Educationnewshub.co.ke

Cheti cha KuhitimuKisomo cha Sekondari

MTIHANI WA MUHULA WA PILI202

 

 

MOCKS 1 202

 

102/3                    Kiswahili – Fasihi    Karatasiya 3

KIDATO CHA NNE          JULAI/AGOSTI, 202         Muda: Saa 2½

 

Jina: ………………………………………….………………      Nambari: ………………

Mkondo: ………………SahihiyaMtahiniwa: ………..……..Tarehe ……………………

Maagizo

  • Andikajinalako, nambariyausajili, mkondo, sahihinatarehekatikanafasiulizoachiwahapojuu.
  • Swali la kwanza ni la lazima.
  • MaswalihayomenginematatuyachaguliwekutokasehemunnezilizobakiRiwaya, Ushairi, TamthilianaFasihiSimulizi.
  • Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja.
  • Karatasi hii ina kurasa 6. Watahiniwa ni lazima wahakikishe kwamba kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na kuwa maswali yote yamo.
  • Maswali yote ni sharti yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.

Kwamatumiziyamtahinipekee

Download more free unlimited Kiswahili resources here: Educationnewshub.co.ke

KISWAHILI USHAIRI NOTES WITH EXAMPLES AND GUIDES

Kiswahili Fasihi, English Literature Notes, Guides, Revision Questions (Kigogo, Chozi La Heri, Blossoms, Tumbo, A Doll’s House, Inheritance)

Free Kiswahili Fasihi notes, Ushairi notes, isimu Jamii notes and Many More: Mwongozo wa kigogo, Kidagaa, Tumbo lisiloshiba, Chozi..

Bembea Ya Maisha Mwongozo Free Kiswahili Notes For Secondary Schools Free Downloads

KISWAHILI NOTES- REVISION KIT

Kigogo Kiswahili setbook free Guides, KCSE Questions and Answers Downloads

Free Kiswahili notes, revision questions, KCSE past Papers, Exams, Marking Schemes, Topical revision materials, Syllabus and Many more

Kiswahili free lesson plans for all topics (Form one to four)

KISWAHILI LUGHA NOTES FORM 1, 2, 3 & 4

Kiswahili Topic By Topic Questions And Answers PAPER 1-3 (All Topics)

KCSE Set Books Revision Questions and Answers (English and Kiswahili)

Free Kiswahili Notes, Exams, Schemes of Work, Lesson plans and other revision materials
Free Kiswahili Notes, Exams, Schemes of Work, Lesson plans and other revision materials
         SWALI UPEO             ALAMA
1 20  
  20  
  20  
  20  
JUMLA 80  

 

 

SEHEMU A: HADITHI FUPI(LAZIMA)

D.W. Lutomia na PhibbianMuthama : Mapambazuko Ya Machweo Na HadithiNyingine     

  1. Lazima

 

  • (alama 8)
  • Suala la kazinabidilimeangaziwakwa kina kwenyediwaniyamapambazukoyamachweo. Teteaukweliwakaulihiikwakurejeleahadithizifuatazo:
    1. Fadhilazapunda
    2. Mapambazukoyamachweo
  • Sabina (alama 12)

 

SEHEMU B: RIWAYA

A.Matei: Chozi la Heri.

Jibu swali la 2 au la 3

 

  1. Naona wingu kubwa angani likitembea kwa kedi na madaha na kulifunika jua…Mawingu yaliyoshiba yakataka kutapika yanagooka, yanakaribiana, kupigana busu na kusababisha mwanguko wa matone mazito ya mvua; matone yanayoanguka kwenye ngozi laini zą wanangu wakembe… ubavuni mwangu amelala maskini mke wangu… Sijui kama inahalisi kumwita mke wangu…. Siye, siye, siye-e-e-e. Tazama uso wake ulivyovamiwa na majeraha kikwi… Amevimba na kuvimbiana kama dongo la unga ngano baada ya kutiwa hamira. Lakiniyeyehana la hamira!
  2. a) Elezamuktadhawadondoohili. (alama 4)
  3. b) Jadiliainannezataswirakatikadondoohili (alama 4)

c)Bainishavipengelevinginevinnevyakimtindokatikadondoohili                                 (alama 4)

  1. d) Bainishatoniyadondoohili. (alama 2)
  2. e) Fafanua umuhimu wa mandhari katika dondoo hili (alama 6)

 

3.“Alijiona kama mfa maji ambaye anakabiliwa na mtutumo wa mawimbi  ya misiba ,mmoja baada ya mwingine.”

a)Elezamuktadhawadondoohili.                                                                                     (alama 4)

b)Ukimrejeleamsemewawamanenohayanawahusikawenginekutokakwenyeriwaya,onyeshajinsiwalivyokumbwanamawimbiyamisiba.                                                                            (alama 16)

 

SEHEMU C: TAMTHILIA

Timothy Arege: BembeaYaMaisha

Jibuswali la 4 au la 5

 

 

  1. “Hatanikiitwanitaondokanikiwanimeridhika.”

a)Elezamuktadhawadondoohili .                                       (alama 4)

b)Kwahojatano, elezasifazamsemajiwamanenohaya .    (alama 5)

c)Tambuambinumojayalughailiyotumikakatikadondoohili. (alama 1)

  1. d) Wahusikambalimbalikwenyetamthiliawamekubwanamajonzinafuraha. Thibitisha.(alama 10)

 

 

  1. “…Tayariunakuwaumeonjaseli.Hatawahudumuwenyewehawanamlahakamwema .amrinavitishokamaaskari.Unashindwakamauuguzemoyoamaugonjwa.Katikawodihewailiyojaaaharufuyadawaimezagaa,vitandavimesalimuamrimpakashitizikagura.Yaanihalinzimahaikupimatumainiyakutokaukiwabora.matumainiyanadidimia .Tumainilakounaliwekakatikasala. ”

 

(a) Tambua toni mbili katika kifungu hiki                                                                  (alama 2)

(b) Tambua aina mbiliza taswira katika dondoo hili                                                   (alama 2)

(c)Kandonataswirachambuavipengelevinginevyakimtindo                                     (alama 6)

(d) FafanuanamnamandhariyadondoohiliyalivyochangiakujengatamthiliayaBembeayaMaisha.

(alama 10)

SEHEMU D: USHAIRI.

Jibu swali la 6 au la 7

  1. Soma shairilifuatalokishaujibumaswali

Taifa ni Ushuru

Lau kama ingakuwa, madhali tuna uhuru

Watu kodi kutotowa, na kuifanya kufuru

Vipi nchi ingakuwa, taifa bila ndururu

Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru

 

Hivi taifa kumea , nakuendelea mbele

Kwamba lajitegemea, haliwategei wale

Yataka kujitolea, ushuru bila kelele

Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru

 

Wafanyikazi wa umma, mfano mwema walimu

Wauguzi mahashuma, daktari wahadimu

Bila hizi darahima, vipi wangalihudumu?

Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru

 

Si vyema kuombaomba, kwa wageni kila mara

Huwa twajifunga Kamba, na kujitia izara

Adha zinapotukumba, kujitegemea bora

Taifa halingakuwa,bilashi bila ushuru

 

 

 

 

Miradi ya maendeleo, yahitaji darahima

Ndo tufikie upeo, ulio dunia nzima

Wadogo na wenye vyeo, bila kodi tutakwama

Taifa halingakuwa, bilashi bila ushuru

 

Ushuru si kwa wanyonge, wasokuwa na uwezo

Watozwehatawabunge, nawenginewenyenazo

Yeyoteasijitenge, kodiakalipabezo

Taifahalingakuwa, bilashibilaushuru

 

Kwetukutoaushuru,ndikokujitegemea

Pasiweponaudhuru, usiowakuelea

Huwa ni kama kiguru, asenao kutembea

Taifa  halingakuwa, bilashi bila ushuru

Maswali

(a)Tambuahadhirainayolengwakatikashairihili.                                                                      (alama 1)

b)Hukuukitoamfano,onyeshambinutatuambazomshairiametumiakutoshelezauhuru wake. (alama 3)

c)Bainishaainatatuzaurudiajizinazojitokezakatikautungohuu.                                               (alama 3)

d)Elezamuundowaubetiwasita.                                                                                             (alama 4)

e)Andikaubetiwannekatikalughayanathari/tutumbi                                                               (alama 4)

f)Kwa kutolea mfano,taja mbinu tatu za kimtindo zilizotumika katika shairi hili.                           (alama 3)

g)Weka shairi hili katika bahari yake ukirejelea :                                                                          (alama 2)

i)Vipande

ii)Vina

 

  1. Soma shairilifuatalokishaujibumaswali

 

Sikilizeniwimbohuu:

NiliokuwamtotonilitwachachaKwamatamshiyanguyasasa

NilipokuwamtumzimaniliitwaManyweleNilipokuwamwalimunikaitwaBure.

 

HuuutakuwawimbowakoUtakapostaafuurudiponyumbaniUmelewakangarananyayozako

Zikishindwakulenganjianyembambavijijini. Utakuwakichekesho cha watotoWatakaoukuita, Ticha! Popoteupitapo.

 

Kumbukamwalimuutakapostaafu, MijusiwatatagamayaindaniyaviatuVyakovilivyokwishavisiginino.

Na ndaniyasidiriachakavuZilizoshikizwaKambakwapini

 

MendewatazalianandaniyachupatupuZamarashinazabia.

 

 

Na manyiguyatajengandaniyakofiaZilizosahaulikakutani

UtakapokufangewatazalianaChiniyajiwejuuyakaburilako, Na mlevifulaniakipitaatapenga

Na kupangusavidolekwenyejiwepweke

Mwanzonamwishowakondiohuo.

 

 

 

Lakiniwakatiungalihai

UnawezakubadilishamkondowamajiLakini kwanza mzungumze. Wewenamimi. Achamioyoyoteizungumzwe

Baadayakunyanyaswa Na kishanusumshahara.

 

Utafundishatenanyimbokuwasifuviongozi? Utafundishatenangonjera?

UtapelekatenawanafunziasubuhiWakajipangebarabaranikusubiriMgeniafikayesaakuminaapitapo

Apungatumkonokuwatiakichaa cha shangwe

Na hukunyumamwasambaananjaa?

TazamahilorundamadaftarimezaniUtalimalizakwamshaharamkiawambuzi? Tuzungumze. Ninyinamimi.

Achamioyoyetuizungumze

MkiwawaoganakujikunjakamajongooMtawekwakwenyevijitinakutupwaNjeyaua, ndanimtawaacha

Wachezangomawakitunganyimbompya

 

Sikilizeniwalimu,

Anzenikufundishahesabumpya

Mjingammojakujumlishanaweziishirini Ni sawanasifuri. HapanautawalaFundishenihistoriahistoriampya

Hapo zamani za sasa Hapakuwa na serikali.

 

Sikilizeni kwa makini Umoja hatuna

Twasambaratika kama nyumba Tulicho nacho ni woga,

Na kinachotuangusha ni unafiki. Lakini tusikate tamaa kama mbuni. Tukiupataumojabadotunayosilaha. Kura.

 

Maswali

  • (al.5)
  • Elezajinsimaudhuiyautamaushiyanavyojitokezaukimrejeleanafsi-nenewa. (al.4)
  • Nafsi-nenewaanapaswakujilaumukwamasaibuyake. Thibitisha. (al.2)
  • (i)Bainishanafsi-nenikatikashairihili.(al.1)
  • Toamfano.(al.2)
  • (al.4)
  • Elezamaanayakufungukifuatacho:

Mjingammojakujumlishanaweziishirininisawanasufuri.                         (al.2)

 

 

 

 

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI

 

  1. Soma utungoufuataokishaujibumaswali

 

 

1Angoleangolemwanangu

 

Mwanangunakuchombeza

 

Nakuchombezaulale

 

Ulaleukiamka

 

Nikupikieubwabwa

 

Na mchuziwa papa

 

Ukiliawaniliza, wanikumbusha

 

Ukiwawa baba na mama

 

 

 

 

 

2Baba na mama watende

 

Ilimu kunikatizia

 

Ng’ombe, mbuzi kupokea

 

Kunioza dumu kongwe

 

Haliuki na halende

 

Kazi kupiga matonge

 

 

3Likingiamvunguni

 

Lavunjavunjavikombe

 

Likilalakitandani

 

Langurumakamagombe

 

 

 

  1. a) Bainishakipera cha utungohuu. Thibitisha. (alama 2)
  2. b) (alama 5)
  3. c) Tambuamb nu zakifaniambazozimetumiwakuwasilishautungohuu. (alama 3)
  4. d) (alama 2)
  5. e) Unakusudiakukusanya data kuhusukiperahiki. Elezamanufaamanneyakutumiamahojiano.(alama 4)
  6. f) Fafanuanjianneambazojamiiyakisasainawezakutumiakukuzanakuendelezakiperahiki. (alama 4)

 

 

JINA………………………………………………………………..NAMBARI YA MTAHINIWA……………

TAREHE…………………………………………. SAHIHI………………………………………

102/1

KISWAHILI

KARATASI YA KWANZA

INSHA

JULAI 2023

MUDA: SAA 1 ¾

 

 

 

 

MOCKS 1 2023

MAAGIZO

  1. Tia sahihiyakokishauandiketareheyamtihanikatikanafasiulizoachiwahapojuu.
  2. Andikainshambili. Inshaya kwanza niya
  3. Kilainshaisipunguemaneno400.
  4. Kilainshainaalama
  5. Kilainshalazimaiandikwekwalughaya
  6. Inshazoteshartiziandikwekatikanafasiulizoachiwakatikakijitabuhiki cha maswali.
  7. Karatasihiiinakurasa 12 zilizopigwachapa.

 

Kwamatumiziyamtahinipekee

 

Swali Upeo Alama
1 20
2 20
Jumla 40

 

 

 

 

  1. Lazima

Kumekuwana visa vingivyautovuwanidhamushulenimwenu. Ukiwakatibuwaviranja, andikakumbukumbuzamkutanouliojadilivyanzovyautovuhuonasuluhisho lake.

  1. Jadili.
  2. 3. Andikainshaitakayodhihirishamaanayamethaliifuatayo:

Mpigangumiukutahuumizamkonowe.

4.Tungakisakitakachomaliziamanenoyafuatayo:

…nikamtazama Marina hukumachoziyakinitiririkanjiambilimbilikutokananamajutoyaliyonijaa.

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

………………………………………………………………………………………………………

 

……………………………………………………………………………………………………….

 

………………………………………………………………………………………………………

 

MOCKS 1 2023

102/2    –   KISWAHILI  -Karatasi   ya 2

    LUGHA

JULAI-2021- Muda:  – Saa 2

 

Jina ………………………………………………………NambariYako.………………………..

 

Sahihiya Mtahiniwa………………………………………Tarehe………………………………..

 

Maagizo

 

  1. a) Andika jina na nambari yako ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.
  2. b) Tia sahihi yako kisha uandike tarehe ya mtihani katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.
  3. c) Jibu maswali yote.
  4. d) Majibu yote yaandikwe katika nafasi ulizoachiwa katika kijitabu hiki cha maswali.
  5. e) Majibu yote lazima yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.
  6. f) Usitoe ukurasa wowote kutoka kwenye kijitabu hiki.

g)Karatasi hii ina kurasa 11 zilizopigwa chapa.

  1. h) Watahiniwa ni lazima wahakikishe kwamba kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na kuwa maswali yote yamo.

________________________________________

Kwa Matumizi ya Mtahini Pekee

 

Swali

 

Upeo Alama
 

1

 

15

 
 

2

 

15

 
 

3

 

40

 
 

4

 

10

 
 

Jumla

 

80

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

  1. Ufahamu (Alama 15)

 

Soma makala haya kwa uangalifu kisha ujibu maswali yanayofuata.

Asubuhi hiyo kabla ya mrauko wa watu wengi kama ilivyokuwa ada ya wanakijiji cha Kaulizeni, Kabibi alimrausha mumewe Mzee Mori kwa lengo la kumpeleka kwenye zahanati ya pale pao – heko kwa mfumo mpya wa kiutawala uliotokana na kuanza kutekelezwa kwa katiba iliyoasisi ugatuzi na hapo kuwezesha taasisi zitoazo huduma nyingi muhimu kuletwa karibu na wananchi. Miaka michache iliyopita, wangehitajika kutumia zaidi ya saa nne kufikia kituo cha matibabu kilichokuwa karibu nao.Aidha, wangetakiwa kutumia matwana ambayo haikuwa rahisi kukodeshwa kutoka kwa mwenyewe kwa sababu ya zile barabara zilizoogopa kusakafiwa kutokana na utepetevu wa viongozi wao katika siku zilizotangulia. Chepkwony hakupenda kutesa gari lake kwa kuliruhusu kupitia barabara hizo ambazo ubovu wake ulitia fora. Magenge yaliyosongamana barabarani na mawe yaliyosimama wima ni kama yanapiga saluti yalikuwa tayari kuhujumu vigari vya wachochole kama yeye. Licha ya hofu hii, mara mojamoja alijitolea na kuwanusuru wanakijiji waliochungulia kaburi na akina wajawazito ambao siku zao zilikuwa zimetimia. Aghalabu, ubovu wa barabara hizi ulihakikisha kwamba wengi wao walitua mizigo yao kabla ya kuwasili katika Zahanati ya Nusura.

Leo hii, imewachukua dakika ishirini hivi, mwendo wa miguu na lau wangepata pikipiki, au ‘nduthi’ kama vijana wanavyoziita kwa kilugha legevu chao, ingewachukua chini ya dakika tatu kukamilisha safari hii. Mambo yametengenea kwelikweli. Ule mgao wa serikali ya kaunti kutoka kwa hazina kuu ya serikali ya kitaifa ulitumiwa kwa uwajibikaji mkubwa na gavana wao kwa ushirikiano na mwakilishi wa kata hiyo kwenye bunge la kaunti. Na hii sio natija ya pekee iliyopatikana kutokana na mabadiliko haya ya kisiasa. Kabla siku ya leo, ilimbidi mkazi yeyote wa Kijiji cha Kaulizeni ajiandae vyema kabla ya kuenda zahanatini kwa matibabu kwa chamcha kilicholiwa asubuhi au kupakiwa kwenye mifuko ya sandarusi kabla ya kupigwa marufuku na shirika linalodhibiti ubora wa mazingira maarufu kama NEMA, ili kiliwe huko ukisubiri kuhudumiwa. Ama kweli milolongo iliyopangwa kuingia katika kila sehemu hapo zahanatini ilikuwa mirefu: si pa usajili, si pa uchunguzi wa daktari, si pa malipo, si maabarani, si pa dawa na hata msalani foleni ilikuwapo si hoja kwamba uchafu uliokuwepo ulitosha kumfanya mja apoteze haja ya kuzuru huko ghafla.

Ilisemekana kwamba wafanyakazi wa hapo zahanatini ndio walisababisha chelewesho hili na kufanya foleni kurefuka katika kila idara. Mathalani, madaktari walisemekana kuingia kazini saa nne hivi baada ya kupitia kliniki zao za kibinafsi na kuondoka kabla ya saa tisa. Maafisa wa usajili nao walificha majalada maksudi ili kubembeleza kadhongo kutoka kwa wagonjwa kabla kuanzisha usajili wao. Wale wanaohusika na dawa walizoea kuwambia wagonjwa kuwa dawa zilikuwa zimeisha na kuwaelekeza kwenye maduka ya wauza dawa karibu sana na zahanati yenyewe. Halafu ukifika huko na kununua dawa, unapigwa na butwaa kuona dawa ulizouziwa zikiwa na nembo ya serikali. Hakika waso haya wana mji wao. Sikuelewa ni kwa nini udokozi wa namna hii ulifanywa hadharani mchana wa Mungu.

Kwenye maabara kulisemekana kwamba kemikali maalum za kutumiwa kupima maradhi hazikuweko hivi kwamba matokeo ya uchunguzi yalionyesha kwamba kila mgonjwa alikuwa na aina ileile ya ugonjwa. Maarufu miongoni mwa maradhi yaliyodhihirishwa maabarani ilikuwa malaria na homa ya matumbo. Sasa haikuwa ajabu mtu kutilia shaka uchunguzi uliofanywa katika maabara haya. Matokeo haya yalitolewa baada ya kipindi kirefu cha kusubiri kwa wastani saa mbili na nusu! Usishangae kwamba wakati wa kipindi hiki cha kusubiri, wangeonekana wakiwa katika harakati kama wahandisi wanaokarabati mtambo maalum wa tarakilishi mara wanakoroga, mara wanamimina majimaji vyomboni au wanakonyeza macho kutazama miujiza waliyotambua wao pekee yao kama wanajimu wanaozuru anga za juu. Wale wa idara ya malipo walikuwa maarufu kwa kuwambia wateja wao kwamba hawakuwa na hela za kuwarejeshea kama mabaki yao; wakawa na masalio ambayo, kama kawaida kidogo kidogo hujaza kibaba, yalizalisha maelfu ya pesa katika kipindi kifupi na kunenepesha mifuko yao.

Gavana wa gatuzi hili alifagilia mbali uchafu huu wote. Mori alihudumiwa katika kipindi cha chini ya saa moja baada ya ugonjwa wake kupatikana. Ugonjwa wake ulikuwa ni mwiba wa kujidunga ambapo mhasiriwa hastahili kuambiwa pole. Ukaidi wao uliwafanya kukataa kulala chini ya vyandalua vya kuwazuia wadudu wasababishao maradhi haya sugu kwa kuongozwa na imani potofu eti vyandalua huzuia usingizi. Usisahau kwamba vilitolewa bure kwa kila mkazi wa gatuzi hili kupitia mapango maalum wa rais wa taifa mojawapo la ulimwengu lenye ustawi mkubwa wa viwanda. La kuchekesha zaidi ni kuviona vyandalua walivyopewa vikiwa vimetumiwa kuzingira vitalu vilivyopandwa mboga. Hiki ndicho kinaya kilichozuliwa na Mori na mkewe hata wakawa windo rahisi kwa mbu.

 

Maswali

  1. a) Orodhesha hoja tatuzinazoonyesha maendeleo yaliyotokana na ugatuzi kulingana na makala.

(alama 3)

…………………………………………………………………………………………………..

…………………………………………………………………………………………………..

…………………………………………………………………………………………………..

  1. b) Kabla ya ugatuzi, wafanyakazi wa vituo vya afya walikuwa wanawanyanyasa wagonjwa. Taja

makosamatano yaliyofanywa na wafanyakazi mbalimbali wa vituo vya afya.             (alama 5)

…………………………………………………………………………………………………..

.………………………………………………………………………………………………….

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………..

 

  1. c) Wataje viongozi wawiliwa kuchaguliwa wanaozungumziwa na msimulizi. (alama 2)

…………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………

  1. d) Nakili neno moja kutoka aya ya pili lenye maana sawa na plastiki. (alama 1)

………………………………………………………………………………………………….

  1. e) Taja jina la ugonjwa aliokuwa anaugua Mzee Mori. (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………..

  1. f) Eleza maana ya maneno yafuatayo kama yalivyotumiwa kifunguni. (alama 3)
  2. kuhujumu …………………………………………………………………………………….
  3. chamcha ………………………………………………………………………………………

iii. unapigwa na butwaa ………………………………………………………………………….

 

 

  1. Ufupisho (Alama 15)

Soma makala kisha ujibu maswali yanayofuata.

Kilimo ni moja kati ya shughuli muhimu sana zinazotekelezwa na binadamu katika vizazi vyote na hujishughulisha na upanzi wa mimeana ufugaji wa wanyama. Maisha ya binadamu katika nyanja zote hutegemea kilimo hivi kwamba endapo harakati za kilimo zitasitishwa, bila shaka maisha ya binadamu yatafikia kikomo. Chakula na mavazi ya binadamu hupatikana kutokana na shughuli hii muhimu na imekuwepo maishani mwa binadamu kwa karne nyingi. Wataalamu wa historia husema kwamba kilimo kilianza wakati ambapo ustaarabu wa binadamu ulianza kustawi yaani kadri binadamu alivyoanza kukumbatia ustaarabu ndivyo kilimo kilianza kustawi hali kadhalika. Kabla ya kustawi kwa kilimo, binadamu wa kwanza aliishi maisha ya kulumbata wanyama akikusanya miti, majani, maganda, mizizi na matunda kwa ajili ya kujikimu maishani mwake. Katika kipindi hiki mtindo huu wa kupata chakula na mavazi ya binadamu ulikuwa mwafaka mradi hakuweza kutindikiwa na chochote.

Baadaye dharura ya kuwa na utaratibu tegemevu wa kujipatia maslahi ya binadamu ikatokea kwa sababu ya kuendelea kuongezeka kwa idadi ya watu, pakawa na haja ya kulainisha mfumo wa uzalishaji wa chakula na kutimiza mahitaji mengine ya kibinadamu. Matokeo ya juhudi hizi yalianzisha shughuli ya uvuvi, uwindaji wa wanyama na ndege na ukusanyaji wa vyakula mbalimbali na kuvihifadhi. Harakati za kusaka chakula kwa wingi zikashadidi katika kila janibu za ulimwengu. Hii ilifuatiwa nakuanza kufuga wanyama waliozalisha bidhaa kama vile maziwa, nyama, ngozi na mayoya yaliyotumiwa kutengeneza mavazi. Wanyama waliofugwa hivi, baada ya miongo fulani, wakaanza kutumiwa mashambani kufanya kazi ya kusaidia kuandaa mashamba kwa minajili ya kuzalisha vyakula.

Ustaarabu ulipoimarika zaidi kutokana na mpito wa wakati, mahitaji ya chakula kilichozalishwa kupitia kilimo yakawa makubwa kushinda chakula kilichokuwepo kwa ajili ya kuyakimu mahitaji ya binadamu katika kipindi hicho cha kizazi cha binadamu.Jambo hili lilisababisha haja ya kubuni mbinu mpya na bora zaidi za uzalishaji wa chakula kutokana na matumizi ya ardhi.Aghalabu katika baadhi ya sehemu, uzalishaji ulizuiwa na hali ngumu ya hewa kwa sababu ya mvua isiyotegemewa, ama ichelewe au ipotee kabisa na kusababisha kiangazi kilichonyausha na kukausha mimea mashambani. Mimea mashambani inaachwa ikisononeka kutokana na uhaba au ukosefu kabisakabisa wa maji.  Ili kukabiliana na changamoto hii ya hali ya hewa, mitaro mikubwa ilichimbwa kutoka maeneo ya maji kama vile mabwawa, mito ya kudumu, maziwa na vidimbwi ili kuelekeza maji mashambani na kuwezesha mimea kustawi ipandwapo. Huu ulikuwa mwanzo wa kilimo cha kunyunyizia maji mashambani. Mtindo huu ulistawi zaidi nchini Misri Kaskazini mwa Bara la Afrikakwa sababu ya kuwepo kwa Jito la Nile. Mbali na kutumia mtindo wa kunyunyizia maji mashambani ili kuimarisha uzalishaji, haja ilizuka ya kuimarisha aina ya mbegu zilizopandwa ili kuongeza kiwango cha mazao ambayo yangepatikana hata katika eneo dogo. Kadhalika, mbegu zilizoimarishwa hivi zilikuwa na uwezo wa kuhimili hali ngumu ya hewa kama kiangazi, magonjwa na wadudu waharibifu. Hizi zilikuwa baadhi ya hatari zilizokumba mimea na kudunisha kiwango cha mazao yanayotoka kwenye mashamba.uzalishaji.

Usisahau kwamba uvumbuzi wa viwanda ulipozuka kule Ulaya, vifaa bora vya kutumia katika kilimo vilivumbuliwa. Vifaa hivi vilikuwa kama vile plau na tingatinga na vilisaidia sana kuandaa konde kwa njia bora zaidi na tena kwa kipindi kifupi. Hatua hii iliimarisha mchakato mzima wa kuendeleza kilimo kwa manufaa ya binadamu. Kwa kweli akili ni mali na si mali tu bali ni mali ya aina yake. Ni dhahiri kwamba mti hauwezi ukaenda pasipo na nyenzo.

 

  1. a) Fupisha aya mbili za kwanza ukitumia kati ya 70 na 80. (alama 6)

 Matayarisho

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

 

Nakala Safi

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………..

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

 

  1. b) Kwa maneno 80 hadi 90 kuandika hoja muhimu katika aya ya tatuna ya nne. (alama 9)

 Matayarisho

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

 

Nakala Safi

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………….

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

………………………………………………………………………………………………………

 

 

  1. Matumizi ya Lugha (Alama 40)
  2. a) Taja na ainisha konsonanti zilizo katika neno ‘ng’ata’ ukizingatia alazakutamkia.(alama 1)

……………………………………………………………………………………………………

  1. b) Toa mifano minne ya maneno yenye irabu tatu pekee katika Kiswahili sanifu. (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………

  1. c) Onyesha silabi zenye kutiliwa mkazo wakati wa kutamka maneno yafuatayo: (alama 1)
  2. ombea …………………………………………. ii.hakimu ……………………………

 

 

  1. d) Eleza maana mbili tofauti katika sentensi:(alama 2)

Dumu na mwanawe Borni waimbaji hodari. ……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

  1. e) Tunga sentensi mojamoja ukitumia kivumishi cha pekee – ingineoukianza kwa maneno

yafuatayo:(alama3)

  1. sisimizi:

……………………………………………………………………………………………………

  1. mkanda:

……………………………………………………………………………………………………

iii. kuchoka:

……………………………………………………………………………………………………

  1. f) Andika muundo wa sentensi hii kwa kutumia msitari.                                   (alama 2)

Mgogoro huo ulimalizikaleo kwa mapatano.

……………………………………………………………………………………………………

  1. g) Ainisha mofimu katika neno ‘iue’. (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………

  1. h) Onyesha kisha uainishe nomino katika sentensi hii: (alama 3)

Kipakatalishicha Wangila kina kasi kubwa.

…………………………………………………………………………………………………

  1. i) Akifisha sentensi hii: (alama 3)

umeanza kusoma tamthilia ya kigogo kigogo alimuuliza kangogo.

…………………………………………………………………………………………………

  1. j) Kanusha:
  2. Wanafunzi wengi wameenda kucheza kandanda katika shule jirani.(alama1)

……………………………………………………………………………………………………

 

 

  1. ii) Tukianza safari yetu asubuhi tutachelewa kikaoni. (alama 2)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. k) Andika kwa kinyume:

Wananchi wengi walihudhuria mkutano ndani ya uga wa Kitaifa.                                  (alama2)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. l) Geuza katika umoja au wingi kulingana na maagizo ndani ya mabano mwishoni mwa kila

sentensi.

  1. Idara mpya iliundwa na mkurugenzi wa kampuni hiyo. (wingi) (alama1)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. Vyungu vya kupikia vimesahaulika na wapishi. (umoja) (alama1)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. m) Tunga sentensi zilizo na miundo ifuatayo:
  2. S – KN (W+V) + KT (T+E)                                                                                       (alama 2)

…………………………………………………………………………………………………..

 

  1. S – KN (N)+ KT (T) (alama 1)

……………………………………………………………………………………………………

 

  1. n) Andika sentensi hii ukitumia maneno yenye maana sawana yale yaliyopigiwa mistari.

(alama 2)

Banatialishushaberamu saa kumi na mbili jioni.

……………………………………………………………………………………………………

0) Kwa kutumia sentensi moja, tofautishavitate vifuatavyo:sima, zima                  (alama 2)

…………………………………………………………………………………………………

  1. p) Ni methali gani inayolengwa na maelezo yafuatayo? (alama 1)

Panapokuwa na juhudi katika jambo lolote hata likiwa gumu, hatimaye ufanisi hupatikana.

……………………………………………………………………………………………………

  1. q) Tumia nahau ‘ng’oa nanga’ katika sentensi ili kudhihirisha maana yake. (alama 1)

…………………………………………………………………………………………………

(alama 2)

  1. r) Jaza pengo kwa vihisishi mwafaka. (alama 3)

Unapotaka kupishwa hutumianeno ………………………………. na ………………………..

nitamko la kuagana mnapoachana na mtu usiku kama ambavyo …………………………….

hutumiwa unapomwomba mtu msamaha kwa kumkosea.

 

 

4.Isimujamii      (Alama 10)

Andika sifa kumi za lugha utakayotumia ukipata fursa kutangaza mchezo wa kandanda.        (alama 10)

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………..

……………………………………………………………………………………………………..

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

…………………………………………………………………………………………………….

……………………………………………………………………………………………………

…………………………………………………………………………………………………….

 

 

Huu ndio ukurasa wa mwisho uliochapishwa.

Cheti cha Kuhitimu Kisomo cha Sekondari

MTIHANI WA MUHULA WA PILI2023

 

 

MOCKS 1 2023

 

102/3                    Kiswahili – Fasihi        Karatasi ya 3

KIDATO CHA NNE          JULAI/AGOSTI, 2023              Muda: Saa 2½

 

Jina: ………………………………………….………………      Nambari: ………………

Mkondo: ………………Sahihi ya Mtahiniwa: ………..…….. Tarehe ……………………

Maagizo

  • Andika jina lako, nambari ya usajili, mkondo, sahihi na tarehe katika nafasi ulizoachiwa hapo juu.
  • Jibu maswali manne pekee.
  • Swali la kwanza ni la lazima.
  • Maswali hayo mengine matatu yachaguliwe kutoka sehemu nne zilizobaki Riwaya, Ushairi, Tamthilia na Fasihi Simulizi.
  • Usijibu maswali mawili kutoka sehemu moja.
  • Karatasi hii ina kurasa 6. Watahiniwa ni lazima wahakikishe kwamba kurasa zote za karatasi hii zimepigwa chapa sawasawa na kuwa maswali yote yamo.
  • Maswali yote ni sharti yaandikwe kwa lugha ya Kiswahili.

Kwa matumizi ya mtahini pekee

 

         SWALI UPEO             ALAMA
1 20  
  20  
  20  
  20  
JUMLA 80  

 

 

 

SEHEMU A: HADITHI FUPI(LAZIMA)

D.W. Lutomia na Phibbian Muthama : Mapambazuko Ya Machweo Na Hadithi Nyingine    

  1. Lazima

 

  • Changanua mtindo kwenye kifungu. (alama 8)
  • Uhuishi – athari ya mawazo yake ilijiandika Dhahiri shahiri usoni mwake.
  • Tashibihi – tabasamu pana mithili ya msafiri
  • Taswira – tabasamu pana
  • Takriri – njia mbilimbili
  • Balagha – lakini, angefeli je?
  • Mbinu rejeshi – maneno ya mwalimu mkuuS
  • Jazanda – mizizi na matunda
  • Methali – mtaka chv mvunguni sharti ainame
  • Nidaa – Sabina!
  • Suala la kazi na bidi limeangaziwa kwa kina kwenye diwani ya mapambazuko ya machweo. Tetea ukweli wa kauli hii kwa kurejelea hadithi zifuatazo:
    1. Fadhila za punda
    2. Mapambazuko ya machweo
  • Sabina (alama 12)

 

SEHEMU B: RIWAYA

A.Matei: Chozi la Heri.

Jibu swali la 2 au la 3

 

  1. Naona wingu kubwa angani likitembea kwa kedi na madaha na kulifunika jua…Mawingu yaliyoshiba yakataka kutapika yanagooka, yanakaribiana, kupigana busu na kusababisha mwanguko wa matone mazito ya mvua; matone yanayoanguka kwenye ngozi laini zą wanangu wakembe… ubavuni mwangu amelala maskini mke wangu… Sijui kama inahalisi kumwita mke wangu…. Siye, siye, siye-e-e-e. Tazama uso wake ulivyovamiwa na majeraha kikwi… Amevimba na kuvimbiana kama dongo la unga ngano baada ya kutiwa hamira. Lakini yeye hana la hamira!

(a) Ni usimulizi wa Kaizari

  1. ii) Anawasimulia wakimbizi wenzake / Ridhaa.

iii) Yumo kambini / Misitu wa Mamba.

iv)Anarejelea hali ya ugeni kule kambini / anarejelea hali ya maumivu ambayo wanawe Lime na Mwanaheri wamo baada ya kubakwa / Hii ni baada ya uchanguzi kufurushwa kwao na kuishia kambini/anarejelea tandabelua ya baada ya uchaguzi.                                                                                                (4×1=4)

 

  1. b) Aina za taswira:

i)Taswira oni/ya uoni/mwono – naona wingu kubwa angani likitembea

ii)Taswira mwendo – wingu kubwa likitembea

iii) Taswira sikivu  – sauti ya mawingu yakigooka

iv)Taswira mguso – mawingu yanakaribiana, kupigana busu; wingu kulifunika jua; yanayoanguka kwenye ngozi laini za wanangu.

(v.) Taswira hisi – yakataka kutapika                                                    (za kwanza 4×1=4)

 

(c) Vipengele vya kimtindo;

i)Tashihisi/uhuishi – wingu kubwa angani likitembea kwa kedi na madaha / mawingu yakataka kutapika

  1. ii) Urudiaji/Takriri/uradidi- matone; siye;mke wangu/hamira

iii) Mdokezo – ngozi Laini za wanangu wakembe…/maskini mke wangu…

  1. iv) Tashbihi – amevimba na kuvimbiana kama dongo la unga ngano
  2. v) Nidaa – hana hamira!
  3. vi) Nahau/msemo – majeraha kikwi

vii) kudumisha sauti – siye-e-e-e

(za kwanza 4×1=4)

 

d)Toni ya uchungu/masikitiko / huzuni                                           (1×2=2)

 

  1. e) Umuhimu wa mandhari:

 

  1. i) Kuibua maudhui mbalimbali k.m maudhui ya ukatili – jinsi Lime na Mwanaheri walivyabakwa.
  2. ii) Kuchimuza tabia za wahusika – k.m utu wa jiraniye Tulia; tabia za mwanzi kama katili kwani tunaambiwa Selume kuishi na wakimbizi kuliko kwenya kasri la dhuluma za mumewe.

iii) Kuonyesha wakati wa kutukia kwa matukio- tandabelua baada ya uchaguzi

(iv) Huchangia kuibua toni na hali ya kijumla – mandhari haya yanaibua toni ya uchungu na masikitiko.

  1. v) Huibua dhamira ya mwandishi mandhari ya kambi ya wakimbizi yanaibua dhiki za wakimbizi baada ya ghasia za baada ya uchaguzi.
  2. vi) Hutambulisha wahusika – tunabainishiwa wahusika kama Subira, Lime, Mwanaheri, Ridhaa, nk..

vii) Kudokeza migogoro – baina ya wafuasi wa Bi.Mwekevu na mpinzani wake mkuu.

viii) Husaidia kulinganua hali za matabaka– k.m. aliyekuwa waziri, familia ya Bw. Kute

(xi) Kuonyesha mahali pa tukio  – k.m Lime na Mwanaheri wanabakiwa nyumbani kwao

x)Huibua taharuki – Kaizari akisimulia jinsi gari lao lilivyoishiwa na  petroli taharuki inajengwa.

  1. xi) Kuendeleza ploti – k.m Wakimbizi wanapofurushwa kutoka makwao na kuanza maisha upya katika kambi ya wakimbizi / Msitu wa Mamba.(zozote 6×1 = 6)

 

3.“Alijiona kama mfa maji ambaye anakabiliwa na mtutumo wa mawimbi  ya misiba ,mmoja baada ya mwingine.”

 

a)Eleza muktadha wa dondoo hili.                              (alama 4)

i)Msemaji: maelezo ya mwandishi/msimulizi

ii)Msemewa:Anamrejelea Lunga

iii)Mahali:Msitu wa simba

iv)Sababu:Mwandishi anatueleza changamoto alizokumbana nazo Lunga baada ya kuhama kutoka msitu wa mamba.

 

b)Ukimrejelea msemewa wa maneno haya na wahusika wengine kutoka kwenye riwaya,onyesha jinsi walivyokumbwa na mawimbi ya misiba.                                                                            (alama 16)

i)lunga anafutwa kazi baada ya kutetea raia dhidi ya kupewa mahindi yaliyokuwa hatari hata kwa panya

ii)lunga anapoteza mali yake yote baada ya kutimuliwa kutoka msitu wa mamba

iii)Naomi anamtoroka Lunga  wakati alipomhitaji Zaidi.

iv)Ridhaa  anaipoteza aila yake yote inayoangamizwa na mzee Kedi

v)Umu anabaki mpweke baada ya ndugu zake kutoroshwa na kijakazi Sauna

vi)Lime na Mwanaheri kubakwa na vijana barobaro mbele ya baba yao

vii)Zohali anapata mimba akiwa kidato cha pili anaamua kutoroka nyumbani kwao baada ya kuachiwa kazi zote za nyumba

viii)Subira amejaa majeraha usoni mwake na pia mwili wake kuvimbiana kutokana na ubahaimu wa mwanadamu

ix)Ridhaa anabaguliwa na wanafunzi wenzake kitendo kinachomfanya kutoroka shule

x)Majumba ya ridhaa yanabomolewa ikisemekana yalijengwa sehemu iliyotengewa ujenzi wa bypass.

xi)Sauna kubakwa na babake wa kambo na anapomfahamisha mamake anamnyamazisha kuwa asimpake tope babake

xii)Sauna anaamua kutoroka nyumbani kwao baada ya kulazimishwa kuavya mimba na mamake mzazi

xii)Riziki Immaculata kutupwa na mamake  kwenye mapipa ili kijifie ila kinaokelewa  na Neema na kupelekwa kwenye kituo kutunza watoto  cha Benefactor.

xiii)Jumba la  Ridhaa alilokuwa amewapangisha  wafanyabiashara kuchomeka kutokana hitilafu za umeme  hadi kuwa unga tifutifu.watu wengi walifia humo ndani.

Xiv)kutokana na machafuzi ya uchaguzi Subira mkewe kaizari anakatwa kwa sime na vijana ambao pia wanawabaka lime na mwanaheri mabinti zake Kaizari mbele yake akishuhudia .

xv)Makaa amiye Mwangeka kuchomeka asibakie lolote alipoenda kuwaokoa watu walliokuwa wakifyonza mafuta kutoka kwa lori lililokuwa limeanguka.

xvi)Baada ya machafuzi ya uchaguzi wakimbizi(Ridhaa ,Kaizari na wengine)wanaishia kwenye kambi ambako maisha ni magumu sana.Hawana chakula,maji safi ya kunywa,misala hakuna wanaishi kwenye vibanda wote wazee kwa watoto.

  Kadiria majibu ya mwanafunzi

                                       16×1

SEHEMU C: TAMTHILIA

Timothy Arege: Bembea Ya Maisha

Jibu swali la 4 au la 5

 

 

  1. “Hata nikiitwa nitaondoka nikiwa nimeridhika.”

a)Eleza muktadha wa dondoo hili .                                               (alama 4)

msemaji:Sara

Msemewa:Dina

Mahali:Nyumbani kwa Sara

Sababu:Anaonea fahari maisha ya watoto wake wanavyojiendeshea mambo yao licha ya kusemwa hapo awali.

b)Kwa hoja tano ,eleza sifa za msemaji wa maneno  haya .    (alama 5)

i)mvumilivu-sara anavumilia mateso na kipigo cha mumewe

ii)mwenye Hekima –maneno anayoyazungumza  yana wingi wa hekima na busara.

iii)Mwenye mapenzi-anampenda mumewe na watoto wake

iv)Mwenye msimamo thabiti –Hata baada ya kusutwa  na kukejeliwa na wanajamii hayumbishwi na maneno yao.

v)Mtamaduni-anasema fimbo hurithiwa na mtoto wa kiume

vii)Mwenye uhusiano mwema –Sara alikuwa na uhusiano mwema na Dina ndiposa anaenda kumsidia kupika.

vii)Mshauri-Anawashuri wanawe kuheshimu ndoa mila na baba yao.

viii)Mwenye shukrani- Anamshukuru Asna kwa kumpa uji.

ix)Mwenye heshima –Anamheshimu mumewe kwani ndiye moto wa kifuu.

5×1

c)Tambua mbinu moja ya lugha iliyotumika katika dondoo hili.(alama 1)

Tafsida –nikiitwa nitaondoka

  1. d) Wahusika mbalimbali kwenye tamthilia wamekubwa na majonzi na furaha vilevile.Thibitisha. (alama 10)

i)Ndoa ya Sara na Yona imejaa furaha mwanzoni  wanapooana.Maisha yao yaonekana yenye mafanikio na furaha.

ii)Ndoa hii  inaingia dosari baada ya kukaa muda mrefu bila kupata watoto.

iii)Hatimaye wanabarikiwa na watoto  watatu wa kike hali inayoleta furaha kwa muda.

iv)Wanajamii wanawacheka, kuwakejeli na kuwasuta kwa kutojaliwa mtoto wa kiume.

v)Kutokana na kusutwa huku,Yona anaingilia ulevi hali inayomfanya kumchapa mkewe Sara na pia kuidharau  familia yake.

Vi)Ulevi wake Yona unamfanya  kutelekeza majukumu yake kama mwalimu na kuishia kufutwa kazi

vii)Kichapo alichopewa Sara  na Yona kinamsababishia ugonjwa wa moyo hali inayomfanya kukosa matumaini  ya kuishi na kutamani kufa.

viii)Kabla kuingilia ulevi, Yona alikuwa mwalimu hodari ,watoto aliowafunza walipita sana naye akapata zawadi mzomzo kutoka kwa wazazi na serikali.

ix)Neema anasoma hadi chuo kikuu na kufuzu vyema ,anafanikiwa na kupata kazi.

x)Neema anawajengea  nyumba ,anawaajiria wazazi wake wafanyikazi  wa kuwasaidia nyumbani na kuwanunulia jiko la gesi hali inayowapa  furaha nyingi.

xi)kuna hali  ya kutoelewana kati ya Bunju na Neema kutokana na masomo yake  Lemi kwani kulingana na Bunju amerudi nyuma.

xii)Bunju na Neema  wanakosa kuelewana kutokana na mila ambazo kulingana na Neema zimepitwa na wakati .-mama mkwe kutolala kwa Bunju.

iii)Neema  kulazwa hospitalini kwa muda  wa mwezi mzima bila fahamu kutokana na ajali mbaya.

iv)Bunju anakasirishwa na Neema kwa kutoshirikishwa kuhusu mpango wa kumpeleka Sara nyumbani baada ya kupata nafuu

 

 

  1. “…Tayari unakuwa umeonja seli.Hata wahudumu wenyewe hawana mlahaka mwema .amri na vitisho kama askari.Unashindwa kama uuguze moyo ama ugonjwa.Katika wodi hewa iliyojaaa harufu ya dawa imezagaa,vitanda vimesalimu amri mpaka shiti zikagura.Yaani hali nzima haikupi matumaini ya kutoka ukiwa bora.matumaini yanadidimia .Tumaini lako unaliweka katika sala. ”

 

(a)Tambuatonimbilikatika kifunguhiki(alama2)

  1. Toniyakutamauka~ Yaanihalinzimahaikupimatumainiyakutokaukiwabora.
  2. Toniyahuzuni~Tumainilakounaliwekakatikasala.

 

(b)Tambuaainamojaya taswirakatikadondoohili                          (alama2)

Taswiramnuso~hewailiyojaaharufuyadawaimezagaa

 

(c)Kandonataswirachambuavipengelevingine vyamtindo:(alama6)

  1. Utohozi~ seli, shiti, wodi
  2. Tashbihi~amrinavitishokama askari
  • Nahau~ vitandavimesalimu amri
  1. Tashihisi~vitandavimesalimuamri,shitizikagura.

 

(d) Fafanuanamnamandhari yadondoohiliyalivyochangiakujenga Tamthilia BembeayaMaisha(alama10)

 

  1. Yanalinganishahuduma dunizaafya kijijininahudumaborazaafya mjini.
  2. Yanatusaidiakuelewamaudhuiya kutowajibika kupitia wahudumu wahospitalini zamjini.
  • Yanachimuzamaudhuiyauongozi mbayahospitalini.
  1. Yanachangiakatikakuonyeshasifazawahudumu wahospitalini.
  2. Yanachangiakatikakuonyeshasifa zawahudumu wahospitalizanyumbani(wazembe, dhalimu)
  3. Yanachimuzamatatizoyanayokumbahospitalizamashambani(uchafu,uhabawavitandavizuri,shiti) Yanajengamtirirko wavitushi Saraanapofikahospitalini kupatamatibabu.
  • YanakuzasifazaAsna kama mdaku.
  • YanajengasifazaNeemazinazjitokeza~
  1. Yanakuzamtindo kupitiamethali nadhihaka.

 

 

 

                                           SEHEMU D: USHAIRI.

Jibu swali la 6 au la 7

  1. SHAIRI LA KWANZA

(a)Tambua hadhira inayolengwa katika shairi hili.                                                                             (alama 1)

i)Wafanyikazi wa umma

ii)Maskini na matajiri

iii)Wadogo na wenye vyeo

1X1

b)Huku ukitoa mfano,onyesha mbinu tatu ambazo mshairi ametumia  kutosheleza uhuru wake. (alama 3)

 

i)tabdila – kutotowa/kutotoa

ii)inksari –ndo/ndio

iii)kuboronga sarufi/kufinyanga lugha-kujitegemea bora/bora kujitegemea

3X1

c)Bainisha aina tatu za urudiaji zinazojitokeza katika utungo huu.                                                    (alama 3)

i)urudiaji wa neno/anafora-ushuru,taifa,bilashi,nk

ii)urudiaji wa silabi-vina mf zo,ma

iii)urudiaji wa sauti-o,a

iv)urudiaji wa mshororo mf kibwagizo

3×1

d)Eleza muundo  wa ubeti wa sita.                                                                                          (alama 4)

i)una vipande viwili katika kila mshororo –ukwapi na utao

ii)una mishororo minne

iii)ubeti una kituo/kiishio

iv)vina vya kati ni nge na vya mwisho ni zo isipokuwa kwenye kituo

v)mizani ni kumi na sita katika kila mshororo

4×1

e)Andika ubeti wa nne katika lugha ya nathari/Tutumbi                                                              (alama4)

si vizuri  kuomba misaada ya kigeni kila wakati.

Hivyo ni sawa na kuwa mateka

Ni vyema  kujitegemea kwa shida zetu

Taifa haliwezi kuimarika bila ushuru

f)Kwa kutolea mfano,taja mbinu tatu za kimtindo zilizotumika katika shairi hili.                           (alama 3)

i)maswali ya balagha- vipi wangalihudumu

ii)jazanda/sitiari-twajifunga Kamba/kiguru

iii)tashbihi –ni kama kiguru

iv)takriri-bilashi,ushuru

3×1

g)Weka shairi hili katika bahari yake ukirejelea :                                                                       (alama 2)

i)Vipande-Mathnawi

ii)Vina- ukaraguni

2X1

 

 

 

  1. SHAIRI LA PILI

(a)

(i)         Haizingati idadi kwa mistari/mishororo katika kila ubeti.

(ii)        Idadi ya vipande hailingani katika mstari.

(iii)       Halizingatii mpangilio maalum wa vina.

(iv)       Halizingatii ulinganifu wa mizani katika kila mstari.

(v)        Idadi ya vipande vya mishororo ni sawa.

(vi)       Halizingatii ukamilifu wa mishororo

(b) Utamaushi

(i)         Mwalimu hathaminiwi – anaitwa bure/duni

(ii)        Mwalimu analewa na kupepesuka barabarani.

(iii)       Watoto kumcheka mwalimu wao apitapo.

(iv)       Viatu vya mwalimu kuisha visigino

(v)        Sidiria ya mwalimu ni chakavu.

(vi)       Mwlaimu hawezi kumudu bei hya marashi baada ya kustaafu.

(vii)      Mwalimu atakufa na kuzikwa bila kusherekewa.

(viii)     Hata mlevi anamdharau mwalimu

(ix)       Mshahara duni.

(Zozote 4 x 1 = 4)

 

 

 

(c)     Jinsi mwalimu anapaswa kulaumiwa

(i)         Yeye ndiye anatunga wimbo wa kuwasifu viongozi wasiotaka kubadilisha             taaluma yake.

(ii)        Yeye ni mwoga – Anajikunja kama jongoo.

(iii)       Walimu hawana umoja.

(d) Nafsineni-Mwalimu

Toni-utamaushi(kutaja al.1, mfano-al.1)

(e) Usambamba-Utafundisha tena

Sikilizeni

Jazanda –Bure, chacha,Mkia wa mbuzi

 

 

 

SEHEMU E: FASIHI SIMULIZI

 

8.

  1. Bainisha kipera cha utungo huu.                                                    (alama 2)

Bembelezi / bembea / pembejezi

Unawaliwaza na kuwabembeleza watoto walale auwanyamazewanapolia.

 

  1. Eleza ujumbe unaofumbwa katika wimbo huu. (alama 5)
  2. Kuhimiza uwajibikaji – nafsi neni kumpikia mwanawe ubwabwa
  3. Kueleza ugumu wa maisha / umaskini / ukilia wanikumbusha ukiwa wa baba na mama
  • Nmafsi neni kukatiziwa elimu – ilimu kunikatizia
  1. Nafsineni kulazimishiwa ndoa – baba na mama kupokea ng’ombe na mbuzi
  2. Kuwepo kwa vurugu – lavunjavunja vikombe
  3. Ukosefu wa usingizi – languruma kama gombe.

 

  1. Tambua mbinu za kifani ambazo zimetumiwa kuwasilisha utungo huu.     (alama 3) 
  2. Tashbihi–languruma kama gombe
  3. Takriri/uradidi–ulale,ukiwa,nakuchombeza,
  • Taswira – Languruma kama gombe
  1. Kinaya – wazazi kumwachisha shule nasfuineni na kumwoza.
  2. Bainisha shughuli mojamoja ya kijamii na ya kiuchumi ambazo huendelezwa katika jamii ya utungo huu. (alama 2)

Kijamii – ndoa – kunioza dume kongwe

Kiuchumi–ufugaji ;languruma kama gombe

  1. Unakusudia kukusanya data kuhusu kipera hiki. Eleza manufaa manne ya kutumia mahojiano. (alama 4)
  • Kwa vile mtafiti anakabiliana namhojiwa ana kwa ana ni rahisi kupata habari za ana kwa ana na za kutegemeka.
  • Mbinu au sifa za uwasilishaji kama vile; Toni, utendaji, sauti, ishara za uso kubainika kwa mtafiti na hivyo kuimarisha kuelewa kwake.
  • Mtafiti anaweza kumfafanulia mhojiwa habari na kuweza kupata data inayoaminika
  • Mtafiti anaweza kubadilisha maswali au mtindo wa kuyauliza kulingana na kiwango cha elimu cha mhojiwa; lugha yake mhojiwa na mengine mengi
  • Mtafiti anaweza kutambua iwapo mhojiwa anatoa habari zisizo za kweli.
  1. Kipera hiki kinazidi kufifia katika jamii yako. Fafanua njia nne ambazo jamii ya kisasa inaweza kutumia kukuza na kuendeleza kipera hiki. (alama 4)    
  2. Jamii inafundisha kipera katika taasisi mbalimbali za elimu kama vile shule ya msingi, vya upili na vyuo vikuu.
  3. Kuhimiza wataalamu kujihusisha na usomaji na utafiti wa kipera hiki.
  • Kuhakikisha kuwa kipera hiki kimepewa nafasi inayostahili katika mfumo wa elimu. kwa mfano kinahusishwa katika tamasha za muziki na drama zinazohusisha taasisi mbalimbali za elimu
  1. Wanasarakasi wa kisasa wanaendeleza usanii wa kipera hiki.
  2. Jamii ya kisasa inatumia teknolojia ya habari na mawasiliano k.v Runinga, tarakilishi na redio kuendeleza utendaji wa kipera maathalan kuna vipindi mbalimbali vya watoto nidhazautangazaji
  3. Watafiti wa fasihi simulizi wanaendelea kukifanyia kipera utafiti, kuandika na kurekodi viperavya fasihisimulizi
  • Kipera hiki kinaendelezwa katika jamii za kisasa.

 

 

 

 

MOCKS 1 2023

SWALI LA KWANZA

  1. Hii ni insha ya kumbukumbu. Vipengele vya:
  • Kimuundo vya utungo wa aina hii vidhihirike kama ifuatayo:
  1. Kichwa : Kionyeshe:
  2. Kundi linalokutana
  3. Mahali pa mkutano
  4. Tarehe ya mkutano
  5. Wakati wa mkutano
  6. Waliohudhuria- vyeo na nyadhifa zidhihirishwe
  • Waliotuma udhuru
  1. Ambao hawakuhudhuria
  2. Waalikwa / katika mahudhurio/ waliohudhuria, bali si wanachama (si lazima)
  3. Ajenda za mkutano
  • Kumbukumbu zenyewe
  1. Utangulizi
  2. Wasilisho la mwenyekiti
  3. Kusomwa na kuthibitishwa kwa kumbukumbu za mkutano uliopita/uliotangulia
  4. Yaliyoibuka kutokana na kumbukumbu hizo
  5. Maswala yanayojadiliwa leo/ masuala mapya (kulingana na ajenda)
  • Masuala mengineyo
  1. Hitimisho
  • Sahihi, jina la Mwenyekiti na tarehe
  • Sahihi , jina la katibu na tarehe

 

 

  1. Maudhui

Visa vya utovu wa nidhamu vyaweza kuwa kuchelewa,kutohudhuria shule,kupigana,ulevi,kutozingatia kanuni za shule na kadhalika.

Mtahiniwa adhihirishe majadiliano na uamuzi ulioafikiwa na viranja kuhusu vyanzo vya utovu wa nidhamu shuleni na Suluhisho lake. Baadhi ya hoja zitakazo jitokeza ni hizi:

  1. Vyanzo
  2. Matatizo ya kiuchumi
  3. Ukosefu wa malezi mema
  4. Ukosefu wa ushauri miongoni mwa vijana
  5. Usasa na matumizi ya teknolojia
  6. Haki za watoto kutetewa sana na mashirika mbalimbali
  7. Shinikizo la rika
  8. Matumizi ya dawa za kulevya
  9. Kuvunjika kwa ndoa/ kuwepo kwa mzazi mmoja
  10. Kuvunjika kwa mifumo ya kimaadili, ya kitamaduni
  11. Mtaala wa elimu wenye masomo mengi
  12. Msongo wa mawazo
  13. Kutokuweko na michezo na shughuli za vyama
  14. Ukosefu wa vielelezo vizuri k.m Watu hutukuza viongozi wasio na nidhamu
  15. Uongozi wa shule hafifu
  16. Wazazi kuwatetea wana wao wakikosa na kadhalika
  17. Suluhisho.
  18. Kuimarisha uchumi
  19. Wazazi kuhimizwa wawaelekeza wana wao
  20. Kuimarisha ushauri- nasaha shuleni
  21. Kudhibiti matumizi ya rununu miongoni mwa wanafunzi
  22. Serikali kubuni mwongozo mzuri wa adhabu shuleni
  23. Watoto kulelewa katika misingi ya kidini
  24. Vituo vya kurekebisha tabia viimarishwe
  25. Adhabu kali itolewe kwa watumiao dawa za kulevya
  26. Kuanzisha michezo na shughuli za vyama ziimarishwe
  27. Mfumo wa elimu ufanyiwe marekebisho ili umpe mwanafunzi nafasi ya kucheza na kupumzika
  28. Kuanzisha nafasi za wachungaji shuleni na kadhalika.

 

  1. Tanbihi
  2. Mtahiniwa akiegemea katika vyanzo pekee bila suluhu, atuzwe alama C 8/20.
  3. Atakayetaja angalau suluhu moja achukuliwe ya kwamba amejibu swali kikamilifu
  4. Akikosa baadhi ya vipengee vya kimuundo achukuliwe kuwa amekosea kimuundo.
  5. Atakayeandika sura tofauti bali na ya kumbukumbu kwa mfano ,Barua rasmi , hotuba na kadhalika aondolewe alama 4S (sura) baada ya kuwekwa katika kiwango chake

 

 

 

 

 

SWALI LA PILI

Hii ni insha ya mjadala ambapo lazima pawe na mtazamo wa pande mbili za swali ,yani faida na hasara

FAIDA

  1. Bodaboda zimeleta ajira kwa watu wengi, ama kujiajiri au kuajiriwa
  2. Zimeimarisha hali ya maisha kwa wawekezaji na waendeshaji
  3. Zimeimarisha usafiri wa watu wa uchukuzi wa mizigo
  4. Zimeimarisha utawala kwani hata ma chifu huzitumia
  5. Zimeimarisha matumizi ya muda au wakati kwani huhitaji tu abiria mmoja
  6. Ni usafiri wa bei nafuu
  7. Huwafikisha watu haraka na kadhalika

 

HASARA

  1. Zimesababisha ajali nyingi, vifo na ulemavu
  2. Husababisha matatizo ya kiafya kutokana na baridi kali
  3. Wanafunzi wengi huwacha shule ili kushiriki katika biashara hii
  4. Usafiri huu unahusishwa na jinai kama vile ubakaji, wizi na kadhalika
  5. Umesababisha mimba za mapema kwa wanafunzi
  6. Zinaleta uvunjaji sheria za trafiki na kadhalika

 

Tanbihi

Mtahiniwa aweza:

  1. Kuwa na hoja chache za faida na nyingi za hasara-atakuwa amejibu swali kikamilifu.
  2. Kuwa na hoja nyingi za faida na chache za hasara-atakuwa amejibu swali kikamilifu
  3. Akiegemea tu upande mmoja yani faida au hasara pekee achukuliwe kuwa na upungufu wa kimaudhui na alama zake zisizidi kiwango cha C
  4. Akiwa na hoja za faida sawa na za hasara achukuliwe kuwa amejibu swali ila tu ana upungufu wa kimtindo
  5. Neno jadili linamaanisha kueleza kwa mapana na marefu.

 

 

 

 

 

 

SWALI LA TATU

Hii ni insha ya methali ambapo mtahiniwa lazima abuni kisa cha kudhihirisha ukweli wa methali aliyopewa.

 

MAANA

Mpiga ngumi- Mtu yeyote anayepinga/ anayeshindana/ anayemkosea adabu mtu mwingine anayemzidi kimadaraka,kiumri,kimaumbile n.k.

Kuumiza mkonowe ni kupata madhara/kutofaulu/kudhurika.

Anayepiga ngumi ukuta atajiumiza kwani atashibuka ngozi yake.

 

MATUMIZI

Anayeshindana na anayemzidi kiuuwezo atajiumiza yeye mwenyewe

Kisa kinaweza kuafiki hali zifuatazo:

  • Mwanafunzi anayempinga kiranja,aadhibiwe na mwalimu au hata afukuzwe shuleni kabisa.
  • Mwanafunzi kumkosea mwalimu heshima apate adhabu kali na hata asimalize masomo yake.
  • Mtoto kumkosea mzazi wake heshima akapoteza mwelekeo maishani hatimaye akaharibika kabisa.
  • Mwanasiasa kumpinga rais baadaye akose baadhi ya vitu vizuri ambavyo rais anaweza kumpa kwa Mfano.kuwa mwanachama wa kamati fulani, kuwa waziri na kadhalika.
  • Mwajiriwa kumkosea heshima mwajiri wake baadaye afutwe kazi.
  • Timu ndogo kujigamba itaishinda timu kubwa na baadaye ishindwe vibaya sana.
  • Nchi ndogo ijaribu kupigana na nchi yenye uwezo mkubwa kijeshi kisha ipigwe vibaya na kushindwa.

 

TANBIHI

  • Lazima mtahiniwa atunge kisa kudhihirisha ukweli wa methali-asipotunga kisa na atoe tu mifano na maelezo, achukuliwe kuwa amepotoka kimaudhui na atuzwe D3/20
  • Kisa lazima kidhihirishe pande mbili za methali yani kupiga ngumi ukuta na kuumiza mkonowe.
  • Akiegemea upande mmoja tu atakua amepungukiwa kimaudhui na atuzwe kiwango cha C
  • Atakayetunga zaidi ya kisa kimoja amepungukiwa kimtindo na kiwango chake kisizidi C

 

 

SWALI LA NNE

Hii ni insha ya mdokezo ambapo lazima mtahiniwa akamilishe kwa kifungu cha meneno aliyopewa.

Kisa chaweza kuafiki hali zifuatazo

  • Mhusika (yeye) alimkosea Marina, jambo hili likasababisha Marina kuwa matatani hatimaye yeye akajuta kwa kosa hilo.
  • Marina alitaka msaada wake, yeye hakumpa, Marina akupata kwingine na akafaulu maishani.Jambo hili linamletea majuto.
  • Yawezekana Marina alitaka amsaidie lakini yeye akakataa, jambo hili linamfanya apate matatizo mengi na akajuta kwanini hakuuchukua msaada wa Marina.
  • Hali nyingine zozote zinazoweza kumletea mhusika majuto zitathminiwe.

 

TANBIHI

  • Kisa lazima kimhusishe Marina na mtahiniwa-asipowahisisha, ana shida ya kimtindo.
  • Lazima katika kisa aonyeshe hali itakayomsababishia majuto.
  • Kisa lazima kimalizikie kwa kifungu cha maneno aliyopewa-asipomalizia au ayaweke mahali si pake achukuliwe kuwa na upungufu wa kimtindo.
  • Akiongezea maneno baada ya kifungu alichopewa achukuliwe kuwa na upungufu wa kimtindo.
  • Mtahini asome insha za watahiniwa kwa makini kisha awatuze alama kulingana na mwongozo wa kudumu ulio hapa chini.

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

MWONGOZO WA KUDUMU

UTANGULIZI.

Karatasi hii imedhamiria kutathmini uwezo wa mtahiniwa wa kuwasiliana na msomaji na kuwasilisha ujumbe kimaandishi,akizingatia mada aliyopewa. Mawasiliano haya yatategemea ukwasi wa lugha ya mtahiniwa, kwa mfano, kutunga sentensi sahihi zenye mtiririko mzuri kimawazo, lugha ya kuvutia na yenye mawazo asilia, ubunifu mwingi na hati nadhifu. Kwa kutegemea maagizo ya swali lenyewe na umahiri wa lugha, ni lazima kutilia mkazo mtindo, mada na uwezo wa mtahiniwa kufuata maagizo vilivyo. Mtahini lazima aisome insha yote huku akizingatia sarufi, hijai, hoja, msamiati na mtindo ili aweze kuikadiria kwa kurejelea viwango mbalimbali vilivyopendekezwa. Viwango vyenyewe ni A, B, C na D kutegemea uwezo wa mtahiniwa.

 

VIWANGO VYA KUTATHMINIA

Vielekezi hivi ndivyo vitakavyo mwezesha mtahini kumweka mtahiniwa katika viwango mbalimbali vya kiutendaji.

 

KIWANGO CHA D KWA JUMLA MAKI 01-05.

  1. i) Insha haieleweki kwa vyovyote vile ama uwezo wa mtahiniwa wa kutumia lugha ni hafifu sana, hivi kwamba mtahinilazima afikirie kile mtahiniwa anachojaribu kuwasilisha.
  2. ii) Mtahiniwa hana uwezo wa kutumia maneno ya Kiswahili kwa njia inayofaa.

iii) Lugha imevurugika, uakifishaji haufai na insha ina makosa ya kila aina.

  1. iv) Kujitungia swali na kulijibu.
  2. v) Insha ya urefu wa robo ikadiriwe hapa.

 

NGAZI MBALIMBALI ZA KIWANGO CHA D.

D- (D YA CHINI) MAKI 01-02.

  1. i) Insha haina mpangilio maalum na haieleweki kwa vyovyote vile.
  2. ii) Kujitungia swali tofauti na kulijibu.

iii) Kuandika kwa lugha isiyo Kiswahili au kuchanganya ndimi.

  1. iv) Kunakili swali au maswali na kuyakariri.
  2. v) Kunakili swali au kichwa tu.

 

D WASTANI MAKI 03.

  1. i) Mtiririko wa mawazo haupo.
  2. ii) Mtahiniwa amepotoka kimaudhui.

iii) Matumizi ya lugha ni hafifu mno.

iv)Kuna makosa mengi ya kila aina.

 

D+ (D YA JUU) MAKI 04-05.

  1. i) Insha ya aina hii hukuwa na makosa mengi ya kila aina, lakini unaweza kutambua kile ambacho mtahiniwa anajaribu kuwasilisha.
  2. ii) Hoja hazikuelezwa kikamilifu/ mada haikukuzwa vilivyo.

iii) Mtahiniwa hana uhakika wa matumizi ya lugha / anajaribu kutumia lugha ila hana hakika na matumizi ya vipengele vya lugha anavyoteua.

  1. iv) Mtahiniwa hujirudiarudia.
  2. v) Insha itakayozingatia sura lakini ikose maudhui ikadiriwe hapa.

 

 

KIWANGO CHA C KWA JUMLA MAKI 06-10.

  1. i) Mtahiniwa anajaribu kuishughulikia mada japo hakuikuza na kuiendeleza vilivyo.
  2. ii) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe kwa njia isiyovutia / hana ubunifu wa kutosha.

iii) Mtahiniwa anaakifisha sentensi vibaya.

  1. iv) Mtiririko wa mawazo unaanza kujitokeza japo kwa njia hafifu.
  2. v) Insha ina makosa mengi ya sarufi, ya msamiati na ya tahajia (hijai).
  3. vi) Insha yenye urefu wa nusu ikadiriwe hapa.

 

 Ngazi mbalimbali za kiwango cha C

 

C- (C YA CHINI) MAKI 06-07.

  1. i) Mtahiniwa ana shida ya kuwasilisha na kutiririsha mawazo yake.
  2. ii) Mtahiniwa hana msamiati wa kutosha wala miundo ya sentensi ifaayo.

iii) Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi, ya hijai na ya msamiati na insha yake haieleweki kwa urahisi.

 

 C WASTANI MAKI 08.

  1. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe lakini kwa njia hafifu.
  2. i) Dhana tofauti tofauti hazijitokezi wazi.
  3. ii) Mtahiniwa hana ubunifu wa kutosha.

iii) Mtiririko wa mawazo ni hafifu na hana ufundi wa lugha unaofaa.

  1. iv) Anajaribu kushughulikia mada aliyopewa.
  2. v) Mtahiniwa ana shida ya uakifishaji.
  3. vi) Mtahiniwa anafanya makosa mengi ya sarufi, ya hijai na ya msamiati lakini bado insha inaeleweka.

 

C+ (C YA JUU) MAKI 09-10.

  1. i) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri akizingatia mada lakini kwa njia isiyo na mvuto.
  2. ii) Dhana tofauti tofauti zimejitokeza japo kwa njia hafifu.

iii) Kuna mtiririko wa mawazo japo hana ufundi wa lugha unaofaa.

  1. iv) Misemo na methali zimetumika kwa njia hafifu.
  2. v) Ana shida ya uakifishaji.
  3. vi) Kuna makosa ya sarufi, ya msamiati na ya hijai yanayoathiri mtiririko wa mawazo.

 

 

KIWANGO CHA B KWA JUMLA MAKI 11-15

  1. i) Mtahiniwa anaonyesha hali ya kuimudu lugha.
  2. ii) Mtahiniwa anatumia miundo tofauti tofauti ya sentensi vizuri.

iii) Mtahiniwa ana uwezo wa kutumia lugha kwa ufasaha.

  1. iv) Mada imekuzwa na kuendelezwa kikamilifu.
  2. v) Insha ya urefu wa robo tatu ikadiriwe katika kiwango hiki.

 

 

 

Ngazi mbalimbali za kiwango cha B.

 

B- (B YA CHINI) MAKI 11-12

  1. i) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri kwa kueleza hoja tofauti tofauti akizingatia mada.
  2. ii) Mtahiniwa ana mtiririko mzuri wa mawazo.

iii) Mtahiniwa anatumia mifano michache ya msamiati unaovutia.

  1. iv) Makosa yanadhihirika/ kiasi.

 

B WASTANI MAKI 13

  1. i) Mtahiniwa anadhihirisha hali ya kuimudu lugha.
  2. ii) Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika akizingatia mada.

iii) Mtahiniwa anateua na kutumia mifano michache ya msamiati mwafaka.

  1. iv) Sarufi yake ni nzuri.
  2. v) Makosa ni machache.

 

B+ (B YA JUU) MAKI 14-15

  1. i) Mawazo ya mtahiniwa yanadhihirika na anajieleza waziwazi.
  2. ii) Mtahiniwa anawasilisha ujumbe kwa njia inayovutia na kwa urahisi akizingatia mada.

iii) Mtahiniwa ana mchanganyiko mzuri wa msamiati unaovutia.

  1. iv) Sarufi yake ni nzuri.
  2. v) Uakifishaji wa sentensi zake ni mzuri.
  3. vi) Makosa ni machache ya hapa na pale.

 

KIWANGO CHA A KWA JUMLA MAKI 16-20

  1. i) Mtahiniwa ana ubunifu wa mawazo yanayodhihirika na kutiririka akizingatia mada.
  2. ii) Mtahiniwa anadhihirisha ujuzi wa lugha yenye mnato.

iii) Ana uwezo wa kutumia tamathali za usemi ili kutoa hisia zake kwa njia bora na kwa urahisi.

  1. iv) Umbuji wake unadhihirisha ukomavu na ukakamavu wake kimawazo.
  2. v) Insha ina urefu kamili.

 

Ngazi mbalimbali za kiwango cha A

  • (A ya chini) maki 16-17
  1. Mtahiniwa anadhihirisha ukomavu wa lugha.
  2. Mawazo ya mtahiniwa yanadhirika na anaishughulikia mada.
  • Ana mtiririko na muumano mzuri wa mawazo.
  1. Msamiati wake ni mzuri/mwafaka na unavutia.
  2. Sarufi yake ni nzuri.
  3. Anatumia miundo ya sentensi kiufundi
  • Makosa ni machache yasiyokusudiwa.

 

 

 

A Wastani Maki 18

  1. Mtahiniwa anawasilisha ujumbe vizuri kulingana na mada.
  2. Anajieleza kikamilifu akitumia lugha yenye mnato.
  • Anatoa hoja zilizokomaa.
  1. Anatumia msamiati wa hali ya juu na unaovutia Zaidi.
  2. Anatumia miundo tofauti tofauti ya sentensi kiufundi Zaidi.
  3. Makosa ni nadra kupatikana.

 

A+ (A ya juu) – Maki 19-20

  1. Mawazo yanadhihirika Zaidi na mada imeshughulikiwa vilivyo.
  2. Anajieleza kikamilifu akitumia lugha ya mnato Zaidi.
  • Hoja zake zimekomaa na zinashawishi.
  1. Msamiati wake ni wa hali ya juu na unaovutia Zaidi.
  2. Sarufi yake ni nzuri Zaidi.
  3. Anatumia miundo tofauti tofauti ya sentensi kiufundi Zaidi.
  • Makosa yote kwa jumla hayazidi matano.

 

Muhtasari wa Viwango mbalimbali.

 

Kiwango Ngazi Alama
A A+

A

A-

19-20

18

16-17

B B+

B

B-

14-15

13

11-12

C C+

C

C-

09-10

08

06-07

D D+

D

D-

04-05

03

01-02

 

 

 

 

 

USAHIHISHAJI NA UTUNZAJI KWA JUMLA.

Ili kuikadiria insha ya mtahniwa vyema bila kuongozwa na mtazamo-nafsi, mtahini sharti aisome insha yote akizingatia vipengee muhimu. Vipengee hivi ni maudhui, msamiati, mtindo, sarufi na hijai.

 

MAUDHUI.

  1. Maudhui ni hoja au mambo yanayozungumziwa, kuelezewa au kuhadithiwa kwa mujibu wa mada iliyoteuliwa.
  2. Maudhui ndio hasa uti wa mgongo wa insha yoyote ile.
  3. Ubunifu wa mtahiniwa hukisiwa kwa kutathmini uzito wa maudhui yake kulingana na mada teule.

 

 

 

MSAMIATI.

Msamiati ni jumla ya maneno yatumiwayo katika lugha husika. Mtahiniwa anatarajiwa kutumia msamiati unaooana na mada teule. Kutegea ukwasi wa lugha alionao, mtahiniwa anatarajiwa kuikuza mada kwa kuifinyanga lugha kiufundi. Ni muhimu kuelewa kwamba kutokana na maendeleo na ukuaji wa teknolojia na mawasiliano, maneno mapya yanaibuka kila uchao.

 

MTINDO.

Mtindo unahusu mambo kama vile:

  • Matumizi yafaayo ya lugha kama vile :tamathali za usemi, kwa mfano methali,misemo,sitiari na kadhalika.
  • Matumizi mwafaka ya msamiati unaohusiana na mada teule/matumizi ya sajili mwafaka.
  • Namna mtahiniwa /mwandishi anavyowaumba wahusika wake, kwa mfano kwa kuwapa majina ya majazi,kuwaua na kadhalika.
  • Matumizi ya vipengele vya kimtindo kama vile mbinu rejeshi, udokezaji na sadfa.
  • Matumizi ya vipengele vya tanzu nyingine za kimandishi /kifasihi/kisanaa, kama vile kutumia barua katika insha ya masimulizi.

 

MUUNDO

  • Mpangilio wa kazi kiaya.
  • Mtiririko na mshikamano wa mawazo kiaya na katika insha nzima.
  • Hati nzuri na inayosomeka kwa urahisi.
  • Kuandika herufi vizuri kwa mfano Jj, Pp, Uu, Ww na kadhalika.
  • Sura ya insha.Asiyezingatia sura ya insha katika swali la kwanza aondolewe 4S baada ya kutuzwa.
  • Unadhifu wa kazi ya

 

SARUFI.

Sarufi ndio msingi wa lugha. Ufanisi wa mawasiliano hutegemea uwezo wa mtahiniwa wa kutunga sentensi sahihi zenye uwiano wa kisarufi. Mtahini ataonyesha makosa yote ya sarufi yaliyo katika insha anayosahihisha. Makosa ya sarufi huweza kutokea katika:

  1. Matumizi yasiyofaa ya alama za uakifishaji.
  2. Kutumia herufi kubwa na ndogo mahali pasipofaa.
  • Matumizi yasiyofaa ya ngeli na viambishi, viunganishi, nyakati, hali, vihusiano na kadhalika.
  1. Mpangilio usiofaa wa maneno katika sentensi.
  2. Mnyambuliko usiofaa wa vitenzi na nomino.
  3. Kuacha neno linalohitajika au kuongeza neno lisilohitajika katika sentensi.

 

 

 

 

 

Matumizi yafuatayo ya herufi kubwa yazingatiwe:

  1. Mwanzo wa sentensi.
  2. Majina ya pekee.
  3. Majina ya mahali, miji, nchi, mataifa na kadhalika.
  4. Siku za juma, miezi n.k

iii. Mashirika, masomo, vitabu n.k

  1. Jina la Mungu.
  2. Majina ya kutambulisha hasa wanyama wa kufugwa, kwa mfano yale ya mbwa- Foksi, Jak, Popi, Simba na mengineyo.

 

 

MAKOSA YA HIJAI/TAHAJIA.

Haya ni makosa ya maendelezo. Mtahini anashauriwa asahihishe huku akiyaonyesha yanapotokea kwa mara ya kwanza tu. Makosa ya tahajia huweza kutokea katika:

  • Kutenganisha neno kwa mfano ‘aliye kuwa’
  • Kuunganisha maneno kwa mfano ‘kwasababu’
  • Kukata silabi visivyo afikapo pambizoni kama vile ‘ngan – o’.
  • Kuandika herufi isiyofaa kwa mfano ‘ongesa‘ badala ya ‘ongeza’
  • Kuacha herufi katika neno kwa mfano ‘aliekuja’ badala ya ‘aliyekuja’
  • Kuongeza herufi isiyohitajika kama vile ‘piya’ badala ya ‘pia’
  • Kuacha alama inayotarajiwa katika herufi kama vile j I .
  • Kukosa kuandika kistari cha kuendelezea neno afikiapo pambizoni au kukosa kukiandikia mahali pasipofaa.
  • Kuacha ritifaa au kuiandikia mahali pasipofaa, kwa mfano ngombe, ngom‘be, n‘gombe, ngo‘mbe n.k
  • Kuandika maneno kwa kifupi kama vile k.v, k.m, v.v, n.k na kadhalika.
  • Kuandika tarakimu kwa mfano 27-08-2010.

 

 

 

Alama za kusahihishia

 

==== Hupigwa chini ya sehemu ambapo kosa la sarufi limetokea kwa mara ya kwanza tu.

 

_______ Hupigwa chini ya sehemu au neon ambapo kosa la hijai limetokea kwa mara ya kwanza tu.

  • Hutumiwa kuonyesha hoja inapokamilika pambizoni kushoto.

 

˄ Hutumiwa kuonyesha kuachwa kwa neno \ maneno.

 

  • Hutumiwa kuonyesha msamiati bora. Alama hii huitwa juu ya neno lenyewe.

 

× Hutumiwa kuonyesha msamiati usiofaa. Alama hii hutiwa juu ya neno lenyewe.

 

Maelezo mafupi yanahitajika kuhusu tuzo lililotolewa. Kila ukurasa uwe na alama ya √ chini katikati ili kuthibitisha kuwa mtahini ameupitia ukurasa huo

UKADIRIAJI WA UREFU WA INSHA.

  • Maneno 9 katika kila mstari – kurasa mbili
  • Maneno 8 katika kila mstari – kurasa mbili na robo.
  • Maneno 7 katika kila mstari – kurasa mbili na nusu.
  • Maneno 6 katika kila mstari – kurasa tatu.
  • Maneno 5 katika kila mstari – kurasa tatu na nusu.
  • Maneno 4 katika kila mstari – kurasa nne na nusu.
  • Maneno 3 katika kila mstari – kurasa sita.

 

 

Kufikia maneno 174                    Insha robo

Maneno 175- 274                         Insha nusu

Maneno 275 -374                         Insha robo tatu

Maneno 375 na kuendelea            Insha kamili

 

Mapendekezo kuhusu usahihishaji wa swali la kwanza.

 

Hili ni swali la lazima kwa kila mtahiniwa. Swali hili kwa kawaida ni la kiuamilifu. Ni muhimu mtahiniwa azingatie mahitaji / masharti ya uandishi wa utungo wa kiuamilifu ambao amepewa. Kwa mfano, ikiwa ni hotuba, vipengele vya kimuundo na kimtindo vya hotuba vizingatiwe.  Hata hivyo ni muhimu ikumbukwe kwamba sura au muundo wa utungo wowote ule ni kiwasilishio tu cha masuala lengwa. Kwa hivyo ni muhimu mtahiniwa azingatie maudhui/ yaliyomo. Haitoshi kuufahamu muundo wa utungo. Maudhui hasa ndicho kiunzi cha utungo. Pamoja na maudhui na muundo vipengele vingine vya kimawasiliano kama vile uteuzi wa msamiati, mtiririrko na mshikamano wa mawazo sharti vizingatiwe.

102/2

KISWAHILI LUGHA

KIDATO CHA NNE 

 

 

MOCKS 1 2023

 

MUHULA WA PILI, 2023

MWONGOZO WA KUSAHIHISHIA

(SIRI)

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Swali la Kwanza: Ufahamu (alama 15)

  1. a) Maendeleo yaliyotokana na ugatuzi
  2. Huduma muhimu zimeletwa karibu na watu/wananchi.
  3. Barabara zimeimarishwa.
  • Huduma zahanatini zimeimarika.

            (3 x 1= 3)

  1. b) Makosa ya wafanyikazi katika vituo vya afya
  2. i) Madaktari waliingia kazini wakiwa wamechelewa.
  3. ii) Maafisa sajili walificha majalada maksudi/walidai kadhongo kabla ya kutoa majalada.

iii) Maafisa wa dawa waliuza/waliiba dawa za serikali na kuwauzia wagonjwa.

  1. iv) Maafisa maabara walikosa kemikali za kupima magonjwa.
  2. v) Maafisa wa maabara walichelewesha matokeo ya uchunguzi wa magonjwa. (saa mbili u nusu)
  3. vi) Maafisa wa maabara hawakuwarejeshea wagonjwa mabaki ya hela baada ya malipo.

                          (5 x 1= 5)

  1. c) Viongozi wa kuchaguliwa kwenye makala
  2. i) gavana ii) mwakilishi wa kata

       (2 x 1= 2)

  1. d) Neno moja la maana ‘plastiki’

sandarusi

                  (1 x 1= 1)

  1. e) Jina la ugonjwa wa Mzee Mori

malaria

                       (1 x 1= 1)

  1. f) Maana ya maneno
  2. kuhujumu – kuharibu, kudhuru
  3. chamcha – chakula cha mchana
  • unapigwa na butwaa – unashangaa, unapatwa na mshangao

       (3 x 1= 3)

Swali la Pili: Ufupisho       (alama 15)

  1. a) Hoja katika aya mbili za kwanza
  2. i) Kilimo ni moja kati ya shughuli za binadamu.
  3. ii) Hujishughulisha na upanzi wa mimea na ufugaji wa mifugo.

iii) Maisha ya binadamu hutegemea kilimo.

  1. iv) Kilimo kimekuwa maishani mwa binadamu kwa karne nyingi.
  2. v) Kilimo kilianza ustaarabu ulipostawi.
  3. vi) Kabla ya kilimo binadamu aliishi maisha ya kukusanya.

vii) Dharura ya kuwa na utaratibu tegemevu ikatokana na kuongezeka kwa idadi ya watu.

viii) Harakati za kusaka chakula zikashadidi kote.

  1. ix) Hii ilifuatiwa na kufuga wanyama kwa ajili ya bidhaa zao.
  2. x) Baada ya miongo wanyama wakatumiwa mashambani kufanya kazi.

                (hoja 8 x 1 = 8)

  1. b) Hoja muhimu katika aya ya tatu na ya nne
  2. i) Ustaarabu ulipoimarika mahitaji ya chakula yakawa makubwa.
  3. ii) Ilibidi kubuni mbinu mpya na bora za uzalishaji wa chakula.

iii) Katika baadhi ya sehemu, uzalishaji ulizuiwa na hali ngumu ya hewa.

  1. iv) Ili kukabaliana na hali hii, mitaro ilichimbwa kutoka maeneo ya maji na kuelekeza maji mashambani.
  2. v) Haja ilizuka ya kuimarisha aina ya mbegu zilizopandwa.
  3. vi) Uvumbuzi wa viwanda ulipotokea vifaa bora vya kilimo vilivumbuliwa.

vii) Hatua hii iliimarisha na kuendeleza kilimo kwa manufaa ya binadamu.

                  (hoja 6 x 1 = 6)

  1. a) – 8
  2. b) – 6

               Ut – 1

         Jumla – 15

 

 

Swali la Tatu: Matumizi ya Lugha (alama 40)

  1. a) Kutaja na kuainisha konsonanti katika nenop ‘ng’ata’ kwa mujibu wa ala za kutamkia

  /ng’/ – kaakaa laini,  /t/ – ufizi/ masine

                          (2 x ½ = 1)

  1. b) Maneno yanayoundwa kwa irabu tatu pekee
  2. aua ii.   aoa     iii.  eua   iv. iue   v. uue

                          (4 x ½ = 2)

  1. c) Silabi zenye shada
  2. ombea            ii. hakimu

                          (2 x 1 = 2)          

  1. d) Maana mbili za sentensi
  2. Bor ni mwanawe Dumu. ii. Mwana ni wa Bor.

                          (2 x 1 = 2)

  1. e) Kutunga sentensi kuanzia nomino na kivumishi cha pekee ‘-ingineo’
  2. Sisimizi mwingineo atakuuma. / Sisimizi wengineo watakuuma. (ngeli ya a – wa umoja na wingi)
  3. Mkanda mwingineo umekatika.

iii. Kuchoka kwingineko kutanilemea.

                         (3 x 1 = 3)               

  1. f) Kuandika muundo wa sentensi katika msitari

Mgogoro huo ulimalizika leo kwa mapatano           

  S- KN(N+V) + KT(T+E+H+N)

                       (2×1 = 2)

 

 

 

  1. g) Mofimu katika neno: ‘iue’

   i – ngeli/idadi/wingi/yambwa

-u – mzizi

– e  – kiishio/ uamrishaji        

  1. h) Kuainisha nomino katika sentensi

  Kipakatalishi cha Wangila kina kasi kubwa.

kawaida               pekee         dhahania

                         (3 x 1 = 3)

  1. i) Kuakifisha sentensi

 “Umeanza kusoma Tamthilia ya ‘Kigogo’?” Kigogo alimuuliza Kangogo.

(Herufi kubwa – 1, alama usemi – 1 na nukuu za kitabu na kiulizi – 1)

  1. j) Kukanusha sentensi
  2. Wanafunzi wengi hawajaenda kucheza kandanda katika shule jirani.

                           (1 x 1 = 1)

  1. Tukianza safari yetu asubuhi hatutachelewa kikaoni. Au

   Tusipoanza safari yetu asubuhi hatutachelewa kikaoni.

                           (1 x 1 = 1)

  1. k) Kinyume cha sentensi

  Wananchi wachache walihudhuria mkutano nje ya uga wa Kitaifa.

                           (2 x 1 = 2)

  1. l) wingi: Idara mpya ziliundwa na wakurugenzi wa kampuni hizo.

                           (4 x ½ = 2)

  1. umoja: Chungu cha kupikia kimesahaulika na mpishi.

                            (4 x ½ = 2)

  1. m) Mifano ya sentensi zenye miundo
  2. S – KN (W + V) + KT (T+E)

     Wale wengine wanatembea haraka.

                     (2 x 1 = 2)

  1. S – KN (N) + KT (T)

Shairi litaimbika.

                           (2 x ½ = 1)

  1. n) Visawe vya maneno katika sentensi
  2. i. banati – binti, msichana, ii. alishusha – aliteremsha, iii. beramu – bendera

kumi na mbili – thenashara

                           (4 x ½ = 2)

  1. o) Sentensi moja yenye vitate ‘sima’ na ‘zima’.

   Alizima moto baada ya kula sima.

                          (2 x 1 = 2)

  1. p) Methali: Panapo juhudi jambo gumu hufanikishwa.

     Papo kwa papo kamba hukata jiwe.

                         (1 x 1 = 1)

  1. q) Kutumia nahau ‘ng’oa nanga’ katika sentensi kuonyesha maana yake

   maana – anza shughuli fulani kv kazi au safari

mfano: Tuling’oa nanga alfajiri kwenda kumwona mjomba.

                  (1 x 1 = 1)              

  1. r) Kujaza pengo kwa vihisishi

Unapotaka kupishwa hutumia neno simile/sumile/hebedari/hela/heria/hebu na alamsiki ni tamko la kuagana mnapoachana na mtu usiku kama ambavyo samahani/kunradhi/kumradhi hutumiwa unapomwomba mtu msamaha kwa kumkosea.

                       (3 x 1 = 3)

  1. Isimujamii
  2. i) Wachezaji watarejelewa kwa majina yao halisi – Oliech, Mariga, Kadenge
  3. ii) Kuwa na kauli zisizokamalika – Anampa mpira kisha….

iii) Kuwepo kwa takriri- Hatari! Hatari! Mariga! Mariga! Mariga!

  1. iv) Kuwepo kwa vihisishi- aa! la! la! la! laa!
  2. v) Kuna na chuku – Amefunga bao la kimataifa.
  3. vi) Kuna kuchanganya ndimi- Inakuwa offside.

vii) Kuwepo kwa jazanda – Ngoma inatoka nje.

viii) Tashihisi itatumiwa – Mpira unaenda nje.

  1. ix) Taswira – Arudi nyuma na kuachilia mkwaju kimo cha nyoka.
  2. x) Sentensi ndefu-X alimpa Y naye akampiga chenga za dharau Z na kukubaliana na kipa kisha kuvuta kwaju zito lililomwacha kipa akiduwaa.
  3. xi) Utohozi – goli, kipa, mpira wa kona

xii) Maswali balagha – Hata kama ni wewe ungezuia bao hilo?

xiii) Matumizi ya misimu –

 

 

              (Sifa 10 na mifano ambatani x 1 = 10)

 

 

 

                 HUU NDIO UKURASA WA MWISHO ULIOPIGWA CHAPA.

 

 

 

 

 

See also  Simplified Form One to Four Free Physics Notes

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *