Free Kiswahili Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary

Free Kiswahili Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary

Also get;

Business Studies Grade 7 CBC Free Schemes of Work

CBC Grade 7 Social Studies Schemes of Work Free Editable Word, PDF Downloads

Grade 7 CBC Free Notes and Schemes of work pdf; Junior Secondary

Grade 7 Free Exams: Junior Secondary Termly Exams and Answers

JSS Grade 7 CBC Novel list (Kiswahili and English set books)

Health Education Grade 7 CBC Free Schemes of Work

Computer Science Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary

Free Grade 7 CBC Curriculum Designs, Notes & Schemes of Work [Junior Secondary]

Grade 7 CBC Performing Arts Complete Schemes of Work Free

Official Grade 7 CBC Assessment Report For Junior Secondary Schools

Grade 7 Free CBC Exams

Mathematics Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary

Junior Secondary Core Subjects (Mandatory Subjects) in grade 7,8 and 9

Grade 7 Free CBC Schemes of Work {Updated Version}

Social Studies Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary

CBC-Upper-Primary-Grade-6-7-Curriculum-Designs-KICD
CBC-Upper-Primary-Grade-6-9-Curriculum-Designs-KICD
WIK KIP MADA

KUU

MADA

NDOGO

MATOKEO

YANAYOTARAJIWA

MAPENDEKEZO YA SHUGHULI ZA UJIFUNZAJI MASWALI

DADISI

NYENZO TATHMINNI MAO
1 1 USAFI WA KIBINAFSI Kusikiliza na kuzungumza –kusikiliza na kujibu Kufikia mwisho wa mada ndogo ,mwanafunzi aweze :

-Kutambua  vipengele muhimu  vya kuzingatia katika usikilizaji wa mazungumzo na kujibu maswali

Mwanafunzi aelekezwe:

-kutambua vipengele muhimu katika usikilizaji na mazungumzo

-kutambua vipengele vya kujibu maswali ya mazungumzo

Je, ni vipengele gani unapaswa kuzingatia unapozungumza na kujibu  maswali? -Kurunzi uk. 1-3

-vifaa halisi : mswaki,sabuni,ktana

maswali ya  muhtasari
2   Kusoma-Kifungu cha simulizi Kufikia mwishowa somo mwanafunzi,

1.Aelezwe maana ya mazungumzo

2.Asome kwa kuigiza mazungumzo aliyopewa

3. Afurahiye kujibu maswali yanayohusiana na hadithi aliyoisoma

-kusikiliza kwa makini maelezo

-kuigiza kwa makundi

Kufanya zoezi

Mazungumzo ni nini?

 

Umuhimu wa mazungumzo ni upi katika Maisha ya binadamu?

Kuruzi ya Kiswahili

Kitabu cha mwanafunzi uk 2-5

Zoezi vitabuni
3   Kuandika-Herufi kubwa na kikomo Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze

1.kukumbushwa kuhusu viakifihi

2kutambua alama ya kikomo na panapotumika herufi kubwa

3.kuakifisha vifungu alivyopewa kwa usahihi.

-kutambua kwa kujadiliana

-kuakifisha vyema

-kufanya zoezi alilopewa bila kutatizika

Herufi kubwa na kikomo hutumika vipi?

 

Kuakifisha kuna umuhimu gani kwa mwanafunzi

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 6-10 Kutazama video

 

Chati ukutana

 

kiada

4   Sarufi-Nomino za pekee na kawaida Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze,

1.kufahamu maana ya nomino

2.kutambua nomino za pekee na nomino za kawaida

3.kutumia nomino za pekee na za kawaida katika mazungumza ya kila siku

-kujadiliana

-kueleza

-kutambua

Kufanya zoezi

Nomino ni nini?

 

Kuna umuhimu wa kujua aina mbalimbali za nomino?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 11-14 Kiada

 

Kadi mbalimbali

Maonyesho mtandaoni

2 1 LISHE BORA Kusikiliza na kuzungumza-Sauti /dh/ na /th/ Kufikia mwisho wa somo; mwanafunzi aweze;

1.kuelezwa kuhusu lshe bora.

2.kutambua vyakula vinavyozingatia lishe bora kwa kuzingatia sauti  dh na th

3. kutambua maneno yalyotumia sauti dh na dh

-kueleza na kusikiliza

-kutambua

-kufanya zoezi[

Lishe bora una umuhimu gan katika Maisha ya binadamu?

 

Mifano ya vyakula vilivyo na sauti dh,th ni kama gan?

 

 

Kurunzi ya kiswahl kitabu cha mwanafunz uk 15-18
2   Kusoma kwa mapana Kufika mwisho wa somomwanafunzi aweze;

1.kusoma kifungu alichopewa

2.kuchambua kifungu hicho.

3.kujibu maswal ya ufahamu

Kuskiliza maelezo

-kusoma ufahamu

-kuchambua ufahamu

-kujibu maswali ya ufamu

Ufahamu kitabuni

 

Kamusi sanifu

Kurunzi

Ya Kiswahili uk 18-20

 Kitabu cha mwanafunzi
3   Kuandika –Barua ya kirafiki Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      Kutambua muundo na umbo la barua ya kirafiki

2.      Kujadili barua ya kirafiki aliyopewa

3.      Kuandika mfano wa barua ya kirafiki.

Kusikiliza na kuzungumza

-kusoma na kuchambua barua ya kirafiki

-kuandika barua ya kirafiki

Barua ya kirafiki ina umbo na muundo gani?

 

 

Barua ya kirafiki ina umuhimu gani?

Kurunz ya kswahil uk 21-22 Kiada

 

Kitabu cha marudio

4   Sarufi-nomino za makundi na za dhahania Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

 

1.      Kukumbuswa kuhusu nomino za makundi na za dhahania

2.      Kutamua nomino za makundi na za dhahania

3.      Kuandika mifano ya  nomino za makundi na za dhahania

-Kujadiliana katika makundi madogomadogo.

 

-kutambua nomino mbalimbali za makundi na za dhahania

 

-kuandika mifano ya nomino za makundi na za dhahania

 

Nominoya makundi ni nini?

 

Kuna tofauti gani kati ya nomino za makundi na za dhahania?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 22-28 Kiada

Vitabu vya marudio

Chati

Maonyesho mtandaoni

3 1 UHURU

WA WANYAMA

Kusikiliza na kuzungumza –Tanzu za Fasihi Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.kutazama picha zilizochorwa vitabuni kwa makini

2. kuelezwa kuhusu maana ya fasihi simulizi

3.kujadiliana sifa za tanzu  za fasihi simulizi

-Kutazama kwa makini

-Kujadiliana kwa kina

-Kutoa na kuandika maelezo

Fasihi simulizi ni nini?

 

Tanzu za fasihi simulizi ni zipi?

 

Sifa za tanzu za fasihi simulizi ni kama gani?

Kurunzi ya Kiswahili

Kitabu cha mwanafunzi uk 29-32

Maonyesho mtandaoni

 

Kiada

 

Chati

 

Kadi ukutani

2   Kusoma kwa mapana-Novela Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1       kuelekezwa namna ya kusoma novela za Kiswahili

2       kuelekezwa kuchambua novela ya Kiswahili

3       kutengewa muda wa kusoma novela

 

-Kusikiliza na kuzungumza

 

-Kusoma novela

 

-Kuchambua novela ya kiswahili

Novela ni nini?

 

Hatua za kuchambua novel ani zipi?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk  35-36 Kitabu cha  mwanafunzi

Novela za kiswahili

 

3   Kuandika-insha ya kubuni Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

 

1.kufahamu maana ya insha ya kubuni

 

2. kutazama mfano wa insha ya kubuni

 

3.kuandika insha ya  ubunifu.

-kusikiliza kwa makini.

 

-kusoma Makala mbalimbali

 

-kuandika insha kwa kuzingatia ubunifu ufao.

 

 

Insha ya kubuni ni ipi?

 

Ubunifu huzingatia maswala yepi?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 37-40 Vitabu vya marudio

 

 

kiada

4   Sarufi-Nomino za wingi na vitenzi-jina Kufikia mwisho wa soko mwanafunzi aweze;

1.kufahamu nomino za wingi na za vitenzi-jina

2. kutambua nomino za wingi na za vitenzi- jina

3. kutumia nomino za wingi  na za vitenzi-jina

-kujadiliana katika makundi madogomadogo

-kutambua

 

Kuandika na kufanya zoezi

Nomino za wingi na za vitenzi jina ni vipi?kwa nini mwanafunzi afundishwe nomino hizo?

 

 

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk41-46 Chati

 

Maandishi ubaoni

 

Kitabu cha mwanafunzi

4   MTIHANI WA TATHMINI
5 1 AINA ZA MALIASILI Kusikiliza na kuzungumza-Nyimbo za watoto na Bembelebzi Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.kufahamiswa maana ya maliasili na maana ya nyimbo za Watoto

 

2. sifa za nyimbo za Watoto

 

3.kuimba  nyimbo za bembelezi

-Kujadiliana

-Kutambua

-Kuandika

-kuimba nyimbo za bembelezi

 

 

Bembelezi ni nini?

 

Umuhimu wa nyimbo hizi ni upi?

Kurunzi ya Kiswahili kitabucha mwanafunzi uk  47-52 Picha mtandaoni

 

Maonyesho darasani

 

Kitabu cha mwanafunzi

2   Kusoma  kwa Ufasaha Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      aweze kusoma vifungu alivyopewa

2.      kutambua hatua za kusoma kwa ufasaha

3.      kuchambua na kujibu maswali ya vifungu alivyosoma

Kusoma

Kujadiliana

Kuchambua

Kujibu maswali ya ufahamu

Kusoma kwa ufasaha ni kufanya nini?

 

Hatua zipi zinazozingatiwa ili usome kwa ufasaha?

Kurunzi ya Kiswa hili kitabu cha mwanafunzi uk 53-56 Kitabu cha mwanafunzi

 

Maandishi ubaoni

 

3   Kuandika –insha ya kubuni ;masimulizi Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

 

1.kusoma mfano wa insha ya masimuli

 

2.kuandika mfano wa insha ya masimulizi

 

4.Kufurahia kubuni hadithi na kuwasilisha kwa njia ya maandishi

-Kusoma hadithi

-kuandika insha

-kubuni hadithi na kuhadithia bila uoga

Masimulizi ni nini?

 

Hatua za kuhadithia hadithi ya kubuni?

Kurunzi ya Kiswahili

Kitabu cha mwanafu uk57-60

Kitabu cha mwanafunzi

Vitabu vya marudio

4   Sarufi – Nyakati na Hali Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kufamu maana ya nyakati na hali

2.      kutambua nyakti za Kiswahili

3.       kuweza kutumia nyakati na hali zifaazo  katika mazungumzo ya kila siku

–        Kutambua

–        Kujadiliana

–        Kuandika

–        kuwasiliana

Nyakati na hali za Kiswahili ni zipi?

-kwa nini mwanafunzi atambuliswe kuhusu nyakati na hali za kiswahili

Kurunzi ya Kiswahili

Kitabu cha mwanafunzi uk60-66

Chati ukutani

 

Maandishi ya mwalimu

 

kamusi

6 1 UNYANYASAJI WA KIJINSIA Kusikiliza na kuzungumza –mazungumza mahususi Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kufahamu maana ya mazungumzo

2.      kuzingatia muktadha mahususi wakati wa mazungumzo

3.      kuzungumza pasipo matatizo

-kujadiliana na kuwasilishafanya majadiliano

 

-kuandika maelezo ya mwalimu

 

Kufanya mazungumzo darasani

Mazungumzo mahususi huhusiana na nini?

 

Mazungumzo huzingatia hatua gani?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk67-73 Maonyesho darasanimtandaoni

 

Kutazama mfano wa mazungumzo

2   Kusoma-ufahamu Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kusoma nakala

2.      kuchambua kifungu

3.      kujibu maswali ya ufahamu

-Kusoma

-kujadiliana

-Kuandika

-Kufanya zoezi

Kwa nini mwanafunzi asome ufahamu?

 

Hatua za kusoma ufahamu ni kama gani?

Kurunzi ya Kiswahili

Kitabu cha mwanafunzi uk 73-76

Kiada

 

Kamusi

 

ubao

3    Kuandika – insha ya maelekezo Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kuelezwa kuhusu

insha ya maelekezo

2.      kusoma mfano wa insha ya maelekezo

3.      kuandika insha ya maelekezo.

-Kusikiliza kwa makini

-kusoma mfano wa insha

-kuandika insha

Insha ya maelekezo ni gani?

 

Muundona muundo wa insha hii ni gani?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk76-80 Kitabu cha marudio

 

Kiada

 

Ubao

 

4   Sarufi- Nyakati na Hali Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kukumbuswa kuhusu nyakakati na hali

2.      kutambua hali hali za Kiswahili

3.      kuwa na uwezo kutumia nyakati katika hali mbalimbali

Kujadilia kuhusu somo la awali

 

Kutambua na kuandika maelezo ubaoni

 

Kuandika na kufanya zoezi kuhusu hali na nyakati mbalimbali

Kuna hali zipi unazofahamu?

 

Kwa nini mwanafunzi afundishwe kuhusu hali hizi?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 80-86 Kiada

Kamusi

Chati ukutani

Maonyesho mtandaoni

7 1 USALAMA SHULENI Kusikiliza na kuzungumza –kusikiliza kwa kufasiri Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      asikilize kwa kufasiri Makala atakayosomewa

2.      ajadili kuhusu usalama shuleni

3.      mwanafunzi ahakikishe usalama shuleni kwa kuzingatia aliyosoma na kusikiliza

-Kusilkiliza kwa kufasiri

-Kujadiliana na kuandika kilichojadiliwa

-Kufanya zoezi atakalotoa mwalimu

Kufasiri ni kufanya nini?

 

Kusikiliza kwa kufasiri ni kufanya nini?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi

Uk 88-90

Mtandao

 

Kiada

 

Maandishi ubaoni

2   Kusoma-dhana za maudhui na dhamira Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kusoma kwa kuzingatia maudhui na dhamira

2.      kutambua maudhui na dhamira ya kifungu alichopewa

3.      kuchambua kifungu na kujibu maswali ya ufahamu.

-Kujadiliana na kuwasilisha majadiliano

 

-Kuandika maelezo

 

-Kuuliza na kujibu maswali

Maaudhui na dhamira ni nini?

 

Kwa nini tuzingatie maadhui na dhamira unaposoma hadithi?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 90-92 Kiada

 

kamusi

3   Kuandika-insha ya masimulizi;Picha Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kujua muundo na mtindo wa insha yamasimulizi

2.      kutazama picha  kwa makini

3.      kusimulia alichoelewa kutokana na picha ile

-kutazama

-kujadiliana

-kuandika

-kutathmini

Insha ya picha huandikwaje?

 

Insha ya picha huwa na muundo upi?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 93-93-95 Maandishi vitabu

 

Vitabu vya marudio

4   Sarufi-vitenzi na vitenzi visaidizi Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kujua tofauti ya vitenzi vikuu na vitenzi visaidizi

2.      kutambua vitenzi vikuu na vitenzi visaidizi

3.      kuweza kutumia vitenzi vikuuu na vitenzi visaidizi

-Kutofautisha

-Kujadiliana npamoja na kuandika

-Kufanya zoezi

Kutumia

Vitunzi vikuu na vitenzi visaidizi ni nini?

 

Vitenzi hivi hutumika aje kwenye  sentensi?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi

Uk95-100

Kiada

Ubao

Vitabu vya marudio

8 1 MTIHANI WA MWIGO
9 1 KUHUDUMIA JAMII SHULENI Kusikiliza na kuzungumza –ufahamu Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi a

weze;

1.      kufahamishwa kuhusu kusikiliza kwa kufahamu

2.      kutambua hatua za kusikiliza kwa kufahamu

3.      kuweza kusikiliza kwa kufahamu

-Kusikiliza

-Kuuliza na kuuliza maswali

-Kujadiliana na kuwasilisha kilichojadiliwa

Kwa nini mwanafunzi afundishwe ufahamu?

 

Hatua za kujibu maswali ya ufahamu ni zipi?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 101-103 Kiada

 

Kamusi

 

ubao

2   Kusoma-Ufupisho Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kusoma ufamau

2.      kuchambua ufahamu

3.      kujibu maswali ya ufahamu

-Kusoma

-Kuuliza na kujibu maswali

-Kujadiliana na kuandika kilichojadiliwa

-Kujibu maswali ya ufahamu

Kusoma ufahamu kunahusu nini?

 

Maswali ya ufahamu yanajibiwaje?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 104-106 Kiada

Daftari

ubao

3   Kuandika-insha za kubuni-Maelezo Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kukumbushwa kuhusu insha ya maelezo

2.      kusoma mfano wa insha ya maelezo na kujadili

3.      kuandika insha ya maelezo

Kujadiliana

Kuuliza na kujibu maswali

Kuandika insha ya maelezo

Kwa nini mwana funzi afundishwe insha ya maelezo?

 

Insha ya maelezo ina muundo na mtindo gani?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Kiada

Ubao vitabu vya insha kabambe

4   Sarufi-vitenzi vishirikishi Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kujadili kuhusu vitenzi vishirikishi

2.      kutambua vitenzi vishirikiishi

3.      kutumia vitenzi vishirikishi kwa ufasaha

Kujadiliana.

Kuwasilisha majadiliano.

Kujibu na kuuliza maswali.

Kuandka kilichojadiliwa.

Vitenzi vishirikishi ni nini? Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk106-109 Kitabu  cha mwanafunzi

 

Ubao

 

daftari

10 1 ULANGUZI WA BINADAMU Kusikiliza na kuzungumza – kupasha Habari Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kugundua maana ya matangazo ya kupasha habari

2.      kutambua aina ya matangazo ya kupasha habari

3.      kutumia vipengele vya kuzingatia katika mazungumzo ya kupasha habari

Kujadiliana

 

Kuandika

 

Kujibu na kuuliza maswali

Habari ya kupasha habari ni gani?

 

Vipengele gani vinavyofwatwa katika mazungumzo ya kupasha  habari?

Kurunzi ya Kiswahili

Kitabu cha mwanafunzi

Uk114-118

Kiada

 

Kamusi

 

daftari

2   Kusoma kwa kina-manndari na ploti-mandhari katika novela Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kusoma ufahamu

2.      kuchambua ufahamu

3.      kujibu maswali ya ufahamu

 

-Kusoma kujadiliana

-kuuliza na kujibu maswali ya ufahamu

Kuandika na kufanya zoezi la ufahamu

Ufahamu humusaidia mwanafunzi aje?

 

Maswali ya ufahamu yanalenga nini?

Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi

Uk118-123

 

3   Kuandika-viakifishi;kiluzi na Koma Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kufahamiswa kuhusu viulizi na koma katika uandishi

2.      kutambua matumizi ya koma na viulizi katika uandishi

3.      kuandika insha akizingatia allama za koma na viulizi

-Kujadili

-Kutambua

-Kuandika

-kutumia

Koma  na viulizi ni alama zipi?

 

Kwa nini alama za koma na viulizi zitumike?

Kurunzi ya Kiswahili

Kitabu cha mwanafunzi

Uk123-126

Kiada

 

ubao

4   Sarufi-Ngeli na upatanisho wa Kisarufi Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;

1.      kufahamu ngeli za Kiswahili

2.      kutambua upatanisho wa ngeli katika sarufi

3.      kutumia

-kufahamu

-kujadiliana

-kuandika

Ngeli ni nini?

 

Kwa nini ngeli izingatiwe?

Kurunzi ya Kiswahili

Kitabu cha mwanafunzi uk 127-136

Chati ukutani

 

Maonyesho mtandaoni?

    11,12,13 – MAREJELEO ,KUDURUSU ,MAANDILIZI YA MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA ; KUFUNGA SHULE KWA MUHULA WA KWANZA.

 

See also  How to prepare for your retirement
69 Comments

Add a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *