Free Kiswahili Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary
|Free Kiswahili Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary
Also get;
Business Studies Grade 7 CBC Free Schemes of Work
CBC Grade 7 Social Studies Schemes of Work Free Editable Word, PDF Downloads
Grade 7 CBC Free Notes and Schemes of work pdf; Junior Secondary
Grade 7 Free Exams: Junior Secondary Termly Exams and Answers
JSS Grade 7 CBC Novel list (Kiswahili and English set books)
Health Education Grade 7 CBC Free Schemes of Work
Computer Science Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary
Free Grade 7 CBC Curriculum Designs, Notes & Schemes of Work [Junior Secondary]
Grade 7 CBC Performing Arts Complete Schemes of Work Free
Official Grade 7 CBC Assessment Report For Junior Secondary Schools
Mathematics Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary
Junior Secondary Core Subjects (Mandatory Subjects) in grade 7,8 and 9
Grade 7 Free CBC Schemes of Work {Updated Version}
Social Studies Grade 7 CBC Schemes of Work For Junior Secondary
WIK | KIP | MADA
KUU |
MADA
NDOGO |
MATOKEO
YANAYOTARAJIWA |
MAPENDEKEZO YA SHUGHULI ZA UJIFUNZAJI | MASWALI
DADISI |
NYENZO | TATHMINNI | MAO | |
1 | 1 | USAFI WA KIBINAFSI | Kusikiliza na kuzungumza –kusikiliza na kujibu | Kufikia mwisho wa mada ndogo ,mwanafunzi aweze :
-Kutambua vipengele muhimu vya kuzingatia katika usikilizaji wa mazungumzo na kujibu maswali |
Mwanafunzi aelekezwe:
-kutambua vipengele muhimu katika usikilizaji na mazungumzo -kutambua vipengele vya kujibu maswali ya mazungumzo |
Je, ni vipengele gani unapaswa kuzingatia unapozungumza na kujibu maswali? | -Kurunzi uk. 1-3
-vifaa halisi : mswaki,sabuni,ktana |
maswali ya muhtasari | ||
2 | Kusoma-Kifungu cha simulizi | Kufikia mwishowa somo mwanafunzi,
1.Aelezwe maana ya mazungumzo 2.Asome kwa kuigiza mazungumzo aliyopewa 3. Afurahiye kujibu maswali yanayohusiana na hadithi aliyoisoma |
-kusikiliza kwa makini maelezo
-kuigiza kwa makundi Kufanya zoezi |
Mazungumzo ni nini?
Umuhimu wa mazungumzo ni upi katika Maisha ya binadamu? |
Kuruzi ya Kiswahili
Kitabu cha mwanafunzi uk 2-5 |
Zoezi vitabuni | ||||
3 | Kuandika-Herufi kubwa na kikomo | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze
1.kukumbushwa kuhusu viakifihi 2kutambua alama ya kikomo na panapotumika herufi kubwa 3.kuakifisha vifungu alivyopewa kwa usahihi. |
-kutambua kwa kujadiliana
-kuakifisha vyema -kufanya zoezi alilopewa bila kutatizika |
Herufi kubwa na kikomo hutumika vipi?
Kuakifisha kuna umuhimu gani kwa mwanafunzi |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 6-10 | Kutazama video
Chati ukutana
kiada |
||||
4 | Sarufi-Nomino za pekee na kawaida | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze,
1.kufahamu maana ya nomino 2.kutambua nomino za pekee na nomino za kawaida 3.kutumia nomino za pekee na za kawaida katika mazungumza ya kila siku |
-kujadiliana
-kueleza -kutambua Kufanya zoezi |
Nomino ni nini?
Kuna umuhimu wa kujua aina mbalimbali za nomino? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 11-14 | Kiada
Kadi mbalimbali Maonyesho mtandaoni |
||||
2 | 1 | LISHE BORA | Kusikiliza na kuzungumza-Sauti /dh/ na /th/ | Kufikia mwisho wa somo; mwanafunzi aweze;
1.kuelezwa kuhusu lshe bora. 2.kutambua vyakula vinavyozingatia lishe bora kwa kuzingatia sauti dh na th 3. kutambua maneno yalyotumia sauti dh na dh |
-kueleza na kusikiliza
-kutambua -kufanya zoezi[ |
Lishe bora una umuhimu gan katika Maisha ya binadamu?
Mifano ya vyakula vilivyo na sauti dh,th ni kama gan?
|
Kurunzi ya kiswahl kitabu cha mwanafunz uk 15-18 | |||
2 | Kusoma kwa mapana | Kufika mwisho wa somomwanafunzi aweze;
1.kusoma kifungu alichopewa 2.kuchambua kifungu hicho. 3.kujibu maswal ya ufahamu |
Kuskiliza maelezo
-kusoma ufahamu -kuchambua ufahamu -kujibu maswali ya ufamu |
Ufahamu kitabuni
Kamusi sanifu |
Kurunzi
Ya Kiswahili uk 18-20 |
Kitabu cha mwanafunzi | ||||
3 | Kuandika –Barua ya kirafiki | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. Kutambua muundo na umbo la barua ya kirafiki 2. Kujadili barua ya kirafiki aliyopewa 3. Kuandika mfano wa barua ya kirafiki. |
Kusikiliza na kuzungumza
-kusoma na kuchambua barua ya kirafiki -kuandika barua ya kirafiki |
Barua ya kirafiki ina umbo na muundo gani?
Barua ya kirafiki ina umuhimu gani? |
Kurunz ya kswahil uk 21-22 | Kiada
Kitabu cha marudio |
||||
4 | Sarufi-nomino za makundi na za dhahania | Kufika mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. Kukumbuswa kuhusu nomino za makundi na za dhahania 2. Kutamua nomino za makundi na za dhahania 3. Kuandika mifano ya nomino za makundi na za dhahania |
-Kujadiliana katika makundi madogomadogo.
-kutambua nomino mbalimbali za makundi na za dhahania
-kuandika mifano ya nomino za makundi na za dhahania
|
Nominoya makundi ni nini?
Kuna tofauti gani kati ya nomino za makundi na za dhahania? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 22-28 | Kiada
Vitabu vya marudio Chati Maonyesho mtandaoni |
||||
3 | 1 | UHURU
WA WANYAMA |
Kusikiliza na kuzungumza –Tanzu za Fasihi | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1.kutazama picha zilizochorwa vitabuni kwa makini 2. kuelezwa kuhusu maana ya fasihi simulizi 3.kujadiliana sifa za tanzu za fasihi simulizi |
-Kutazama kwa makini
-Kujadiliana kwa kina -Kutoa na kuandika maelezo |
Fasihi simulizi ni nini?
Tanzu za fasihi simulizi ni zipi?
Sifa za tanzu za fasihi simulizi ni kama gani? |
Kurunzi ya Kiswahili
Kitabu cha mwanafunzi uk 29-32 |
Maonyesho mtandaoni
Kiada
Chati
Kadi ukutani |
||
2 | Kusoma kwa mapana-Novela | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1 kuelekezwa namna ya kusoma novela za Kiswahili 2 kuelekezwa kuchambua novela ya Kiswahili 3 kutengewa muda wa kusoma novela
|
-Kusikiliza na kuzungumza
-Kusoma novela
-Kuchambua novela ya kiswahili |
Novela ni nini?
Hatua za kuchambua novel ani zipi? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 35-36 | Kitabu cha mwanafunzi
Novela za kiswahili
|
||||
3 | Kuandika-insha ya kubuni | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1.kufahamu maana ya insha ya kubuni
2. kutazama mfano wa insha ya kubuni
3.kuandika insha ya ubunifu. |
-kusikiliza kwa makini.
-kusoma Makala mbalimbali
-kuandika insha kwa kuzingatia ubunifu ufao.
|
Insha ya kubuni ni ipi?
Ubunifu huzingatia maswala yepi? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 37-40 | Vitabu vya marudio
kiada |
||||
4 | Sarufi-Nomino za wingi na vitenzi-jina | Kufikia mwisho wa soko mwanafunzi aweze;
1.kufahamu nomino za wingi na za vitenzi-jina 2. kutambua nomino za wingi na za vitenzi- jina 3. kutumia nomino za wingi na za vitenzi-jina |
-kujadiliana katika makundi madogomadogo
-kutambua
Kuandika na kufanya zoezi |
Nomino za wingi na za vitenzi jina ni vipi?kwa nini mwanafunzi afundishwe nomino hizo?
|
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk41-46 | Chati
Maandishi ubaoni
Kitabu cha mwanafunzi |
||||
4 | MTIHANI WA TATHMINI | |||||||||
5 | 1 | AINA ZA MALIASILI | Kusikiliza na kuzungumza-Nyimbo za watoto na Bembelebzi | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1.kufahamiswa maana ya maliasili na maana ya nyimbo za Watoto
2. sifa za nyimbo za Watoto
3.kuimba nyimbo za bembelezi |
-Kujadiliana
-Kutambua -Kuandika -kuimba nyimbo za bembelezi
|
Bembelezi ni nini?
Umuhimu wa nyimbo hizi ni upi? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabucha mwanafunzi uk 47-52 | Picha mtandaoni
Maonyesho darasani
Kitabu cha mwanafunzi |
||
2 | Kusoma kwa Ufasaha | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. aweze kusoma vifungu alivyopewa 2. kutambua hatua za kusoma kwa ufasaha 3. kuchambua na kujibu maswali ya vifungu alivyosoma |
Kusoma
Kujadiliana Kuchambua Kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma kwa ufasaha ni kufanya nini?
Hatua zipi zinazozingatiwa ili usome kwa ufasaha? |
Kurunzi ya Kiswa hili kitabu cha mwanafunzi uk 53-56 | Kitabu cha mwanafunzi
Maandishi ubaoni
|
||||
3 | Kuandika –insha ya kubuni ;masimulizi | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1.kusoma mfano wa insha ya masimuli
2.kuandika mfano wa insha ya masimulizi
4.Kufurahia kubuni hadithi na kuwasilisha kwa njia ya maandishi |
-Kusoma hadithi
-kuandika insha -kubuni hadithi na kuhadithia bila uoga |
Masimulizi ni nini?
Hatua za kuhadithia hadithi ya kubuni? |
Kurunzi ya Kiswahili
Kitabu cha mwanafu uk57-60 |
Kitabu cha mwanafunzi
Vitabu vya marudio |
||||
4 | Sarufi – Nyakati na Hali | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kufamu maana ya nyakati na hali 2. kutambua nyakti za Kiswahili 3. kuweza kutumia nyakati na hali zifaazo katika mazungumzo ya kila siku |
– Kutambua
– Kujadiliana – Kuandika – kuwasiliana |
Nyakati na hali za Kiswahili ni zipi?
-kwa nini mwanafunzi atambuliswe kuhusu nyakati na hali za kiswahili |
Kurunzi ya Kiswahili
Kitabu cha mwanafunzi uk60-66 |
Chati ukutani
Maandishi ya mwalimu
kamusi |
||||
6 | 1 | UNYANYASAJI WA KIJINSIA | Kusikiliza na kuzungumza –mazungumza mahususi | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kufahamu maana ya mazungumzo 2. kuzingatia muktadha mahususi wakati wa mazungumzo 3. kuzungumza pasipo matatizo |
-kujadiliana na kuwasilishafanya majadiliano
-kuandika maelezo ya mwalimu
Kufanya mazungumzo darasani |
Mazungumzo mahususi huhusiana na nini?
Mazungumzo huzingatia hatua gani? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk67-73 | Maonyesho darasanimtandaoni
Kutazama mfano wa mazungumzo |
||
2 | Kusoma-ufahamu | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kusoma nakala 2. kuchambua kifungu 3. kujibu maswali ya ufahamu |
-Kusoma
-kujadiliana -Kuandika -Kufanya zoezi |
Kwa nini mwanafunzi asome ufahamu?
Hatua za kusoma ufahamu ni kama gani? |
Kurunzi ya Kiswahili
Kitabu cha mwanafunzi uk 73-76 |
Kiada
Kamusi
ubao |
||||
3 | Kuandika – insha ya maelekezo | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kuelezwa kuhusu insha ya maelekezo 2. kusoma mfano wa insha ya maelekezo 3. kuandika insha ya maelekezo. |
-Kusikiliza kwa makini
-kusoma mfano wa insha -kuandika insha |
Insha ya maelekezo ni gani?
Muundona muundo wa insha hii ni gani? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk76-80 | Kitabu cha marudio
Kiada
Ubao
|
||||
4 | Sarufi- Nyakati na Hali | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kukumbuswa kuhusu nyakakati na hali 2. kutambua hali hali za Kiswahili 3. kuwa na uwezo kutumia nyakati katika hali mbalimbali |
Kujadilia kuhusu somo la awali
Kutambua na kuandika maelezo ubaoni
Kuandika na kufanya zoezi kuhusu hali na nyakati mbalimbali |
Kuna hali zipi unazofahamu?
Kwa nini mwanafunzi afundishwe kuhusu hali hizi? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 80-86 | Kiada
Kamusi Chati ukutani Maonyesho mtandaoni |
||||
7 | 1 | USALAMA SHULENI | Kusikiliza na kuzungumza –kusikiliza kwa kufasiri | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. asikilize kwa kufasiri Makala atakayosomewa 2. ajadili kuhusu usalama shuleni 3. mwanafunzi ahakikishe usalama shuleni kwa kuzingatia aliyosoma na kusikiliza |
-Kusilkiliza kwa kufasiri
-Kujadiliana na kuandika kilichojadiliwa -Kufanya zoezi atakalotoa mwalimu |
Kufasiri ni kufanya nini?
Kusikiliza kwa kufasiri ni kufanya nini? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi
Uk 88-90 |
Mtandao
Kiada
Maandishi ubaoni |
||
2 | Kusoma-dhana za maudhui na dhamira | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kusoma kwa kuzingatia maudhui na dhamira 2. kutambua maudhui na dhamira ya kifungu alichopewa 3. kuchambua kifungu na kujibu maswali ya ufahamu. |
-Kujadiliana na kuwasilisha majadiliano
-Kuandika maelezo
-Kuuliza na kujibu maswali |
Maaudhui na dhamira ni nini?
Kwa nini tuzingatie maadhui na dhamira unaposoma hadithi? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 90-92 | Kiada
kamusi |
||||
3 | Kuandika-insha ya masimulizi;Picha | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kujua muundo na mtindo wa insha yamasimulizi 2. kutazama picha kwa makini 3. kusimulia alichoelewa kutokana na picha ile |
-kutazama
-kujadiliana -kuandika -kutathmini |
Insha ya picha huandikwaje?
Insha ya picha huwa na muundo upi? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 93-93-95 | Maandishi vitabu
Vitabu vya marudio |
||||
4 | Sarufi-vitenzi na vitenzi visaidizi | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kujua tofauti ya vitenzi vikuu na vitenzi visaidizi 2. kutambua vitenzi vikuu na vitenzi visaidizi 3. kuweza kutumia vitenzi vikuuu na vitenzi visaidizi |
-Kutofautisha
-Kujadiliana npamoja na kuandika -Kufanya zoezi Kutumia |
Vitunzi vikuu na vitenzi visaidizi ni nini?
Vitenzi hivi hutumika aje kwenye sentensi? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi
Uk95-100 |
Kiada
Ubao Vitabu vya marudio |
||||
8 | 1 | MTIHANI WA MWIGO | ||||||||
9 | 1 | KUHUDUMIA JAMII SHULENI | Kusikiliza na kuzungumza –ufahamu | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi a
weze; 1. kufahamishwa kuhusu kusikiliza kwa kufahamu 2. kutambua hatua za kusikiliza kwa kufahamu 3. kuweza kusikiliza kwa kufahamu |
-Kusikiliza
-Kuuliza na kuuliza maswali -Kujadiliana na kuwasilisha kilichojadiliwa |
Kwa nini mwanafunzi afundishwe ufahamu?
Hatua za kujibu maswali ya ufahamu ni zipi? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 101-103 | Kiada
Kamusi
ubao |
||
2 | Kusoma-Ufupisho | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kusoma ufamau 2. kuchambua ufahamu 3. kujibu maswali ya ufahamu |
-Kusoma
-Kuuliza na kujibu maswali -Kujadiliana na kuandika kilichojadiliwa -Kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma ufahamu kunahusu nini?
Maswali ya ufahamu yanajibiwaje? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk 104-106 | Kiada
Daftari ubao |
||||
3 | Kuandika-insha za kubuni-Maelezo | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kukumbushwa kuhusu insha ya maelezo 2. kusoma mfano wa insha ya maelezo na kujadili 3. kuandika insha ya maelezo |
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali Kuandika insha ya maelezo |
Kwa nini mwana funzi afundishwe insha ya maelezo?
Insha ya maelezo ina muundo na mtindo gani? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi | Kiada
Ubao vitabu vya insha kabambe |
||||
4 | Sarufi-vitenzi vishirikishi | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kujadili kuhusu vitenzi vishirikishi 2. kutambua vitenzi vishirikiishi 3. kutumia vitenzi vishirikishi kwa ufasaha |
Kujadiliana.
Kuwasilisha majadiliano. Kujibu na kuuliza maswali. Kuandka kilichojadiliwa. |
Vitenzi vishirikishi ni nini? | Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi uk106-109 | Kitabu cha mwanafunzi
Ubao
daftari |
||||
10 | 1 | ULANGUZI WA BINADAMU | Kusikiliza na kuzungumza – kupasha Habari | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kugundua maana ya matangazo ya kupasha habari 2. kutambua aina ya matangazo ya kupasha habari 3. kutumia vipengele vya kuzingatia katika mazungumzo ya kupasha habari |
Kujadiliana
Kuandika
Kujibu na kuuliza maswali |
Habari ya kupasha habari ni gani?
Vipengele gani vinavyofwatwa katika mazungumzo ya kupasha habari? |
Kurunzi ya Kiswahili
Kitabu cha mwanafunzi Uk114-118 |
Kiada
Kamusi
daftari |
||
2 | Kusoma kwa kina-manndari na ploti-mandhari katika novela | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kusoma ufahamu 2. kuchambua ufahamu 3. kujibu maswali ya ufahamu
|
-Kusoma kujadiliana
-kuuliza na kujibu maswali ya ufahamu Kuandika na kufanya zoezi la ufahamu |
Ufahamu humusaidia mwanafunzi aje?
Maswali ya ufahamu yanalenga nini? |
Kurunzi ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi
Uk118-123
|
|||||
3 | Kuandika-viakifishi;kiluzi na Koma | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kufahamiswa kuhusu viulizi na koma katika uandishi 2. kutambua matumizi ya koma na viulizi katika uandishi 3. kuandika insha akizingatia allama za koma na viulizi |
-Kujadili
-Kutambua -Kuandika -kutumia |
Koma na viulizi ni alama zipi?
Kwa nini alama za koma na viulizi zitumike? |
Kurunzi ya Kiswahili
Kitabu cha mwanafunzi Uk123-126 |
Kiada
ubao |
||||
4 | Sarufi-Ngeli na upatanisho wa Kisarufi | Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze;
1. kufahamu ngeli za Kiswahili 2. kutambua upatanisho wa ngeli katika sarufi 3. kutumia |
-kufahamu
-kujadiliana -kuandika |
Ngeli ni nini?
Kwa nini ngeli izingatiwe? |
Kurunzi ya Kiswahili
Kitabu cha mwanafunzi uk 127-136 |
Chati ukutani
Maonyesho mtandaoni? |
||||
11,12,13 – MAREJELEO ,KUDURUSU ,MAANDILIZI YA MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA ; KUFUNGA SHULE KWA MUHULA WA KWANZA. | ||||||||||
lyrica 150mg uk lyrica 150mg cheap buy lyrica 150mg generic
oral lasix 100mg – buy generic captopril order captopril 25 mg pill
buy augmentin 625mg pills order augmentin 375mg buy augmentin generic
ivermectin 3mg for people – ciplox canada buy tetracycline sale
strongest over the counter allergy cost ventolin 2mg albuterol for sale online
order seroquel 100mg online cheap – where to buy eskalith without a prescription buy eskalith online
lisinopril 2.5mg drug zestril 2.5mg tablet zestril 5mg drug
buy flomax pills flomax 0.2mg us celecoxib usa
buy clomipramine 50mg – order citalopram online sinequan uk
ciplox 500mg uk – ciplox online erythromycin pills
order xenical online orlistat online cost diltiazem 180mg
purchase chloroquine without prescription buy aralen 250mg sale buy generic aralen 250mg
buy finasteride online buy fluconazole pill buy fluconazole 100mg for sale
buy generic metoprolol 50mg metoprolol 100mg uk order lopressor 100mg online cheap
amoxiclav online – acillin cost oral cipro 1000mg
buy generic amoxil over the counter – trimox generic buy ciprofloxacin generic
order cleocin 150mg sale – oral cleocin buy generic chloromycetin for sale
ivermectin 6mg for sale – purchase doxycycline pill cefaclor 250mg capsules
buy allergy pills – buy fexofenadine generic order theo-24 Cr