitembea
iii) Taswira sikivu – sauti ya mawingu yakigooka
iv)Taswira mguso – mawingu yanakaribiana, kupigana busu; wingu kulifunika jua; yanayoanguka kwenye ngozi laini za wanangu.
(v.) Taswira hisi – yakataka kutapika (za kwanza 4×1=4)
(c) Vipengele vya kimtindo;
i)Tashihisi/uhuishi – wingu kubwa angani likitembea kwa kedi na madaha / mawingu yakataka kutapika
iii) Mdokezo – ngozi Laini za wanangu wakembe…/maskini mke wangu…
vii) kudumisha sauti – siye-e-e-e
(za kwanza 4×1=4)
d)Toni ya uchungu/masikitiko / huzuni (1×2=2)
iii) Kuonyesha wakati wa kutukia kwa matukio- tandabelua baada ya uchaguzi
(iv) Huchangia kuibua toni na hali ya kijumla – mandhari haya yanaibua toni ya uchungu na masikitiko.
vii) Kudokeza migogoro – baina ya wafuasi wa Bi.Mwekevu na mpinzani wake mkuu.
viii) Husaidia kulinganua hali za matabaka– k.m. aliyekuwa waziri, familia ya Bw. Kute
(xi) Kuonyesha mahali pa tukio – k.m Lime na Mwanaheri wanabakiwa nyumbani kwao
x)Huibua taharuki – Kaizari akisimulia jinsi gari lao lilivyoishiwa na petroli taharuki inajengwa.
3.“Alijiona kama mfa maji ambaye anakabiliwa na mtutumo wa mawimbi ya misiba ,mmoja baada ya mwingine.”
a)Eleza muktadha wa dondoo hili. (alama 4)
i)Msemaji: maelezo ya mwandishi/msimulizi
ii)Msemewa:Anamrejelea Lunga
iii)Mahali:Msitu wa simba
iv)Sababu:Mwandishi anatueleza changamoto alizokumbana nazo Lunga baada ya kuhama kutoka msitu wa mamba.
b)Ukimrejelea msemewa wa maneno haya na wahusika wengine kutoka kwenye riwaya,onyesha jinsi walivyokumbwa na mawimbi ya misiba. (alama 16)
i)lunga anafutwa kazi baada ya kutetea raia dhidi ya kupewa mahindi yaliyokuwa hatari hata kwa panya
ii)lunga anapoteza mali yake yote baada ya kutimuliwa kutoka msitu wa mamba
iii)Naomi anamtoroka Lunga wakati alipomhitaji Zaidi.
iv)Ridhaa anaipoteza aila yake yote inayoangamizwa na mzee Kedi
v)Umu anabaki mpweke baada ya ndugu zake kutoroshwa na kijakazi Sauna
vi)Lime na Mwanaheri kubakwa na vijana barobaro mbele ya baba yao
vii)Zohali anapata mimba akiwa kidato cha pili anaamua kutoroka nyumbani kwao baada ya kuachiwa kazi zote za nyumba
viii)Subira amejaa majeraha usoni mwake na pia mwili wake kuvimbiana kutokana na ubahaimu wa mwanadamu
ix)Ridhaa anabaguliwa na wanafunzi wenzake kitendo kinachomfanya kutoroka shule
x)Majumba ya ridhaa yanabomolewa ikisemekana yalijengwa sehemu iliyotengewa ujenzi wa bypass.
xi)Sauna kubakwa na babake wa kambo na anapomfahamisha mamake anamnyamazisha kuwa asimpake tope babake
xii)Sauna anaamua kutoroka nyumbani kwao baada ya kulazimishwa kuavya mimba na mamake mzazi
xii)Riziki Immaculata kutupwa na mamake kwenye mapipa ili kijifie ila kinaokelewa na Neema na kupelekwa kwenye kituo kutunza watoto cha Benefactor.
xiii)Jumba la Ridhaa alilokuwa amewapangisha wafanyabiashara kuchomeka kutokana hitilafu za umeme hadi kuwa unga tifutifu.watu wengi walifia humo ndani.
Xiv)kutokana na machafuzi ya uchaguzi Subira mkewe kaizari anakatwa kwa sime na vijana ambao pia wanawabaka lime na mwanaheri mabinti zake Kaizari mbele yake akishuhudia .
xv)Makaa amiye Mwangeka kuchomeka asibakie lolote alipoenda kuwaokoa watu walliokuwa wakifyonza mafuta kutoka kwa lori lililokuwa limeanguka.
xvi)Baada ya machafuzi ya uchaguzi wakimbizi(Ridhaa ,Kaizari na wengine)wanaishia kwenye kambi ambako maisha ni magumu sana.Hawana chakula,maji safi ya kunywa,misala hakuna wanaishi kwenye vibanda wote wazee kwa watoto.
Kadiria majibu ya mwanafunzi
16×1
SEHEMU C: TAMTHILIA
Timothy Arege: Bembea Ya Maisha
Jibu swali la 4 au la 5
a)Eleza muktadha wa dondoo hili . (alama 4)
msemaji:Sara
Msemewa:Dina
Mahali:Nyumbani kwa Sara
Sababu:Anaonea fahari maisha ya watoto wake wanavyojiendeshea mambo yao licha ya kusemwa hapo awali.
b)Kwa hoja tano ,eleza sifa za msemaji wa maneno haya . (alama 5)
i)mvumilivu-sara anavumilia mateso na kipigo cha mumewe
ii)mwenye Hekima –maneno anayoyazungumza yana wingi wa hekima na busara.
iii)Mwenye mapenzi-anampenda mumewe na watoto wake
iv)Mwenye msimamo thabiti –Hata baada ya kusutwa na kukejeliwa na wanajamii hayumbishwi na maneno yao.
v)Mtamaduni-anasema fimbo hurithiwa na mtoto wa kiume
vii)Mwenye uhusiano mwema –Sara alikuwa na uhusiano mwema na Dina ndiposa anaenda kumsidia kupika.
vii)Mshauri-Anawashuri wanawe kuheshimu ndoa mila na baba yao.
viii)Mwenye shukrani- Anamshukuru Asna kwa kumpa uji.
ix)Mwenye heshima –Anamheshimu mumewe kwani ndiye moto wa kifuu.
5×1
c)Tambua mbinu moja ya lugha iliyotumika katika dondoo hili.(alama 1)
Tafsida –nikiitwa nitaondoka
i)Ndoa ya Sara na Yona imejaa furaha mwanzoni wanapooana.Maisha yao yaonekana yenye mafanikio na furaha.
ii)Ndoa hii inaingia dosari baada ya kukaa muda mrefu bila kupata watoto.
iii)Hatimaye wanabarikiwa na watoto watatu wa kike hali inayoleta furaha kwa muda.
iv)Wanajamii wanawacheka, kuwakejeli na kuwasuta kwa kutojaliwa mtoto wa kiume.
v)Kutokana na kusutwa huku,Yona anaingilia ulevi hali inayomfanya kumchapa mkewe Sara na pia kuidharau familia yake.
Vi)Ulevi wake Yona unamfanya kutelekeza majukumu yake kama mwalimu na kuishia kufutwa kazi
vii)Kichapo alichopewa Sara na Yona kinamsababishia ugonjwa wa moyo hali inayomfanya kukosa matumaini ya kuishi na kutamani kufa.
viii)Kabla kuingilia ulevi, Yona alikuwa mwalimu hodari ,watoto aliowafunza walipita sana naye akapata zawadi mzomzo kutoka kwa wazazi na serikali.
ix)Neema anasoma hadi chuo kikuu na kufuzu vyema ,anafanikiwa na kupata kazi.
x)Neema anawajengea nyumba ,anawaajiria wazazi wake wafanyikazi wa kuwasaidia nyumbani na kuwanunulia jiko la gesi hali inayowapa furaha nyingi.
xi)kuna hali ya kutoelewana kati ya Bunju na Neema kutokana na masomo yake Lemi kwani kulingana na Bunju amerudi nyuma.
xii)Bunju na Neema wanakosa kuelewana kutokana na mila ambazo kulingana na Neema zimepitwa na wakati .-mama mkwe kutolala kwa Bunju.
iii)Neema kulazwa hospitalini kwa muda wa mwezi mzima bila fahamu kutokana na ajali mbaya.
iv)Bunju anakasirishwa na Neema kwa kutoshirikishwa kuhusu mpango wa kumpeleka Sara nyumbani baada ya kupata nafuu
(a)Tambuatonimbilikatika kifunguhiki(alama2)
(b)Tambuaainamojaya taswirakatikadondoohili (alama2)
Taswiramnuso~hewailiyojaaharufuyadawaimezagaa
(c)Kandonataswirachambuavipengelevingine vyamtindo:(alama6)
(d) Fafanuanamnamandhari yadondoohiliyalivyochangiakujenga Tamthilia BembeayaMaisha(alama10)
SEHEMU D: USHAIRI.
Jibu swali la 6 au la 7
(a)Tambua hadhira inayolengwa katika shairi hili. (alama 1)
i)Wafanyikazi wa umma
ii)Maskini na matajiri
iii)Wadogo na wenye vyeo
1X1
b)Huku ukitoa mfano,onyesha mbinu tatu ambazo mshairi ametumia kutosheleza uhuru wake. (alama 3)
i)tabdila – kutotowa/kutotoa
ii)inksari –ndo/ndio
iii)kuboronga sarufi/kufinyanga lugha-kujitegemea bora/bora kujitegemea
3X1
c)Bainisha aina tatu za urudiaji zinazojitokeza katika utungo huu. (alama 3)
i)urudiaji wa neno/anafora-ushuru,taifa,bilashi,nk
ii)urudiaji wa silabi-vina mf zo,ma
iii)urudiaji wa sauti-o,a
iv)urudiaji wa mshororo mf kibwagizo
3×1
d)Eleza muundo wa ubeti wa sita. (alama 4)
i)una vipande viwili katika kila mshororo –ukwapi na utao
ii)una mishororo minne
iii)ubeti una kituo/kiishio
iv)vina vya kati ni nge na vya mwisho ni zo isipokuwa kwenye kituo
v)mizani ni kumi na sita katika kila mshororo
4×1
e)Andika ubeti wa nne katika lugha ya nathari/Tutumbi (alama4)
si vizuri kuomba misaada ya kigeni kila wakati.
Hivyo ni sawa na kuwa mateka
Ni vyema kujitegemea kwa shida zetu
Taifa haliwezi kuimarika bila ushuru
f)Kwa kutolea mfano,taja mbinu tatu za kimtindo zilizotumika katika shairi hili. (alama 3)
i)maswali ya balagha- vipi wangalihudumu
ii)jazanda/sitiari-twajifunga Kamba/kiguru
iii)tashbihi –ni kama kiguru
iv)takriri-bilashi,ushuru
3×1
g)Weka shairi hili katika bahari yake ukirejelea : (alama 2)
i)Vipande-Mathnawi
ii)Vina- ukaraguni
2X1
(a)
(i) Haizingati idadi kwa mistari/mishororo katika kila ubeti.
(ii) Idadi ya vipande hailingani katika mstari.
(iii) Halizingatii mpangilio maalum wa vina.
(iv) Halizingatii ulinganifu wa mizani katika kila mstari.
(v) Idadi ya vipande vya mishororo ni sawa.
(vi) Halizingatii ukamilifu wa mishororo
(b) Utamaushi
(i) Mwalimu hathaminiwi – anaitwa bure/duni
(ii) Mwalimu analewa na kupepesuka barabarani.
(iii) Watoto kumcheka mwalimu wao apitapo.
(iv) Viatu vya mwalimu kuisha visigino
(v) Sidiria ya mwalimu ni chakavu.
(vi) Mwlaimu hawezi kumudu bei hya marashi baada ya kustaafu.
(vii) Mwalimu atakufa na kuzikwa bila kusherekewa.
(viii) Hata mlevi anamdharau mwalimu
(ix) Mshahara duni.
(Zozote 4 x 1 = 4)
(c) Jinsi mwalimu anapaswa kulaumiwa
(i) Yeye ndiye anatunga wimbo wa kuwasifu viongozi wasiotaka kubadilisha taaluma yake.
(ii) Yeye ni mwoga – Anajikunja kama jongoo.
(iii) Walimu hawana umoja.
(d) Nafsineni-Mwalimu
Toni-utamaushi(kutaja al.1, mfano-al.1)
(e) Usambamba-Utafundisha tena
Sikilizeni
Jazanda –Bure, chacha,Mkia wa mbuzi
SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI
8.
Bembelezi / bembea / pembejezi
Unawaliwaza na kuwabembeleza watoto walale auwanyamazewanapolia.
Kijamii – ndoa – kunioza dume kongwe
Kiuchumi–ufugaji ;languruma kama gombe
MOCKS 1 2023
SWALI LA KWANZA
Visa vya utovu wa nidhamu vyaweza kuwa kuchelewa,kutohudhuria shule,kupigana,ulevi,kutozingatia kanuni za shule na kadhalika.
Mtahiniwa adhihirishe majadiliano na uamuzi ulioafikiwa na viranja kuhusu vyanzo vya utovu wa nidhamu shuleni na Suluhisho lake. Baadhi ya hoja zitakazo jitokeza ni hizi:
SWALI LA PILI
Hii ni insha ya mjadala ambapo lazima pawe na mtazamo wa pande mbili za swali ,yani faida na hasara
FAIDA
HASARA
Tanbihi
Mtahiniwa aweza:
SWALI LA TATU
Hii ni insha ya methali ambapo mtahiniwa lazima abuni kisa cha kudhihirisha ukweli wa methali aliyopewa.
MAANA
Mpiga ngumi- Mtu yeyote anayepinga/ anayeshindana/ anayemkosea adabu mtu mwingine anayemzidi kimadaraka,kiumri,kimaumbile n.k.
Kuumiza mkonowe ni kupata madhara/kutofaulu/kudhurika.
Anayepiga ngumi ukuta atajiumiza kwani atashibuka ngozi yake.
MATUMIZI
Anayeshindana na anayemzidi kiuuwezo atajiumiza yeye mwenyewe
Kisa kinaweza kuafiki hali zifuatazo:
TANBIHI
SWALI LA NNE
Hii ni insha ya mdokezo ambapo lazima mtahiniwa akamilishe kwa kifungu cha meneno aliyopewa.
Kisa chaweza kuafiki hali zifuatazo
TANBIHI
MWONGOZO WA KUDUMU
UTANGULIZI.
Karatasi hii imedhamiria kutathmini uwezo wa mtahiniwa wa kuwasiliana na msomaji na kuwasilisha ujumbe kimaandishi,akizingatia mada aliyopewa. Mawasiliano haya yatategemea ukwasi wa lugha ya mtahiniwa, kwa mfano, kutunga sentensi sahihi zenye mtiririko mzuri kimawazo, lugha ya kuvutia na yenye mawazo asilia, ubunifu mwingi na hati nadhifu. Kwa kutegemea maagizo ya swali lenyewe na umahiri wa lugha, ni lazima kutilia mkazo mtindo, mada na uwezo wa mtahiniwa kufuata maagizo vilivyo. Mtahini lazima aisome insha yote huku akizingatia sarufi, hijai, hoja, msamiati na mtindo ili aweze kuikadiria kwa kurejelea viwango mbalimbali vilivyopendekezwa. Viwango vyenyewe ni A, B, C na D kutegemea uwezo wa mtahiniwa.
VIWANGO VYA KUTATHMINIA
Vielekezi hivi ndivyo vitakavyo mwezesha mtahini kumweka mtahiniwa katika viwango mbalimbali vya kiutendaji.
KIWANGO CHA D KWA JUMLA MAKI 01-05.
iii) Lugha imevurugika, uakifishaji haufai na insha ina makosa ya kila aina.
NGAZI MBALIMBALI ZA KIWANGO CHA D.
D- (D YA CHINI) MAKI 01-02.
iii) Kuandika kwa lugha isiyo Kiswahili au kuchanganya ndimi.
D WASTANI MAKI 03.
iii) Matumizi ya lugha ni hafifu mno.
iv)Kuna makosa mengi ya kila aina.
D+ (D YA JUU) MAKI 04-05.
iii) Mtahiniwa hana uhakika wa matumizi ya lugha / anajaribu kutumia lugha ila hana hakika na matumizi ya vipengele vya lugha anavyoteua.
KIWANGO CHA C KWA JUMLA MAKI 06-10.
iii) Mtahiniwa anaakifisha sentensi vibaya.
Ngazi mbalimbali za kiwango cha C
C- (C YA CHINI) MAKI 06-07.
iii) Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi, ya hijai na ya msamiati na insha yake haieleweki kwa urahisi.
C WASTANI MAKI 08.
iii) Mtiririko wa mawazo ni hafifu na hana ufundi wa lugha unaofaa.
C+ (C YA JUU) MAKI 09-10.
iii) Kuna mtiririko wa mawazo japo hana ufundi wa lugha unaofaa.
KIWANGO CHA B KWA JUMLA MAKI 11-15
iii) Mtahiniwa ana uwezo wa kutumia lugha kwa ufasaha.
Ngazi mbalimbali za kiwango cha B.
B- (B YA CHINI) MAKI 11-12
iii) Mtahiniwa anatumia mifano michache ya msamiati unaovutia.
B WASTANI MAKI 13
iii) Mtahiniwa anateua na kutumia mifano michache ya msamiati mwafaka.
B+ (B YA JUU) MAKI 14-15
iii) Mtahiniwa ana mchanganyiko mzuri wa msamiati unaovutia.
KIWANGO CHA A KWA JUMLA MAKI 16-20
iii) Ana uwezo wa kutumia tamathali za usemi ili kutoa hisia zake kwa njia bora na kwa urahisi.
Ngazi mbalimbali za kiwango cha A
A Wastani Maki 18
A+ (A ya juu) – Maki 19-20
Muhtasari wa Viwango mbalimbali.
| Kiwango | Ngazi | Alama |
| A | A+ A A- | 19-20 18 16-17 |
| B | B+ B B- | 14-15 13 11-12 |
| C | C+ C C- | 09-10 08 06-07 |
| D | D+ D D- | 04-05 03 01-02 |
USAHIHISHAJI NA UTUNZAJI KWA JUMLA.
Ili kuikadiria insha ya mtahniwa vyema bila kuongozwa na mtazamo-nafsi, mtahini sharti aisome insha yote akizingatia vipengee muhimu. Vipengee hivi ni maudhui, msamiati, mtindo, sarufi na hijai.
MAUDHUI.
MSAMIATI.
Msamiati ni jumla ya maneno yatumiwayo katika lugha husika. Mtahiniwa anatarajiwa kutumia msamiati unaooana na mada teule. Kutegea ukwasi wa lugha alionao, mtahiniwa anatarajiwa kuikuza mada kwa kuifinyanga lugha kiufundi. Ni muhimu kuelewa kwamba kutokana na maendeleo na ukuaji wa teknolojia na mawasiliano, maneno mapya yanaibuka kila uchao.
MTINDO.
Mtindo unahusu mambo kama vile:
MUUNDO
SARUFI.
Sarufi ndio msingi wa lugha. Ufanisi wa mawasiliano hutegemea uwezo wa mtahiniwa wa kutunga sentensi sahihi zenye uwiano wa kisarufi. Mtahini ataonyesha makosa yote ya sarufi yaliyo katika insha anayosahihisha. Makosa ya sarufi huweza kutokea katika:
Matumizi yafuatayo ya herufi kubwa yazingatiwe:
iii. Mashirika, masomo, vitabu n.k
MAKOSA YA HIJAI/TAHAJIA.
Haya ni makosa ya maendelezo. Mtahini anashauriwa asahihishe huku akiyaonyesha yanapotokea kwa mara ya kwanza tu. Makosa ya tahajia huweza kutokea katika:
Alama za kusahihishia
==== Hupigwa chini ya sehemu ambapo kosa la sarufi limetokea kwa mara ya kwanza tu.
_______ Hupigwa chini ya sehemu au neon ambapo kosa la hijai limetokea kwa mara ya kwanza tu.
˄ Hutumiwa kuonyesha kuachwa kwa neno \ maneno.
× Hutumiwa kuonyesha msamiati usiofaa. Alama hii hutiwa juu ya neno lenyewe.
Maelezo mafupi yanahitajika kuhusu tuzo lililotolewa. Kila ukurasa uwe na alama ya √ chini katikati ili kuthibitisha kuwa mtahini ameupitia ukurasa huo
UKADIRIAJI WA UREFU WA INSHA.
Kufikia maneno 174 Insha robo
Maneno 175- 274 Insha nusu
Maneno 275 -374 Insha robo tatu
Maneno 375 na kuendelea Insha kamili
Mapendekezo kuhusu usahihishaji wa swali la kwanza.
Hili ni swali la lazima kwa kila mtahiniwa. Swali hili kwa kawaida ni la kiuamilifu. Ni muhimu mtahiniwa azingatie mahitaji / masharti ya uandishi wa utungo wa kiuamilifu ambao amepewa. Kwa mfano, ikiwa ni hotuba, vipengele vya kimuundo na kimtindo vya hotuba vizingatiwe. Hata hivyo ni muhimu ikumbukwe kwamba sura au muundo wa utungo wowote ule ni kiwasilishio tu cha masuala lengwa. Kwa hivyo ni muhimu mtahiniwa azingatie maudhui/ yaliyomo. Haitoshi kuufahamu muundo wa utungo. Maudhui hasa ndicho kiunzi cha utungo. Pamoja na maudhui na muundo vipengele vingine vya kimawasiliano kama vile uteuzi wa msamiati, mtiririrko na mshikamano wa mawazo sharti vizingatiwe.
102/2
KISWAHILI LUGHA
KIDATO CHA NNE
MOCKS 1 2023
MUHULA WA PILI, 2023
MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA
(SIRI)
Swali la Kwanza: Ufahamu (alama 15)
(3 x 1= 3)
iii) Maafisa wa dawa waliuza/waliiba dawa za serikali na kuwauzia wagonjwa.
(5 x 1= 5)
(2 x 1= 2)
sandarusi
(1 x 1= 1)
malaria
(1 x 1= 1)
(3 x 1= 3)
Swali la Pili: Ufupisho (alama 15)
iii) Maisha ya binadamu hutegemea kilimo.
vii) Dharura ya kuwa na utaratibu tegemevu ikatokana na kuongezeka kwa idadi ya watu.
viii) Harakati za kusaka chakula zikashadidi kote.
(hoja 8 x 1 = 8)
iii) Katika baadhi ya sehemu, uzalishaji ulizuiwa na hali ngumu ya hewa.
vii) Hatua hii iliimarisha na kuendeleza kilimo kwa manufaa ya binadamu.
(hoja 6 x 1 = 6)
Ut – 1
Jumla – 15
Swali la Tatu: Matumizi ya Lugha (alama 40)
/ng’/ – kaakaa laini, /t/ – ufizi/ masine
(2 x ½ = 1)
(4 x ½ = 2)
(2 x 1 = 2)
(2 x 1 = 2)
iii. Kuchoka kwingineko kutanilemea.
(3 x 1 = 3)
Mgogoro huo ulimalizika leo kwa mapatano
S- KN(N+V) + KT(T+E+H+N)
(2×1 = 2)
i – ngeli/idadi/wingi/yambwa
-u – mzizi
– e – kiishio/ uamrishaji
Kipakatalishi cha Wangila kina kasi kubwa.
kawaida pekee dhahania
(3 x 1 = 3)
“Umeanza kusoma Tamthilia ya ‘Kigogo’?” Kigogo alimuuliza Kangogo.
(Herufi kubwa – 1, alama usemi – 1 na nukuu za kitabu na kiulizi – 1)
(1 x 1 = 1)
Tusipoanza safari yetu asubuhi hatutachelewa kikaoni.
(1 x 1 = 1)
Wananchi wachache walihudhuria mkutano nje ya uga wa Kitaifa.
(2 x 1 = 2)
(4 x ½ = 2)
(4 x ½ = 2)
Wale wengine wanatembea haraka.
(2 x 1 = 2)
Shairi litaimbika.
(2 x ½ = 1)
kumi na mbili – thenashara
(4 x ½ = 2)
Alizima moto baada ya kula sima.
(2 x 1 = 2)
Papo kwa papo kamba hukata jiwe.
(1 x 1 = 1)
maana – anza shughuli fulani kv kazi au safari
mfano: Tuling’oa nanga alfajiri kwenda kumwona mjomba.
(1 x 1 = 1)
Unapotaka kupishwa hutumia neno simile/sumile/hebedari/hela/heria/hebu na alamsiki ni tamko la kuagana mnapoachana na mtu usiku kama ambavyo samahani/kunradhi/kumradhi hutumiwa unapomwomba mtu msamaha kwa kumkosea.
(3 x 1 = 3)
iii) Kuwepo kwa takriri- Hatari! Hatari! Mariga! Mariga! Mariga!
vii) Kuwepo kwa jazanda – Ngoma inatoka nje.
viii) Tashihisi itatumiwa – Mpira unaenda nje.
xii) Maswali balagha – Hata kama ni wewe ungezuia bao hilo?
xiii) Matumizi ya misimu –
(Sifa 10 na mifano ambatani x 1 = 10)
HUU NDIO UKURASA WA MWISHO ULIOPIGWA CHAPA.
Get the latest Mwalimu National Sacco BOSA Loans Application Form {Free Download}, here. PDF Latest…
Here is the revised and latest Mwalimu National Sacco FOSA Salary Advance Application Form {Free…
Here is the latest Mwalimu National Sacco FOSA Instant Loan Application Form {Free Download}. Download…
The landscape of digital gambling has shifted toward high-octane mechanics that prioritize volatility and massive…
The Teachers Service Commission (TSC) has advertised 170 job vacancies across, covering senior, mid‑level, and…
Health Cabinet Secretary Aden Duale has ordered immediate changes to the Social Health Authority (SHA)…